Kwa mtaji huu naweza kwenda China?

Kwa mtaji huu naweza kwenda China?

Kwani lonyalonya ni nini? Wabongo wengi bidhaa wanazochukua China kuleta Tz ni lonya tu. Iwe electronics,iwe hardware stuff low quality tu.
Hapana mimi naleta quality... Lonya ni zile wanazotembeza chinga
 
Wadau nina 50m, naweza kwenda China kufunga mzigo?
unaweza kwenda inategemea unataka kununua biashara gani. kuna biashara nyingine unazungushia hapa hapa. huitaji kwenda china. so usikimbilie sana kwenda china ila kwanza ni biashara gani then ndio mengine yafuate.
 
ume
"Nimekaa sana China na Kufanya sana biashara" sentensi za mbwembwe namna hii ni hatari mno....halafu who are you for people to believe you?

Wapare bana,mbwembwe miingi,halafu mkikaa in real terms akawa shallow-tinatina!

Kwenye internet mtu akikwambia "mimi ni bora sana,najua sana China zaidi ya watu wote" inabidi uchanganye na zako vilevile!
umekaa china ipi mkuu na biashara umefanya ipi. mi nafanyabiashara china miaka 17 sasa. wiki iliyopita nimetoka fujiang kuweka oda ya viatu.
 
ume

umekaa china ipi mkuu na biashara umefanya ipi. mi nafanyabiashara china miaka 17 sasa. wiki iliyopita nimetoka fujiang kuweka oda ya viatu.
Sasa kiongozi ungefunguka zaidi kuhusu biashara ya hukk china, changamoto, mtaji kiasi gani na mengineyo!
 
Naitaji
unaweza kwenda inategemea unataka kununua biashara gani. kuna biashara nyingine unazungushia hapa hapa. huitaji kwenda china. so usikimbilie sana kwenda china ila kwanza ni biashara gani then ndio mengine yafuate.
Naitaji nguo za watoto mzee.
 
ume

umekaa china ipi mkuu na biashara umefanya ipi. mi nafanyabiashara china miaka 17 sasa. wiki iliyopita nimetoka fujiang kuweka oda ya viatu.

Bwana Kitali mbona unafeli sana aisee?

Kuna mahali nimesema nimekaa China?Soma comment yangu vizuri uelewe!

Mbona akina Kitali ni watu vichwa sana?Hakuna Kitali ambae ni falafala,ila wewe unanitia wasiwasi aisee!

Kuelewa comment simple kabisa unashindwa?

Geeeez!
 
Sure kabisa huyo jamaa ni mjuaji kinyama

Yaani humu JF yeye ndio anajua kila kitu

Ana chuki balaa ni maskini was fikra .

Kiss anajua kuandika basi kushuka mgazeti sio iahu kwake.

Anadhani watu wote humu ndani ni vilaza kama yeye.

Watu wana experience za maisha tofauti tofauti humu sie yeye exeperimce za kugoogle data .

Yaani huyu mshamba sana
Hiyo ndo maana ya JF kila mtu anakuwa na mawazo yake, Sasa watu wote humu ndani tukiwa na mawazo sawa itakuwa hamna maana ya kuwepo JF.
Tusimupuuze wala kumubeza bali tumsome tu na kumtafakari anaweza akatusaidia huko mbeleni
Hatuwezi jua labda ashawahi kuumizwa.!
Maoni yake naomba tuyachukulie kama TAHADHARI TU.!
 
Bwana Kitali mbona unafeli sana aisee?

Kuna mahali nimesema nimekaa China?Soma comment yangu vizuri uelewe!

Mbona akina Kitali ni watu vichwa sana?Hakuna Kitali ambae ni falafala,ila wewe unanitia wasiwasi aisee!

Kuelewa comment simple kabisa unashindwa?

Geeeez!
sorry bro nimekosea
 
Wadau, Kuna mtu amenïjulisha kuwa ikifika mwezi wa kwanza china huwa hakuna biashara mpaka mwezi wa pili kwani kwao huo ni mwezi wa mapumziko, je ni kweli?
 
Hakuna haja ya kuangaika,tafuta aina ya biashara ya kufanya,wasiliana na wazalishaji wa bidhaa,ingia nao mkataba wa muda,lipia order,pokea mzigo,anza kuuza....kuliko kufanya uchuuzi wa kizamani.Ni mawazo yangu tu.
 
Wadau, Kuna mtu amenïjulisha kuwa ikifika mwezi wa kwanza china huwa hakuna biashara mpaka mwezi wa pili kwani kwao huo ni mwezi wa mapumziko, je ni kweli?

Hii ni kweli kabisa. Mkuu hawa jamaa kama wachaga mwezi w 12 kwao. Ila china [emoji630] mwaka mpya wa kichina ni January mambo yanakua sawa mpaka mwezi wa tatu hv.
 
Bro,

Kuhusu issue ya AY ipo closed,alidanganya na mimi niliweka bayana uongo wake na wala sina agenda yoyote....

Nyie mlivyo na matatizo ya kupenda UONGO mkawa mnatetea UONGO,but thats aside...

Hii hapa leo ni angalizo nimetoa kwa ndugu wa 50mil kua achanganye na "akili zake" maana haiwezekani mtu kaulizia information wewe unaanza na mbwembwe "Naijua China zaidi ya watu wote,nifate nikupe machimbo,utapigwa..etc"....Why mbwembwe namna hii?Kwanini usitoe tu information kwa muhusika kama alivyoomba?

Kwani kumuambia mtu achanganye na zake ni kwamba nimekosea au nina "wivu" na mtu?

Tatizo labda una personal beef na mimi of which Im not aware of...Kama you have any personal problem with me,just face me and we have that wrapped up like men.
Wewe tushakujua unawivu wa kufanikiwa kwa mwenzio#Punga
 
Back
Top Bottom