Kwa mshahara huu ungekuwa wewe ungebaki na shilingi ngapi kila mwezi?

Kwa mshahara huu ungekuwa wewe ungebaki na shilingi ngapi kila mwezi?

A
Ninashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.

2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.

3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu

4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa

5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.

6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)

30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka

Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
AKiba na Saving pana utofauti??
 
Salary 1.5 m net
Familia mme, mke, mtoto mmoja, mfanyakazi mmoja na ndugu mmoja.

Nyumba ya kupanga kodi laki kwa mwezi.

Mtoto anasoma english medium ada laki 8 na 50 kwa mwaka
Malipo awamu tatu.

Mkoa Mwanza
Kama siyo mtu wa kuvimba na starehe za hapa na pale kwa mahitaji ya hiyo familia inaweza kufix baadhi ya mambo ila kuwa tajiri utahija nidhamu kubwa. Kwa wale wa kuvimba na starehe na totoz hapo bado sana.
 
Ninashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.

2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.

3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu

4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa

5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.

6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)

30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka

Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
Hivi 10% ya fungu la kumi siwezi itoa kidogo kidogo siku za ibaada na kwenye jumuia michango mbalimbali ndani ya mwezi
 
Ninashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.

2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.

3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu

4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa

5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.

6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)

30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka

Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
Unamhamishia mtoto shule ya kawaida ili userve 500,000 kwa mwaka. Unamuondoa msaidizi wa kazi na ndugu unamtimulia mbali, kisha unachukuwa 20% ya mshahara (Tsh. 300,000) kwa mwezi unakwenda kutoa zaka na sadaka. Unakwenda kumtolea nani?! Huu ndio unaitwa umaskini wa fikra.
 
hela kubwa hivyo unalalamika je sisi wapasua kokoto tusemehe
 
Manage your self bwana be a man.mpaka bajeti upangiwe JF?mkeo akikupiga utakuja kulalamika.

Kama huwezi siti with your wife and talk the family budget.

Usisahau hela ya kusuka ya mkeo.
Hiyo nyumba mnakaaje ya laki 1 watu wazima watatu? Hama Hapo nyumba iwe na uafadhari kidogo.
 
Back
Top Bottom