Itabidi ajifunze kwanzaTengeneza doormat/footmat (vile vya kukanyagia miguu) kwa kutumia uzi then uza ni rahic tuu
Nashukuru
Bibie nakushauri uanze biashara ya kuuza mihogo,viazi na juisi kwenye shule za seco au msingi...kwa huo mtaji wako mdogo nafikiri biashara hii itakuinua kimaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu laki 2 akinunua madishi ya kupikia tu hela imeisha. labda mteja akuje na sahani yake mwenyewe
Karbu AIM Global, nichek watsap 0659426390 for more detailsWakuu amani iwe nanyi nyote...
Mimi nina kama vi laki 560, 000
Naomba ushauri niwekeze kwenye mradi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti chakula cha bure. Umenichekesha sana, you may opt the above suggestionAsante sana sana.
Ila la mwisho, unataka nikale chakula cha bure sirikalini?????
Siyo lazima aende yeye,anaweza kukutuma hata wewe[emoji3]Aisee mkuu umemmaliza[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] aende nairobi na laki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imekaa poa
Kilimo cha nn mkuu??weka hapa tufaidike woteMkuu njoo inbox nikupe mchongo wa kilimo two week tu unakua na pesa nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
vip kuhusu gharama za hicho kiwanda cha kukamua juice ya miwa
Mkuu lete mambo hapahapa huko Pm kuna nini?
MUNGU ndo mlipaji