Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Ndio maana nikiweka fursaKosa kubwa tunalofanya wajasiliamali ni Ku copy aina ya biashara kuleta kwenye jamii yako, tuelewe kila sehem kuna aina ya biashara inayotoka, mfano, nenda uswahilini Kwa kina MSAGA SUMU kauze vijola vya Mombasa, nenda shule ya msingi kauze askilim au lambalamba Kwa watoto utapata. Sasa ukitaka kukopi biashara au kupewa aina ya biashara tazama mazingira yako, nn kina miss,nk
Wala sipo huko, nimechangia tuNdio maana nikiweka fursa
ninaspecify na eneo au mazingira ambapo biashara hiyo inaweza kufanyika, bado inakupa shida mkuu?
kweli kabisa,Kosa kubwa tunalofanya wajasiliamali ni Ku copy aina ya biashara kuleta kwenye jamii yako, tuelewe kila sehem kuna aina ya biashara inayotoka, mfano, nenda uswahilini Kwa kina MSAGA SUMU kauze vijola vya Mombasa, nenda shule ya msingi kauze askilim au lambalamba Kwa watoto utapata. Sasa ukitaka kukopi biashara au kupewa aina ya biashara tazama mazingira yako, nn kina miss,nk
Kumbe Aminaaaaaaaaaaaakweli kabisa,
Nauli ni Tshs. 80,000/=kwenda na kurudi,guest siku Moja 20,000/=nadhani huo mtaji bado mdogo sana kwa nguo, maana nauli, gharama za kwenda na kurudi,,,, nakushauri ujazie jazie mtaji afu ndio uifanye biashara ya nguo badae
sawa mkuu, kila la kheri,Nauli ni Tshs. 80,000/=kwenda na kurudi,guest siku Moja 20,000/=
nakuja kuuza kwa jumla
Kwahiyo kula huli mkuu au inakuwaje, maana naona hapo umetoa nauli na kulala tu.Nauli ni Tshs. 80,000/=kwenda na kurudi,guest siku Moja 20,000/=
nakuja kuuza kwa jumla
Aaante kwa ushauri nduguKwahiyo kula huli mkuu au inakuwaje, maana naona hapo umetoa nauli na kulala tu.
Toa na hela yachakula ubaki na lakitatu na point mkuu.
Kula Haipo humo nduguFanya biashara nyingine hiyo itakukost
Kwa bei ya jumla lazima mtu atachagua nguo anazozitaka tu na ambazo hazitaki utabaki nazo lazima itakukata tu
Me nakushauri ufanye biashara za matunda ,viazi na mboga mboga ili katika mtaji wako usiukate wote nadhani hii ishu unaanza na kiasi kama cha laki 3 hiyo nyingine itakulinda tu
Kwahiyo kula huli mkuu au inakuwaje, maana naona hapo umetoa nauli na kulala tu.
Toa na hela yachakula ubaki na lakitatu na point mkuu.