Bas nchi tutampa mumeo aiongoze bibie!Video moja nimeiweka jana mod ameiondoa; wanawake Uswahilini wameandaa Ngoma wanacheza wanasema hawamtaki Mama Samia.
Anaulizwa yule demu huku,huku anachrza Ngoma;
Q: Unaitwa nani?
A; Naitwa Saradeo mtoto wa Kimakonde.....
(Shangwe)
Q: Sababu ya kutokumtaka Mama Samia ni nini?
A; Mama Samia huyu huyu mkorofi.
Mama Samia huyu huyu tapeli wa mitandaoni.
( Shangwe).
Hatutumii Qur an wala Biblia ndugu yangunchi kutokuwa ya kidini hakubatilishi Neno la Mungu. Neno la Mungu ni conclusive.
Samia amefanya vizuri mno, kuliko hata wanaume na midevu yao kama mabeberu.Zanzibar karibu 99% ni waislam na kwenye dini Yao Mwanamke hafai kuwa kiongozi na kiasi flani anadharauliwa sana, kutokana na haya Samia anajitahidi kufanya Kila analoweza kujenga mabarabara mpaka vichochoroni, ujenzi wa masoko ya kisasa Kila wilaya, ujenzi wa mahospitali makubwa nk haya yote Ili kuwaonyesha jamii ya kizanzibar kwamba kuliwahi kutokea Rais Mwanamke aliyefanya mambo makubwa kuliko hao Marais wanaume waliopita
Sheikh anazungumzaa katika 'context' ya kiimani..wa Dola Kiislamu inayoongozwa kwa Sharia, hazungumzii katika mfumo wa uongozi wa kisekula..Kwa hiyo SSH hafahamu hayo yaliyomo kwenye kitabu chenu??? Maana angekuwa ni Mgalatia angeweza kusema hiyo Quran haimuhusu.
Kwa vile nchi yetu haina dini, urais wa Tanzania, hatutafuti imamu wala kasisi, na kwa mujibu wa katiba yetu, binadamu wote ni sawa, mtu yoyote anaweza kuwa rais!.Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.
Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.
Sasa tunafanyaje?
Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"
Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?
Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.
Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.
Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.
Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
Kwa vile rais wa Tanzania, hatutafuti mtume, mwanamke anaweza kuwa rais wa Tanzania.Tuwaulize wakristu, ni kwa nini mitume wa Yesu hapakuwa na mwanamke? Basi Yesu alionyesha kuwa mwanamke hawezi kuwa kiongozi. Hata Mungu nae alitoa tu ubavu wa mwanaume na kumuumba mwanamke, alionyesha kuwa mwanaume ndiye anaemuongoza mwanamke.
Vipi kuwa na mkuu wa majeshi mwanamke?Kwa vile nchi yetu haina dini, urais wa Tanzania, hatutafuti imamu wala kasisi, na kwa mujibu wa katiba yetu, binadamu wote ni sawa, mtu yoyote anaweza kuwa rais!.
P
Nafasi zote za kiserikali, mtu wa jinsia yoyote, anaweza kuwa, na kushika, hivyo hata mwanamke anaweza kuwa CDF!.Vipi kuwa na mkuu wa majeshi mwanamke?
Aliyekuambia kuna mwanamke anaongoza nchi ni nani. Kama yupo basi yeye yuko pale kama remote na mkono unaoshika hiyo remote uko Msoga kwa mtaafu asiyetaka wala kukubali kustaafu.Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke.
Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi, lakini si kuwa mkuu wa dola.
Kwa muktadha huo, tunaposema mwanamke anaweza kuwa rais, tunapingana na maandiko matakatifu tuliyo nayo.
Sasa tunafanyaje?
Katika Biblia, kuna hadithi ya mfalme aliyesema, "Siku nyingi hekalu halijakarabatiwa. Nataka hekalu likarabatiwe." Wakati wa ukarabati, walikuta kitabu cha Torati. Waliposoma maandiko yake, mfalme aligundua kuwa taifa lilikuwa linafanya mambo mengi yaliyokatazwa. Akauliza, "Tufanye nini sasa?"
Je, Watanzania tunapaswa kujiuliza swali hilo hilo?
Ikumbukwe kuwa Ikulu ilipojengwa awali, haikuwa nyumba ya mtawala; ilikuwa chuo cha dini ya Kiislamu. Sasa, tunajadili jambo ambalo limekatazwa katika Msahafu.
Tunasema mwanamke anaweza kuwa rais, lakini Msahafu unakataa.
Kwa mfano, hata Kanisa Katoliki limekataa kuwapa wanawake upadrisho, na suala la wanawake kuwa maimamu bado halijakubaliwa.
Pengine ni wakati wa kurudi kwenye misingi ya imani na historia ya taifa letu.
And it sounds pretty to you for a woman to be CDF?Nafasi zote za kiserikali, mtu wa jinsia yoyote, anaweza kuwa, na kushika, hivyo hata mwanamke anaweza kuwa CDF!.
P