Kwa mshahara wa Tsh. 765,000/= nikizama benki naweza kopesheka kiasi gani?

Kupitia hiyo salary jibane Sana u save mil 1 then anzisha biashara ya kuwakopa walimu wenzako laki moja kwa elfu 20 na laki mbili 40 Ila ukiwa na muda wekeza katika biashara ya mazao kuwa middle broker .


Katika hizo biashara zako ukiona zinaenda vizuri basi kachukue mkopo bank ambao sio mkubwa na ambao hautaathiri mshahara wako Sana. Then bust biashara yako.


Kuhusu kujenga usijenge kipindi hiki ambacho haujawa na financial freedom , bali anza kujenga kipindi ambacho utakuwa unaingiza hela kila siku. Ila waweza Ku-invest katika viwanja tu.
 
Unaishi Tanga!?

manake huko kuna nyumba mpaka za laki tano
 
[emoji122][emoji122][emoji2962][emoji2962][emoji3447]
 
noted champ, japo sina access na maticha
 
270k kwa mwezi? Unaweza kutufunza vionjo vya bajeti yako ya siku?
 
Asome vizuri kisha akuelewe
 
Mikopo mingi ina riba, ndio faida kwa hiyo kuepuka riba kwenye mikopo ni ngumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…