Obed maagi
Member
- May 24, 2024
- 19
- 34
Hivi SIDDO kwa Mwanza ukiwahitaji anawapataje wapi office zao zilipo, msaada tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fair kumbeeeTZS MIL. 10 UNAWEZA KUANZA BIASHARA HIYO.
Wapo kibaoooSifa kubwa ya Utumishi ni kukukusanya hela kisha kuwekeza na biashara kisha pesa kupotea na kuanza upya
Kuna mtumishi kweli yupo success kwenye business mmmh !
Ashikilie hapa hapaaaaweka depot ya vinyweji vya pombe kali , soda,maji nk
sambaza kwenye hayo maduka jirani hapo unaweza kunza kwa usafiri wa pikipiki iliyotumika na kumkabidhi kijana kusambaza mzigo
Unatakiwa uwajue wawashindani wako ni wakinanani, wateja wao ni akina nani na wanapatikana wapiMbinu za utafiti nazielewa kwa kiasi chake, maana naanzia sokoni kujua watu wanauzaje, pia kutafuta machimbo ambayo bidhaa nitazipata kwa bei nafuu, pia location ni muhimu, kuna nyingine zaidi ya hivyo