digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Hii salary slip yangu mkuu,Hii salary slip inatembea! Ivi inawezekanaje mtu akatwe sh elfu kumi kwa mwezi hadi amalize sh milioni 13?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii salary slip yangu mkuu,Hii salary slip inatembea! Ivi inawezekanaje mtu akatwe sh elfu kumi kwa mwezi hadi amalize sh milioni 13?
Mzee umepita mule muleMgawanyo.
Ada kwa mwezi ni 72,000/=
Nauli ni 100,000/=
Chakula home 300,000/=
Chakula ofisini 150,000/=
Kodi 100,000/=
Vocha 100,000/=
Mshahara binti 40,000/=
Dharura 100,000/=
Kupoza koo 100,000/=
Sadaka 48,000/=
Jumla 1,062,000/=
Saving 400,000/=
AKiba na Saving pana utofauti??Ninashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.
2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.
3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu
4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa
5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.
6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)
30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka
Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
Kwanini?Kwa Mwz Ni pesa ndefu hio
Dada wa kazi umemminyqMgawanyo.
Ada kwa mwezi ni 72,000/=
Nauli ni 100,000/=
Chakula home 300,000/=
Chakula ofisini 150,000/=
Kodi 100,000/=
Vocha 100,000/=
Mshahara binti 40,000/=
Dharura 100,000/=
Kupoza koo 100,000/=
Sadaka 48,000/=
Jumla 1,062,000/=
Saving 400,000/=
Standard huwa ni 40k mpaka 60k inategemea na ukubwa wa familia.Dada wa kazi umemminyq
Kama siyo mtu wa kuvimba na starehe za hapa na pale kwa mahitaji ya hiyo familia inaweza kufix baadhi ya mambo ila kuwa tajiri utahija nidhamu kubwa. Kwa wale wa kuvimba na starehe na totoz hapo bado sana.Salary 1.5 m net
Familia mme, mke, mtoto mmoja, mfanyakazi mmoja na ndugu mmoja.
Nyumba ya kupanga kodi laki kwa mwezi.
Mtoto anasoma english medium ada laki 8 na 50 kwa mwaka
Malipo awamu tatu.
Mkoa Mwanza
Hivi 10% ya fungu la kumi siwezi itoa kidogo kidogo siku za ibaada na kwenye jumuia michango mbalimbali ndani ya mweziNinashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.
2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.
3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu
4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa
5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.
6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)
30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka
Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
Less than 2,000/=tsh per day😞Standard huwa ni 40k mpaka 60k inategemea na ukubwa wa familia.
Maisha Ni cheap.Kwanini?
Ndio mkuu. Anahudumiwa kila kitu kuanzia kulala, kula, kuumwa, nauli n.k.Less than 2,000/=tsh per day😞
Ila wanachoka sana walau 100kNdio mkuu. Anahudumiwa kila kitu kuanzia kulala, kula, kuumwa, nauli n.k.
Unamhamishia mtoto shule ya kawaida ili userve 500,000 kwa mwaka. Unamuondoa msaidizi wa kazi na ndugu unamtimulia mbali, kisha unachukuwa 20% ya mshahara (Tsh. 300,000) kwa mwezi unakwenda kutoa zaka na sadaka. Unakwenda kumtolea nani?! Huu ndio unaitwa umaskini wa fikra.Ninashauri tu.
1.mtoe mtoto medium mpeleke shule ya kawaida. utakuwa umeokoa karib 500k kwa Mwaka.
2. Rudisha mfanyakazi kwao, ondoa ndugu kwako au utafafanua ndugu anafanya nn kwako ili nikuelewe kwa kina.
3.gawaneni majukumu wewe na mkeo ya nyumba yenu
4.mshahara wako ufanye kama mbegu (mtaji) ya kuwa na miradi mingine ya kukuingizia pesa
5.Asiwepo mtu nyumbani asiye na faida kiuchumi kwa familia...iwe wewe, mkeo hata m(wa)toto.
6. Tumia hii formula 30:30:20:20 (%)
30 - saving
30 - matumizi
20 - Akiba
20 - Zaka na Sadaka
Kujibu swali sasa, saving inafaa kuwa 30% ya mapato yako
Mkuu kwa mia huwa ni familia za kitajiri. Dada wangu huwa tunampa 50k ila huwezi amini kuna kipindi tuliyumba yule dada ndio akawa analisha familia. Tulikua tunamkopa😀.....Ila wanachoka sana walau 100k
HajawasutaMkuu kwa mia huwa ni familia za kitajiri. Dada wangu huwa tunampa 50k ila huwezi amini kuna kipindi tuliyumba yule dada ndio akawa analisha familia. Tulikua tunamkopa😀.....
Jibu swaliHii salary slip yangu mkuu,