Kwa mtazamo wa Kidini. Je, mwanamke anaweza kuwa Rais?

Kwa mtazamo wa Kidini. Je, mwanamke anaweza kuwa Rais?

Kwa hiyo SSH hafahamu hayo yaliyomo kwenye kitabu chenu??? Maana angekuwa ni Mgalatia angeweza kusema hiyo Quran haimuhusu.
Kule arabuni kuna methari moja mashuhuri sana inasema 👉 unapo swalia ndiyo mie ninapo nyea ...tafsiri ya hiyo methari ipo kwenye hizi picha chini...
FaizaFoxy najua unaijua ile Methari ya bwana👉 Ywaib osman jabi ni mashuhuri sana kule arabuni
 

Attachments

  • 1741083078844.jpg
    1741083078844.jpg
    458.7 KB · Views: 2
  • 1741083076850.jpg
    1741083076850.jpg
    112.6 KB · Views: 1
  • 1741083069223.jpg
    1741083069223.jpg
    737.8 KB · Views: 2
Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.

Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.

Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.

Sasa tunafanyaje?

Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"

Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?

Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.

Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.

Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.

Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Ona kwa mfano Kakagame kanatufanyia dharau jeshi letu na Samia anakatazama tu hajui namna gani afanye.
 
Kwa vile nchi yetu haina dini, urais wa Tanzania, hatutafuti imamu wala kasisi, na kwa mujibu wa katiba yetu, binadamu wote ni sawa, mtu yoyote anaweza kuwa rais!.
P
Kama binadamu wote ni sawa unaweza kukaa ndani ulelewe na mkeo kwa asilimia 100% umsaidie kulea watoto kama baba wa nyumbani? Ukifanikiwa huu mtihani mdogo then utakuwa umenithibitishia.
 
Zanzibar karibu 99% ni waislam na kwenye dini Yao Mwanamke hafai kuwa kiongozi na kiasi flani anadharauliwa sana, kutokana na haya Samia anajitahidi kufanya Kila analoweza kujenga mabarabara mpaka vichochoroni, ujenzi wa masoko ya kisasa Kila wilaya, ujenzi wa mahospitali makubwa nk haya yote Ili kuwaonyesha jamii ya kizanzibar kwamba kuliwahi kutokea Rais Mwanamke aliyefanya mambo makubwa kuliko hao Marais wanaume waliopita
kwani huyo ni rais wa zanzibar?
 
Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.

Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.

Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.

Sasa tunafanyaje?

Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"

Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?

Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.

Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.

Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.

Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Nenda ukanywe vidonge vyako naona jua kali tayari medulla oblangata ime cease!!

Serikali haina dini, hivyo kujustfy hoja yako kwa kutumia Quran na bible ni kwenda kinyume na Katiba ya JMT ambayo haija segregate u Rais kwa kutumia jjnsia
 
Video moja nimeiweka jana mod ameiondoa; wanawake Uswahilini wameandaa Ngoma wanacheza wanasema hawamtaki Mama Samia.
Anaulizwa yule demu huku,huku anachrza Ngoma;
Q: Unaitwa nani?
A; Naitwa Saradeo mtoto wa Kimakonde.....
(Shangwe)
Q: Sababu ya kutokumtaka Mama Samia ni nini?
A; Mama Samia huyu huyu mkorofi.
Mama Samia huyu huyu tapeli wa mitandaoni.
( Shangwe).
Bro kumbuka Rais Samia kampa kazi mdogo wako Makongoro Nyerere. Hebu kuweni na shukrani japo kidogo
 
Ukiachana na dini kukataza pia Tanzania bado haiko tayari kuongozwa na Mama ndomana nguvu nyingi inatumika kumtangaza kwenye mabango na kila bidhaa ili aonekane anapendwa.
 
Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.

Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.

Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.

Sasa tunafanyaje?

Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"

Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?

Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.

Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.

Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.

Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Tanzania haiongozwi kwa Amri 10 za Mungu wala Sharia za Kiislam. Tayari tunaye Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu. Mengine ya Mwenyezi Mungu tutaendelea kuyatii kwenye mimbari na madhabahu.🙏🙏🙏
 
Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.

Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.

Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.

Sasa tunafanyaje?

Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"

Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?

Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.

Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.

Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.

Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Upumbavu mtupu. Urais unatumia akili, busara na maarifaa katika kuongoza nchi.

Hizi habari za mwanamke kuonekana hafai ni story za mitaani ambazo hazina mashiko yoyote.

Ujerumani iliongozwa na chancellor mwanamke kwa miaka 15 (2005-2021) kuna namna yoyote inaweza kulinganishwa na Tanzania kwa maendeleo iliyoyapata katika muda huo?.
 
Ayn Rand: “I would never vote for a woman president"



View: https://youtu.be/cL8g7zy6qxw?si=gw-NJjDqzeiWWyE9

Habari ya Marekani inachekesha. Wanakataa kuongozwa na mwanamke lakini Rais akitoka chama cha democrat kunakuwepo na msenge mmoja anayepewa nafasi ya uwaziri!.

Hao ni tofauti na sisi huku afrika. Samia amefanya kazi nzito katika hii miaka minne ambayo wanaume wengi wanaweza kushindwa kuifanya.
 
kwani huyo ni rais wa zanzibar?
Rais wa Tanzania ikiwemo Zanzibar, ila unachotakiwa kujua ni kwamba ktk muhula wake Samia Zanzibar inajengwa kupita wakati wowote ule maana yake ni kwamba pesa zote za miradi mikubwa Zanzibar zinatoka kwake.
 
Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.

Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.

Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.

Sasa tunafanyaje?

Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"

Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?

Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.

Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.

Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.

Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Kila uchao wanapokea pesa za huyo huyo mwanamke , unategemea waseme nini? Penye udhia penyeza rupia.
 
Zanzibar karibu 99% ni waislam na kwenye dini Yao Mwanamke hafai kuwa kiongozi na kiasi flani anadharauliwa sana, kutokana na haya Samia anajitahidi kufanya Kila analoweza kujenga mabarabara mpaka vichochoroni, ujenzi wa masoko ya kisasa Kila wilaya, ujenzi wa mahospitali makubwa nk haya yote Ili kuwaonyesha jamii ya kizanzibar kwamba kuliwahi kutokea Rais Mwanamke aliyefanya mambo makubwa kuliko hao Marais wanaume waliopita
Uongozi madhumuni yake ni kutengeneza mifumo thabiti itakayofanya kazi kwa muda mrefu na kuleta matokeo chanya. Mfano Yesu hakujenga Jengo lolote la kanisa lakini alianzisha mfumo wa kanisa na upo imara mpaka leo. Nyerere hakujenga mavitu mengi lakini anatajwa karibu kila leo. Kitu cha muhimu sana ni kutambua wajibu wako kama kiongozi ni upi? Maana hizo barabara ni muhimu sanaa lakini si kitu cha kuji-promote ulifanya ulipokuwa kwa nafasi fulani. Kwa sababu hizo hujengwa kwa kodi au misaada ya wafadhili. Lakini hakuna mfadhili atakuja kututengenezea mifumo thabiti hapa nchini. Hayupo mpaka mwisho wa Dunia.
 
Back
Top Bottom