Hapana mimi naleta quality... Lonya ni zile wanazotembeza chingaKwani lonyalonya ni nini? Wabongo wengi bidhaa wanazochukua China kuleta Tz ni lonya tu. Iwe electronics,iwe hardware stuff low quality tu.
Oh zile za kariakoo, kinondoni,mwenge sio lonya?Hapana mimi naleta quality... Lonya ni zile wanazotembeza chinga
unaweza kwenda inategemea unataka kununua biashara gani. kuna biashara nyingine unazungushia hapa hapa. huitaji kwenda china. so usikimbilie sana kwenda china ila kwanza ni biashara gani then ndio mengine yafuate.Wadau nina 50m, naweza kwenda China kufunga mzigo?
umekaa china ipi mkuu na biashara umefanya ipi. mi nafanyabiashara china miaka 17 sasa. wiki iliyopita nimetoka fujiang kuweka oda ya viatu."Nimekaa sana China na Kufanya sana biashara" sentensi za mbwembwe namna hii ni hatari mno....halafu who are you for people to believe you?
Wapare bana,mbwembwe miingi,halafu mkikaa in real terms akawa shallow-tinatina!
Kwenye internet mtu akikwambia "mimi ni bora sana,najua sana China zaidi ya watu wote" inabidi uchanganye na zako vilevile!
Sasa kiongozi ungefunguka zaidi kuhusu biashara ya hukk china, changamoto, mtaji kiasi gani na mengineyo!ume
umekaa china ipi mkuu na biashara umefanya ipi. mi nafanyabiashara china miaka 17 sasa. wiki iliyopita nimetoka fujiang kuweka oda ya viatu.
Naitaji nguo za watoto mzee.unaweza kwenda inategemea unataka kununua biashara gani. kuna biashara nyingine unazungushia hapa hapa. huitaji kwenda china. so usikimbilie sana kwenda china ila kwanza ni biashara gani then ndio mengine yafuate.
Kote huko kuna kila grade inategemea na pesa yakoOh zile za kariakoo, kinondoni,mwenge sio lonya?
ume
umekaa china ipi mkuu na biashara umefanya ipi. mi nafanyabiashara china miaka 17 sasa. wiki iliyopita nimetoka fujiang kuweka oda ya viatu.
Hiyo ndo maana ya JF kila mtu anakuwa na mawazo yake, Sasa watu wote humu ndani tukiwa na mawazo sawa itakuwa hamna maana ya kuwepo JF.Sure kabisa huyo jamaa ni mjuaji kinyama
Yaani humu JF yeye ndio anajua kila kitu
Ana chuki balaa ni maskini was fikra .
Kiss anajua kuandika basi kushuka mgazeti sio iahu kwake.
Anadhani watu wote humu ndani ni vilaza kama yeye.
Watu wana experience za maisha tofauti tofauti humu sie yeye exeperimce za kugoogle data .
Yaani huyu mshamba sana
Nyingi sana bro mie nafikiria 10m na nauli humo humo [emoji16][emoji16][emoji16]Wadau nina 50m, naweza kwenda China kufunga mzigo?
sorry bro nimekoseaBwana Kitali mbona unafeli sana aisee?
Kuna mahali nimesema nimekaa China?Soma comment yangu vizuri uelewe!
Mbona akina Kitali ni watu vichwa sana?Hakuna Kitali ambae ni falafala,ila wewe unanitia wasiwasi aisee!
Kuelewa comment simple kabisa unashindwa?
Geeeez!
Wadau, Kuna mtu amenïjulisha kuwa ikifika mwezi wa kwanza china huwa hakuna biashara mpaka mwezi wa pili kwani kwao huo ni mwezi wa mapumziko, je ni kweli?
dah mkuu unatisha..Nyingi sana hizo tuwasiliane nikupe mchongo na machimbo ambayo hutapigwa
[emoji23][emoji144][emoji23]ukwelidah mkuu unatisha..
hebu nambie ni kipi ambacho mpaka sasa hukijui
Mjuaji[emoji192][emoji192][emoji192][emoji192][emoji192]Hahahahahaha
Watu wa exaggeration hua mkiwa busted mna mind sana,mnaita watu wana wivu na nyie....
Mtu kaomba information,mpe,nini mbwembwe aisee?
Wewe tushakujua unawivu wa kufanikiwa kwa mwenzio#PungaBro,
Kuhusu issue ya AY ipo closed,alidanganya na mimi niliweka bayana uongo wake na wala sina agenda yoyote....
Nyie mlivyo na matatizo ya kupenda UONGO mkawa mnatetea UONGO,but thats aside...
Hii hapa leo ni angalizo nimetoa kwa ndugu wa 50mil kua achanganye na "akili zake" maana haiwezekani mtu kaulizia information wewe unaanza na mbwembwe "Naijua China zaidi ya watu wote,nifate nikupe machimbo,utapigwa..etc"....Why mbwembwe namna hii?Kwanini usitoe tu information kwa muhusika kama alivyoomba?
Kwani kumuambia mtu achanganye na zake ni kwamba nimekosea au nina "wivu" na mtu?
Tatizo labda una personal beef na mimi of which Im not aware of...Kama you have any personal problem with me,just face me and we have that wrapped up like men.
Wewe tushakujua unawivu wa kufanikiwa kwa mwenzio#Punga
Wakati mwingine hata hiyo hela hamna ila basi tu