Kwa mshahara huu ungekuwa wewe ungebaki na shilingi ngapi kila mwezi?

Kwa mshahara huu ungekuwa wewe ungebaki na shilingi ngapi kila mwezi?

Salary 1.5 m net
Familia mme, mke, mtoto mmoja, mfanyakazi mmoja na ndugu mmoja.

Nyumba ya kupanga kodi laki kwa mwezi.

Mtoto anasoma english medium ada laki 8 na 50 kwa mwaka
Malipo awamu tatu.

Mkoa Mwanza
Yote hiyo ..... Watu Wana laki5 na wanafanya yote sijui wanapataka wapi fedha
 
Salary 1.5 m net
Familia mme, mke, mtoto mmoja, mfanyakazi mmoja na ndugu mmoja.

Nyumba ya kupanga kodi laki kwa mwezi.

Mtoto anasoma english medium ada laki 8 na 50 kwa mwaka
Malipo awamu tatu.

Mkoa Mwanza
Yote hiyo ..... Watu Wana laki5 na wanafanya yote sijui wanapataka wapi fedha
 
Huo mshahara mkubwa sana

Tumia formula hii ya 50/30/20

50% Matumizi ya lazima kama chakula, kodi na mahitaji mengine
30% Saving kwa mambo tusiyoyatajia au kwa ajili ya kujikusanya uanzishe biashara
20% Hii wazungu wanaita fun budget yaan ni kwa ajili ya mambo ambayo ambayo hata yakikosekana hakuna ubaya kama kulipia king'amuzi, vacation, outings n.k
 
Safi sana mkuu. Mi nashauri hivi viwili:
  • Apunguze kwenye vocha hapo.. Haiwezekani vocha ifanane na kodi ya nyumba.
  • Chakula 300k kwa mwezi yaan 10k kwa siku haiwezekani. Ipandishe kidogo.
Mkuu kwenye vocha kuna mke na ndugu anayeishi naye. Tuseme bando la 25k itakuja around 75k kwa watatu.

Chakula hapo akienda sokoni akachoma kama 150k kwa ajili ya mazaga. Na 150k ya kudunduliza inaweza tosha. Ila si mbaya
tuweke 400k yani atumie 13k per day.

So saving itabaki 300k.
 
Ninashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.

2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.

3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu

4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa

5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.

6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)

30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka

Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
Saving na akiba tofauti yake nini?
 
Ninashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.

2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.

3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu

4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa

5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.

6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)

30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka

Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
Zaka na sadaka mkuu .ya nini kumpa mtu pesa ya bure??
 
Ninashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.

2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.

3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu

4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa

5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.

6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)

30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka

Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
Kizazi cha sasa ni wabinafsi na waoga wa maisha mnafukuza ndugu😁😁😁
 
Bora wewe,mwenzio salary slip yangu hiyo hapo,take home ni 270,nina mke,watoto wawili wote wako English Medium Schools ,mfanyakazi wa ndani mmoja na ndugu watatu, nyumba ya kupanga ,150K ,kwa mwezi nipo naishi bila shida
Sasa we si umekopa mkuu umeingiza kwenye miradi inayokuzalishia cash flow.sioni kama uko vibaya unless kama uliwekeza kusikozaa
 
Salary 1.5 m net
Familia mme, mke, mtoto mmoja, mfanyakazi mmoja na ndugu mmoja.

Nyumba ya kupanga kodi laki kwa mwezi.

Mtoto anasoma english medium ada laki 8 na 50 kwa mwaka
Malipo awamu tatu.

Mkoa Mwanza
Hela nyingi sana laki 5 kwa mwezi mara miezi 12 utakuwa na 6 m kwa mwaka toa 1 m ya mtt uta Seve 5m hiyo 1 m inayo Baki kuhudumia familia na mambo mengine
 
Bora wewe,mwenzio salary slip yangu hiyo hapo,take home ni 270,nina mke,watoto wawili wote wako English Medium Schools ,mfanyakazi wa ndani mmoja na ndugu watatu, nyumba ya kupanga ,150K ,kwa mwezi nipo naishi bila shida
Hii salary slip inatembea! Ivi inawezekanaje mtu akatwe sh elfu kumi kwa mwezi hadi amalize sh milioni 13?
 
Back
Top Bottom