Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,592
Akili ya mende hii, pumbavu sana!hiyo laki tano inakutoa kabisa, nunua kopo moja la carolight, mafuta ya nazi, nenda karume kuna vimini, vitopu na leggings za bei rahisi, nunua perfume ya bei ndogo, halafu kila ikifika jioni tafuta baa yeyote kubwa ingia na uchukue kinywaji chako anza kunywa, jitahidi kutabasamu pale unaposalimiwa na wateja wengine na uwe unatoa ushirikiano kwa kile wanachokuambia, baada ya mwezi hiyo laki tano itakua imejizalisha na kuwa millioni tano!
nakutakia kilala heri usisahau kuleta mrejesho!
hiyo laki tano inakutoa kabisa, nunua kopo moja la carolight, mafuta ya nazi, nenda karume kuna vimini, vitopu na leggings za bei rahisi, nunua perfume ya bei ndogo, halafu kila ikifika jioni tafuta baa yeyote kubwa ingia na uchukue kinywaji chako anza kunywa, jitahidi kutabasamu pale unaposalimiwa na wateja wengine na uwe unatoa ushirikiano kwa kile wanachokuambia, baada ya mwezi hiyo laki tano itakua imejizalisha na kuwa millioni tano!
nakutakia kilala heri usisahau kuleta mrejesho!
nimekuwa nikijiuza kwa mama yako huu mwaka wa 45 na bado analilia kila siku, anza naye wazungu wanaema charity bigins at home!KWANI hii tabia ya kujiuza HUJAACHA? UNATAKA NA MTanzania mwingine aolewe kama wewe? ni DHAMBI UJUE!!
Kama uko mjin,nunua photo printer ndgo,uwe unasafisha picha na unapiga paspot
nimekuwa nikijiuza kwa mama yako huu mwaka wa 45 na bado analilia kila siku, anza naye wazungu wanaema charity bigins at home!
Tigo pesa
hiyo laki tano inakutoa kabisa, nunua kopo moja la carolight, mafuta ya nazi, nenda karume kuna vimini, vitopu na leggings za bei rahisi, nunua perfume ya bei ndogo, halafu kila ikifika jioni tafuta baa yeyote kubwa ingia na uchukue kinywaji chako anza kunywa, jitahidi kutabasamu pale unaposalimiwa na wateja wengine na uwe unatoa ushirikiano kwa kile wanachokuambia, baada ya mwezi hiyo laki tano itakua imejizalisha na kuwa millioni tano!
nakutakia kilala heri usisahau kuleta mrejesho!
Hivi photo printer huaga shngp mkuu na upatikanaji wake vp
Kama upo eneo linalofaa kwa ufugaji Anzisha mradi wa kufuga kuku wa kisasa unaweza kuanza na kkuku 25 hyku kwa makadirio ya kuku 15000Tsh hapo utanunua majogoo 5 na mitetea 20 then unaanza MDOGO MDOGO
Mimi nafanya biashara ya Mult level Marketing nilianza na mtaji wa laki 280 inanilipa nanaendelea vizuri kwa sasa. Nakushauri na wewe karibu laki tatu inaweza kuwa mtaji mkubwa sana kwa biashara hii. 0763797853 whatsap na live calls
Nenda Tandika sokoni asubuhi kuanzia j3-jumamosi kisha udake mashuka na mataulo wanauza bei poa sana kisha uza mtaani.
shuka wanaanzia 1000-5000 kutegemea na ubora na ukubwa .
pia unaweza kuchukua shuka za 1000 nyeupe ukashona foronya ukauza na shuka ukapandisha bei.
I got something from you