Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

Wakuu, nipo hapa napambania kujikwamua kwenye umaskini, nipo nachakata mawazo kwa ajili ya kufanya harakati, wengi walianzia chini sana na wakafanikiwa kupata pesa nyingi.

Mawazo yangu niliyonayo ni Nafaka, vifaa vya simu pamoja na umeme, mwisho ni hardware,

Nafaka nilitaka nideal na maharage, mchele pamoja na nafaka nyingine means nazitoa porini nakuja kuziuza mjini, changamoto Mimi ni Mwalimu kwahiyo muda wa kuzunguka porini nakua nimekosa, makazi Kwa Sasa nipo kigoma.

Vifaa vya simu, kigoma huku naona vitu ni bei kubwa sana mfano USB ni 7000, earphone 5000 na vitu vingine, nikatamani niingie kwenye hii biashara kwa sababu machimbo kariakoo ya bei rahisi nayafahamu.

Vifaa vya ujenzi, hii ni hobby yangu, naipenda sana na watu wamepata pesa kweli, kigoma mfuko wa cement ni 26,000/= pamoja na vifaa vingine changamoto mji ni mdogo na competition ni kubwa, hapa kwenye hardware nilitaka nijichanganye kwwnye kununua machine ya uchomeleaji pamoja na aluminum.

Wakuu, lengo langu nipate faida ya laki 5 tu kwa mwezi.

Asanteni
Hardware
 
Muheshimiwa kumbe njia unayoo
Kwanini usiingie kwenye nguo?
System unayokabisa apo
Au kuna changamoto ambazo umeamua kuachana nazo
Binafsi kama kwenye familia kuna system ni kheri upite nayo kuliko uanze moja
Asante, mzee anauza jumla hapo mwanza changamoto ya nguo ili update faida lazima ujikite kuuza kwa jumla rejareja inachelewesha sana, purchasing power ya kigoma ni ndogo mno na sioni wanaouza jumla hapa wengi ni rejareja watu ni wachache.
 
Wewe endelea kulinganisha wake wa miaka ya 60s 70s na hawa wa kwetu wa miaka 2000, mueke ndo utaona tofauti zao, acha maisha ya kuiga kwa baba, baba ako kaishi generation tofauti na wewe unaishi generation nyingine.......we kopa pesa uweke mkeo mualimu utarudi jf na mada nyingine tofauti
Sawasawa mkuu.
 
Kosa lako ni kutaka mafanikio kupitia biashara lakini kazi hutaki kuacha, nakuhakikishia Mimi kuwa utumishi wa umma na kipato kikubwa ni mbingu na ardhi na mchawi muda na usimamizi kwa sababu unataka ukabidhi watu walifanyie kazi itakula kwako na huwezi kuwa mtumishi wakati huohuo kuwa mfanyabiashara angalau ungekuwa DC, DED, RC etc lakini kazi ya ualimu halafu unataka kutusua you should not be serious na kitakacho kuumiza ni uoga vinginevyo hiyo hela itapotea na hutaelewa imepoteaje kama unataka kufanya biashara chukua maamuzi ya kufa umesimama otherwise endelea kuishi umepiga magoti
Kama Kuna ukweli hapo!
 
Sijajua wewe familia yako unaiendeshaje mkuu, nimezaliwa kwenye familia ya biashara mzee wangu ana duka kubwa la nguo anatoa biadhaa zake Kenya au Uganda, anaesimama dukani ni Mama mzee yeye anasafiri jumatatu anarudi alhamis/ijumaa, kwahiyo mtu ambae anashida kwenye biashara ni Mama, na wamefanikiwa kwa kiasi chao na kumiliki asset nyingi tu hapo Mwanza, lakini kwa kipindi chote hicho tulipokua wadogo Mama alikua hawezi kutoa hata shilling 100 bila kumtaarifu mzee, hata tulipokua tunahitaji matumizi ya shule tulikua tunampigia simu mzee sio Mama, kwahiyo Mama ni kama msimamizi/mhasibu tu, sio kwamba nampa biashara Mwanamke alafu Mimi naenda kustarehe, biashara ni ya kwangu Mimi yeye anakua msimamizi kwa muda mchache tu nikitoka.
Kwa hiyo mkuu unadhani nidhamu aliyokuwa nayo mama yako miaka hiyo ndio utaipata kwa hawa wanawake wa sasa wenye tamaa wanaoshindana mitandaoni kununua vitu vya anasa?
Tofautisha wake wa zamani na wa sasa,wake wa zamani kwa mfano ilikuwa hata ukiwalisha ugali dagaa au ugali matembele mwezi mzima walikuwa wanaridhika je hawa wanawake wa sasa wanaweza kuvumilia ndani kuwe na hela halafu ale ugali na maharage kila siku?lazima atachota hela akale kuku na kununua vitu vingine vya anasa
 
Wakuu, nipo hapa napambania kujikwamua kwenye umaskini, nipo nachakata mawazo kwa ajili ya kufanya harakati, wengi walianzia chini sana na wakafanikiwa kupata pesa nyingi.

Mawazo yangu niliyonayo ni Nafaka, vifaa vya simu pamoja na umeme, mwisho ni hardware,

Nafaka nilitaka nideal na maharage, mchele pamoja na nafaka nyingine means nazitoa porini nakuja kuziuza mjini, changamoto Mimi ni Mwalimu kwahiyo muda wa kuzunguka porini nakua nimekosa, makazi Kwa Sasa nipo kigoma.

Vifaa vya simu, kigoma huku naona vitu ni bei kubwa sana mfano USB ni 7000, earphone 5000 na vitu vingine, nikatamani niingie kwenye hii biashara kwa sababu machimbo kariakoo ya bei rahisi nayafahamu.

Vifaa vya ujenzi, hii ni hobby yangu, naipenda sana na watu wamepata pesa kweli, kigoma mfuko wa cement ni 26,000/= pamoja na vifaa vingine changamoto mji ni mdogo na competition ni kubwa, hapa kwenye hardware nilitaka nijichanganye kwwnye kununua machine ya uchomeleaji pamoja na aluminum.

Wakuu, lengo langu nipate faida ya laki 5 tu kwa mwezi.

Asanteni
Piga issue ya nafaka, tafuta mawakala, wewe ingia vijijini mara moja moja sana na hakikisha umeweka mawakala, utatoboa.
 
Kosa lako ni kutaka mafanikio kupitia biashara lakini kazi hutaki kuacha, nakuhakikishia Mimi kuwa utumishi wa umma na kipato kikubwa ni mbingu na ardhi na mchawi muda na usimamizi kwa sababu unataka ukabidhi watu walifanyie kazi itakula kwako na huwezi kuwa mtumishi wakati huohuo kuwa mfanyabiashara angalau ungekuwa DC, DED, RC etc lakini kazi ya ualimu halafu unataka kutusua you should not be serious na kitakacho kuumiza ni uoga vinginevyo hiyo hela itapotea na hutaelewa imepoteaje kama unataka kufanya biashara chukua maamuzi ya kufa umesimama otherwise endelea kuishi umepiga magoti
Wewe ndo huna akili, hapo ukute mwenzako kakopa ndo kapata huo mtaji, akiacha hio kazi, mkopo utajilipaje..? Mbona una akili kama za wauza utumbo
 
Piga issue ya nafaka, tafuta mawakala, wewe ingia vijijini mara moja moja sana na hakikisha umeweka mawakala, utatoboa.
Yeah Kuna mtu alinambia hii, mfano debe la maharage vijijini ni 2000 unamwambia wakala Kila debe unampa 500, Sasa ni speed yake kutafuta then Kila weekend unaenda kuchukua mzigo.
 
Wakuu, nipo hapa napambania kujikwamua kwenye umaskini, nipo nachakata mawazo kwa ajili ya kufanya harakati, wengi walianzia chini sana na wakafanikiwa kupata pesa nyingi.

Mawazo yangu niliyonayo ni Nafaka, vifaa vya simu pamoja na umeme, mwisho ni hardware,

Nafaka nilitaka nideal na maharage, mchele pamoja na nafaka nyingine means nazitoa porini nakuja kuziuza mjini, changamoto Mimi ni Mwalimu kwahiyo muda wa kuzunguka porini nakua nimekosa, makazi Kwa Sasa nipo kigoma.

Vifaa vya simu, kigoma huku naona vitu ni bei kubwa sana mfano USB ni 7000, earphone 5000 na vitu vingine, nikatamani niingie kwenye hii biashara kwa sababu machimbo kariakoo ya bei rahisi nayafahamu.

Vifaa vya ujenzi, hii ni hobby yangu, naipenda sana na watu wamepata pesa kweli, kigoma mfuko wa cement ni 26,000/= pamoja na vifaa vingine changamoto mji ni mdogo na competition ni kubwa, hapa kwenye hardware nilitaka nijichanganye kwwnye kununua machine ya uchomeleaji pamoja na aluminum.

Wakuu, lengo langu nipate faida ya laki 5 tu kwa mwezi.

Asanteni
Teacher, nenda na biashara ya simu na vifaa vyake. Halafu unaongezea ndani yake na huduma za kifedha. Hakika utanishukuru kwa huu ushauri.

Na uzuri umekiri mwenyewe machimbo yote ya hivyo vifaa pale Kariakoo unayafahamu. Kwa hii biashara ni rahisi kwako kuisimamia.

Achana na biashara kichaa ya mazao, na pia hiyo ya hardware ambayo kuna wateja wanataka wapelekewe bure mpaka site, hata mfuko mmoja tu wa saruji!
 
Back
Top Bottom