Kwa mtindo huu UKIMWI hautakwisha!

Kwa mtindo huu UKIMWI hautakwisha!

Kwa kweli hali ni mbaya sanasana mtaani, juzjuz nilienda amref pale kupima nikakutana na kisichana kidogo cha miaka 16
tukawa tunasubiria majibu na watu wengine akaitwa kutoka analia huku anakimbia, nusu nikimbie na mie kabla sijaingia
nashukuru niliingia mambo sio mabaya,nilivotoka nje nikamkuta kakaa pale kwa nje nikamwambia tuondoke wote
njiani alinambia ni shemeji yake anayeishi naye ndio kamwambukiza, na anaishi sinza na dada yake,jamani wadogo zetu
mjitunze sio mnakimbilia waume wa dada zenu ona sasa yamemkuta.
 
Kwa kweli hali ni mbaya sanasana mtaani, juzjuz nilienda amref pale kupima nikakutana na kisichana kidogo cha miaka 16
tukawa tunasubiria majibu na watu wengine akaitwa kutoka analia huku anakimbia, nusu nikimbie na mie kabla sijaingia
nashukuru niliingia mambo sio mabaya,nilivotoka nje nikamkuta kakaa pale kwa nje nikamwambia tuondoke wote
njiani alinambia ni shemeji yake anayeishi naye ndio kamwambukiza, na anaishi sinza na dada yake,jamani wadogo zetu
mjitunze sio mnakimbilia waume wa dada zenu ona sasa yamemkuta.

Inasikitisha sana kuona mtoto wa miaka 18 anaathirika.Ila kuathirika sio mwisho wa maisha.
pia hongera kwa kuwa HIV-
 
Inasikitisha sana kuona mtoto wa miaka 18 anaathirika.Ila kuathirika sio mwisho wa maisha.<br />
pia hongera kwa kuwa HIV-
<br />
<br />
Ukija kusema mtu km huyu utaambiwa unyanyapaa?! Ajabu na kweli
 
Asante sana DA.. yaani hii kitu umeileta maala pake.. si wajua siku za sikukuu maambukizi uwa yanaongezeka... Akina dada wamekupata FIKA
 
Asante sana DA.. yaani hii kitu umeileta maala pake.. si wajua siku za sikukuu maambukizi uwa yanaongezeka... Akina dada wamekupata FIKA

Sante sana kwa kunielewa mkuu. Barikiwa na Bwana
 
Kuna mdada alinambia kuna bosi mkubwa tu alimtaka. Akawa anamsumbua sana na kwa kuwa alikuwa anamtegemea ili kazi zake za kiofisi ziende akaamua kuja na mbinu bab kubwa ya kumkatisha tamaa huyo kibosile. Akamwambia hata mimi nakupenda saaana ila hapa nilipo natumia ARV.

You know what. Mbaba badala ya kusikitika ndio katoa boonge la tabasam akamjibu eti hata mimi ni muhathirika miaka mingi tu so no problem. Well huyo dada anadeal na issues fulani zinazomfanya akutane na mabosi wengi mostly kwa ajili ya grants. Hivyo aliamua kumuhifadhi huyo jamaa ila story alinimegea tulipokuwa tunaogelea magonjwa na kuwa wahathirika ni wengi na huwezi kuwajua kwa macho sababu ya ARV.
 
Kuna watu hawana aibu hata kidogo, kwa vile anaona tayari anataka afe na wengi, kibaya zaidi ukute karubuni wadada wengi na kaishatembea nao you never know hali ikoje au circle inazunguka vipi yaani lililobaki ni kumuomba Mungu tu atusaidie na kutulinda vinginevyo hali sio nzuri kabisa. Pole DA.
pole bibie Dena, labda alihisi kwa kuwa mnatoa huduma kwa watu wa aina yake basi nanyi mtakuwa wagonjwa pia! Wanaume noumer wasione sket inakatiza!
 
pole bibie Dena, labda alihisi kwa kuwa mnatoa huduma kwa watu wa aina yake basi nanyi mtakuwa wagonjwa pia! Wanaume noumer wasione sket inakatiza!
<br />
<br />
Kweli Ndg yangu. Mmmmhh!!
 
Yaani wewe acha tu siku yangu leo si nzuri kabisa
<br />
<br />

Ongea naye, l mean kama shirika lenu mnaqafadhili l am sure unaweza anzia hapo katika counciling yako! Muulize kwanini anakutongoza wakati anajua umeolewa? Usigusie chochote kuhusu hali yake, ongea naye kama college wako wa ofisini ambaye hujui HIV status yake!

Kwani l am sure kilichokupiss off ni kwa vile unajua ni muathirika! But u of all people should know that kuwa positive hakusababishi moyo kutamani! Huenda anakupima kama unaishi unachokihubiri (anti-unyanyapaa). The fact kuwa kafiwa mke hiyo ndiyo inamfanya kuhitaji mwanamke zaidi kwani hana mwingine! Wanawake tulioolewa tunatongozwa all the time.

As some one said hapo juu, maybe alikufata wewe specifically kwakuwa wajua status yake, na kwamba ukikubali mtaplay safe kama mnavyowahubiri!

I see unyanyapaa zaidi kuliko tatizo! Wengine unawatoleaje nje? Do the same to him!

Lastly muombe Mungu sana aiepushie ndoa na familia yako janga hili la Ukimwi!
 
Msinishambulie sana kwamba namnyanyapaa la hasha hata kidogo.......................

Nimefanya nae kazi kwa ukaribu na kumsaidia sana katika mambo mengi ya kikazi, lakini......................
Nimemshangaa sana jana kunipigia simu na kuniambia ananipenda wakati ana jua fika kuwa nina mume na watoto.....................

Kunitaka sikatai ni hali ya wanaume kumtamani/sijui kumpenda mwanamke......................
Najiuliza anataka kuniweka katika group lake la PLHA au shida yake nini hasa??

Ni mmoja wa chair wa chama cha hawa wenzetu PLHA..................
Na sisi ni moja ya shirika ambalo linawapa msaada mkubwa na support yao yote inatoka kwetu.....................
Nimekosa jibu nakubaki nimeshangaa............................................

Najiuliza je ni kwa sababu mkewe kafariki??

Au nini hasa???

Nilijikuta nataka/natamani kumtukana lakini namuheshimu maana ni sawa na Baba yangu kabisa..................................
Najiuliza kama anaweza kunitongoza mimi ambaye namjua kuwa anaishi na VVU je kwa wasichana wengine wasomjua???...................

Kweli UKIMWI hautakwisha TZ kwa mtindo huu........................................
Wajameni tuwe makini sana......................

Cheers

DA
pole sana,naamin hajakuharibia swaumu yako-maana yeye hajafunga
 
Kuna mdada alinambia kuna bosi mkubwa tu alimtaka. Akawa anamsumbua sana na kwa kuwa alikuwa anamtegemea ili kazi zake za kiofisi ziende akaamua kuja na mbinu bab kubwa ya kumkatisha tamaa huyo kibosile. Akamwambia hata mimi nakupenda saaana ila hapa nilipo natumia ARV.

You know what. Mbaba badala ya kusikitika ndio katoa boonge la tabasam akamjibu eti hata mimi ni muhathirika miaka mingi tu so no problem. Well huyo dada anadeal na issues fulani zinazomfanya akutane na mabosi wengi mostly kwa ajili ya grants. Hivyo aliamua kumuhifadhi huyo jamaa ila story alinimegea tulipokuwa tunaogelea magonjwa na kuwa wahathirika ni wengi na huwezi kuwajua kwa macho sababu ya ARV.

Umeona sasa tukisema eti unyanyapaa kha??
 
Wakuu hili lakuambukiza kwa makusudi hata huku kwetu lipo kuna jamaa anagawa hela bila kubagua ni dent, barmade au ni mtu gani yeye alimladi alale nae tu na hua anaenda peku hata kama walikubaliana kutumia zana kiivi tutafika jamani?
 
Jamani mjue kuna watu duniani hwajali kutoka na mwenye vvu

Wanajifunza tu jinsi ya kulala wote na nini wafanye mwenza asipate vvu
Wengine hadi wanaamua kuzaa

Yote ni kuomba Mungu akulinde tu.
 
<br />
<br />

Ongea naye, l mean kama shirika lenu mnaqafadhili l am sure unaweza anzia hapo katika counciling yako! Muulize kwanini anakutongoza wakati anajua umeolewa? Usigusie chochote kuhusu hali yake, ongea naye kama college wako wa ofisini ambaye hujui HIV status yake!

Kwani l am sure kilichokupiss off ni kwa vile unajua ni muathirika! But u of all people should know that kuwa positive hakusababishi moyo kutamani! Huenda anakupima kama unaishi unachokihubiri (anti-unyanyapaa). The fact kuwa kafiwa mke hiyo ndiyo inamfanya kuhitaji mwanamke zaidi kwani hana mwingine! Wanawake tulioolewa tunatongozwa all the time.

As some one said hapo juu, maybe alikufata wewe specifically kwakuwa wajua status yake, na kwamba ukikubali mtaplay safe kama mnavyowahubiri!

I see unyanyapaa zaidi kuliko tatizo! Wengine unawatoleaje nje? Do the same to him!

Lastly muombe Mungu sana aiepushie ndoa na familia yako janga hili la Ukimwi!

My concern ilikuwa why anitake??? Cause kuwa na HIV si kwamba kunamzuia kupenda au kusikia hamu ya kufanya mapenzi but kwanini asitafute mpenzi wakaelimishwa na kuishi vizuri hata kama ni negative + positive?? Mimi ananitaka wa nini kama sio kuniharibia?? Hazuiwi kupenda wala kuwa na mpenzi lakini ananitaka nifanye nae nini??? Ngono then what next?? Aaaahhh bana haifai
 
Wakuu hili lakuambukiza kwa makusudi hata huku kwetu lipo kuna jamaa anagawa hela bila kubagua ni dent, barmade au ni mtu gani yeye alimladi alale nae tu na hua anaenda peku hata kama walikubaliana kutumia zana kiivi tutafika jamani?

Tufike wapi ndugu yangu???
 
Back
Top Bottom