Kuna jambo limejificha kwani hata mchakato wa kuteua mgombea wa chama fulani umekiukwa!
Ke wanachakarika sawa lakini usaidizi kwa Me unabaki palepale la sivyo yanayotokea ulimwenguni kwa sasa yamesababishwa na Ke kutokufuata mipango ya Muumba wetu! Usagaji, ushoga nk vimejitokeza hadi kupigiwa chapuo kwa sababu ya kubadilika kwa mfumo wa maisha kwa kipindi hiki.
Ke wanachakarika sawa lakini usaidizi kwa Me unabaki palepale la sivyo yanayotokea ulimwenguni kwa sasa yamesababishwa na Ke kutokufuata mipango ya Muumba wetu! Usagaji, ushoga nk vimejitokeza hadi kupigiwa chapuo kwa sababu ya kubadilika kwa mfumo wa maisha kwa kipindi hiki.