Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Inasound poa tu mzeeVipi kuwa na mkuu wa majeshi mwanamke, inasound vipi kwako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasound poa tu mzeeVipi kuwa na mkuu wa majeshi mwanamke, inasound vipi kwako?
Issue ya mifumo wananchi wengi hawaelewi wao wanataka kuona majengo, barabara, mkono unaenda kinywani nk. Kwahiyo na viongozi wengi wanapitiamo humo humo.Uongozi madhumuni yake ni kutengeneza mifumo thabiti itakayofanya kazi kwa muda mrefu na kuleta matokeo chanya. Mfano Yesu hakujenga Jengo lolote la kanisa lakini alianzisha mfumo wa kanisa na upo imara mpaka leo. Nyerere hakujenga mavitu mengi lakini anatajwa karibu kila leo. Kitu cha muhimu sana ni kutambua wajibu wako kama kiongozi ni upi? Maana hizo barabara ni muhimu sanaa lakini si kitu cha kuji-promote ulifanya ulipokuwa kwa nafasi fulani. Kwa sababu hizo hujengwa kwa kodi au misaada ya wafadhili. Lakini hakuna mfadhili atakuja kututengenezea mifumo thabiti hapa nchini. Hayupo mpaka mwisho wa Dunia.
Ni kweli mamako mzazi hawezi kuwa Rais. Ila kama ni mama Samia ataendelea kuwa Rais hadi 2030. Pia tunaangalia uwezekano wa kumuongezea miaka 7.Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.
Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.
Sasa tunafanyaje?
Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"
Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?
Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.
Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.
Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.
Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Aione ZemandaUpumbavu mtupu. Urais unatumia akili, busara na maarifaa katika kuongoza nchi.
Hizi habari za mwanamke kuonekana hafai ni story za mitaani ambazo hazina mashiko yoyote.
Ujerumani iliongozwa na chancellor mwanamke kwa miaka 15 (2005-2021) kuna namna yoyote inaweza kulinganishwa na Tanzania kwa maendeleo iliyoyapata katika muda huo?.
Bora kuongozwa na Wazungu kuliko kuongozwa na Waarabu.Sisi tunaongozwa na wazungu kwa kila kitu ...Mpaka sheria zetu zimeandika kwa lugha ya wazungu.
Bora waarabuBora kuongozwa na Wazungu kuliko kuongozwa na Waarabu.
Andiko hili liwafikie wote ambao Huwa wanahoji utimamu wako upstairs!Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.
Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.
Sasa tunafanyaje?
Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"
Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?
Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.
Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.
Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.
Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Mbona wanaume kama jpm urais uliwashinda wakabaki wanaua watu na kuharibu uchaguzi na kutengeneza mazingira ya watu kupita bil kupingwa. Kama jpm aliweza kutawala licha ya udhaifu ule kwa nini mwanamke ashindweKwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.
Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.
Sasa tunafanyaje?
Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"
Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?
Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.
Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.
Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.
Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Mbona wanaume kama jpm urais uliwashinda wakabaki wanaua watu na kuharibu uchaguzi na kutengeneza mazingira ya watu kupita bil kupingwa. Kama jpm aliweza kutawala licha ya udhaifu ule kwa nini mwanamke ashindweKwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.
Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.
Sasa tunafanyaje?
Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"
Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?
Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.
Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.
Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.
Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Usichanganye mwanamke kushika dola na kuwa kiongozi wa dini. Kuwa kiongozi wa dola hakuna maandiko ktk bibilia yanayosema Mungu ameweka zuio la mwanamke kuwa kiongozi wa nchi. Uingereza mfalme/malkia ndyo mkuu wa kanisa la Anglican, na ndyo walotuletea ukiristo.Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.
Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.
Sasa tunafanyaje?
Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"
Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?
Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.
Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.
Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.
Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Waarabu wameleta nini Africa zaidi ya biashara ya Utumwa na Uislam??Bora waarabu
Hawakuwahi kuitawala afrika , hao watumwa wako wapi huko Arabuni ?Waarabu wameleta nini Africa zaidi ya biashara ya Utumwa na Uislam??
Mtu wa kwanza kuivamia pwani ya Afrika Mashariki na hasa Tanzania ni Mreno na alituletea Serikali,mazao mbalimbali kama vile mahindi,mhogo nk.,akaja Mwarabu akatawala na kutuletea Biashara ya Utumwa,umwinyi na dini ya Kiislamu,akaja Mjerumani akatuletea mashamba ya mkonge,akatujengea reli ya kati,akatujengea miji,mikoa na wilaya na kutjengea barabara za kuunganisha miji hiyo,akafuta biashara ya utumwa iliyoasisiwa na Waarabu.Baada ya Vita vya Kwanza vya Dunia Mjerumani akafurumushwa na Nchi ikachukuliwa na Waingereza wakatujengea Reli ya Kaskazini na kuendeleza kilimo cha mazao ya biashara kama vile chai,kahawa,mkonge,pamba na hata tumbaku.Wakaendeleza kutoa elimu bure ili Mwafrika naye afanane nao.Walitoa huduma ya afya bure wakatujengea miji,wilaya na mikoa mbalombali.Hawakuwahi kuitawala afrika , hao watumwa wako wapi huko Arabuni ?
Hakuna ujinga wa demokrasia tungekuwa kama Dubai .
Hakuwahi kutawala kama hujui ,soma tena urudi mezani ...Mtawala alikuwa na mifumo ya serikali ,haki zote za umiliki wa koloni.Mtu wa kwanza kuivamia pwani ya Afrika Mashariki na hasa Tanzania ni Mreno na alituletea Serikali,mazao mbalimbali kama vile mahindi,mhogo nk.,akaja Mwarabu akatawala na kutuletea Biashara ya Utumwa,umwinyi na dini ya Kiislamu,akaja Mjerumani akatuletea mashamba ya mkonge,akatujengea reli ya kati,akatujengea miji,mikoa na wilaya na kutjengea barabara za kuunganisha miji hiyo,akafuta biashara ya utumwa iliyoasisiwa na Waarabu.Baada ya Vita vya Kwanza vya Dunia Mjerumani akafurumushwa na Nchi ikachukuliwa na Waingereza wakatujengea Reli ya Kaskazini na kuendeleza kilimo cha mazao ya biashara kama vile chai,kahawa,mkonge,pamba na hata tumbaku.Wakaendeleza kutoa elimu bure ili Mwafrika naye afanane nao.Walitoa huduma ya afya bure wakatujengea miji,wilaya na mikoa mbalombali.
Acha ujinga Sultan wa Oman hakuwahi tawala Zanzibar na pwani ya Afrika Mashariki?Hakuwahi kutawala kama hujui ,soma tena urudi mezani ...Mtawala alikuwa na mifumo ya serikali ,haki zote za umiliki wa koloni.
Tawala za umwinyi muarabu kazikuta Africa kama hujui ,hakuanzisha yeye.
Waarabu walipita kweny trade route tu basi ,rudia kusoma vizuri.
Mwaka gani alitawala ? Sasa huyo sultan alikuwa anafanya biashara ya utumwa?Acha ujinga Sultan wa Oman hakuwahi tawala Zanzibar na pwani ya Afrika Mashariki?
Waulize Wizara ya Elimu wafute kwenye kumbukumbu zao ili watoto wasifundishwe uongo ubaki na elimu yako ya madrasaMwaka gani alitawala ? Sasa huyo sultan alikuwa anafanya biashara ya utumwa?
Kulikuwa na ngome ili kulinda trade route yao.
wewe umechanganyikiwaMbona wanaume kama jpm urais uliwashinda wakabaki wanaua watu na kuharibu uchaguzi na kutengeneza mazingira ya watu kupita bil kupingwa. Kama jpm aliweza kutawala licha ya udhaifu ule kwa nini mwanamke ashindwe
Wajitokeze wenye dini zao wasemaKwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.
Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.
Sasa tunafanyaje?
Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"
Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?
Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.
Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.
Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.
Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Nimekuuliza sultan alikuwa anafanya biashara ya utumwa ...Waarabu hawakuwahi kutawala Africa Walipita tu basi.Waulize Wizara ya Elimu wafute kwenye kumbukumbu zao ili watoto wasifundishwe uongo ubaki na elimu yako ya madrasa