GreatMkubwa
Member
- Jun 25, 2012
- 99
- 57
Safi sana mkuu mawazo mazuri haya ndo maana huwa nawaambia madogo nikikutana nao kitaa kwamba unachotakiwa mtu kuwa nacho kwanza ni idea ya biashara then unakuja kutafuta mtaji based na idea zako lakini ukiwa na pesa aka mtaji alafu ndo unatafuta wazo la biashara lazima mtu atachemka tu maana wengi watakuwa wanashauri biashara inayoendana na amount ya mtaji ulionao kumbe ingewezekana kufanya biashara hata chini ya kiwango kile cha fedha alichopanga mhusikaBiashara ya uyoga ni nzuri sana, kwa kuanzia unaweza kutumia hata chini ya laki moja na ukapata faida kubwa tu.
Cha kufanya ni wewe uulime mwenyewe, then unafanya packaging na kuuza kwa wateja direct, uyoga una watumiaji wengi sana kwa siku hizi. Ingia mtandaoni google kilimo cha uyoga jifunze. nenda Youtube wapo wakenya wameweka details za kutosha sana. Hapa bongo wapo jamaa wanaitwa [HASHTAG]#Hertufarms[/HASHTAG] wafatilie facebook, insta mpaka you tube utakuja na majibu mazuri naamini. Mimi pia nalima uyoga.
duh!!! 🙁
uko wap mkuu!!! naomba uni_PMBiashara hii hapa
anza kuuza glass protecta.
haswa za tecno na simu zote kwa ujumla tablets n.k, kila moja ntakupa kwa 1500,
Kwa hela yako utapata
pc 60
Utazunguka maofisini.
Nakutabiria utauza kwa siku 10
Kila moja utauza kwa 3000
Kwa siku utapata 30000
Nauli na chakula 10000
Kwa mwezi utapata zaidi ya laki 5
Kwa mwaka utakuwa na zaidi ya ml5
wamwise nakuomba pm kuna kitu naomba ufafanuzi wakoNilikwambia nitalud sasa nimerud mkuu wangu
Kwanza kabla ya yote yakupasa kusali kwa mungu wako hasa jehova maana yeye ndo hujibu maombi kwa wepes sana kushinda mungu wengine
Kwakuwa uko mwanza na una laki tano, fanya kitu kimoja mkuu nenda mlango mmoja kasort tshet nzur za elf moja moja za kama laki mbili, then laki tatu inayobak sort sulual modo kali za jeans za laki tatu yote kama mia vile
Angalizo usinunue robota linaweza kukukata, mimi hiyo ndo biashara ambayo niliifanya ikaniwezesha kupata hela kwa upes sana
Tena kizur zaid saiv mwanza ni musimu wa kila kitu kwa hiyo hela ni ya kumwaga kama siyo kumiminina mazao yote huu ndo msimu wake na wasukuma hupenda sana kuvaa mkuu
Uwe unaenda minadan na uwe una changanya minada ya mjin na vijijin, yaan namanisha uzunguke wilaya zote za nyamagana, ilemela, magu, sengelema na misungwi
Nazan umenipata
Wabheja nkoy
Lakin mimi ni mkulima wa mpunga saiv niko moro na juz nilitoka mpanda huko ndo huwa nalimia maana ardhi ya huko ina rutuba sana
Nahene wamwise
Toa Majibu Kwa Mazingira Hayo Hayo..... Vaa Uhusika Kama WeweInategemea n mazingira aliyop
HahahaHii sasa kashfa! ntake razi
Uongo mtupu usitudanganye hapa yan hizi network marketing zimenipotezea hela [emoji57] [emoji57] [emoji57] hizi zina wenyewe
As u said zina wenywe so kumbe sio uongo. Urekebishe maneno yako tafadhali, afu kufel kwako haimanish na wengine watafel.Uongo mtupu usitudanganye hapa yan hizi network marketing zimenipotezea hela [emoji57] [emoji57] [emoji57] hizi zina wenyewe
99% wanafeliAs u said zina wenywe so kumbe sio uongo. Urekebishe maneno yako tafadhali, afu kufel kwako haimanish na wengine watafel.
I disagree with u, mistake kubwa watu wanafany ni kujoin kipind ishakaa sana na apo ndo kwnye risk kubwa kwa sababu network marketing after some time ina-collapse. Alliance In Motion Global inakua officially launched this month, this is the right time to join dont wait till 2023 ndo ujoin.99% wanafeli