Kwa mtoto mtundu ambaye hasikii fanya hichi kitu

Kwa mtoto mtundu ambaye hasikii fanya hichi kitu

Kulupango

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
288
Reaction score
535
Piga kofi moja usawa wa shingo chini ya kisogo ili kurestore setting ya brain. Hakikisha unampiga kofi moja kubwa sana la kushtukiza apepesuke arukie mbali kabisa, nakuapia hatorudia tena.

Msiwadekeze watoto na kuwafanya mayai, nyumba ambayo haina bakora iliyo ning'inizwa juu ni nyumba isiyo na maadili na pia ina malezi mabovu kwa watoto. Nimeshuhudia visa vingi sana ikiwemo dogo kumchoma na pasi mtoto mwenzake, mtoto kunyea chakula, kumtoboa jicho mwenzake, kuvunja vitu vya ndani makusudi na mzazi anakenua meno tu, n.k chukua uwamuzi huu mapema sana mvizie siku 1 ambapo atarudia kufanya jambo ulilomkataza karibu mara mia laki hasikii, m'butue kofi moja matata sana, utakuja kunishukuru.

Mtoto anayepiga makofi wageni au kuwanenea wageni maneno mabaya sijui 'toka kwetu, unanuka mdomo, utakula chakula chetu, utalala kwetu''. Washughulikieni mapema kabla hawajakuwa panya road. Mara nyingi watoto watundu ni wale ambao nyumba zao hazina dini au mienendo ya kiimani.

Tahadhari, kuna tofauti kati ya mtoto mtundu na mtoto mtukutu. Mimi nazungumzia mtoto mtundu

images (2).jpg
 
Piga kofi moja usawa wa shingo chini ya kisogo ili kurestore setting ya brain. Hakikisha unampiga kofi moja kubwa sana la kushtukiza apepesuke arukie mbali kabisa, nakuapia hatorudia tena.

Msiwadekeze watoto na kuwafanya mayai, nyumba ambayo haina bakora iliyo ning'inizwa juu ni nyumba isiyo na maadili na pia ina malezi mabovu kwa watoto. Nimeshuhudia visa vingi sana ikiwemo dogo kumchoma na pasi mtoto mwenzake, mtoto kunyea chakula, kumtoboa jicho mwenzake, kuvunja vitu vya ndani makusudi na mzazi anakenua meno tu, n.k chukua uwamuzi huu mapema sana mvizie siku 1 ambapo atarudia kufanya jambo ulilomkataza karibu mara mia laki hasikii, m'butue kofi moja matata sana, utakuja kunishukuru.

Mtoto anayepiga makofi wageni au kuwanenea wageni maneno mabaya sijui 'toka kwetu, unanuka mdomo, utakula chakula chetu, utalala kwetu''. Washughulikieni mapema kabla hawajakuwa panya road. Mara nyingi watoto watundu ni wale ambao nyumba zao hazina dini au mienendo ya kiimani.

Tahadhari, kuna tofauti kati ya mtoto mtundu na mtoto mtukutu. Mimi nazungumzia mtoto mtundu

View attachment 2210069
Duh!
Hilo kofi litakupeleka lupango..
Bakora, tena ya miguuni inatosha
 
Kumpiga mtoto hivyo,kama anavyopendekeza mleta mada,hiyo ni ukiukwaji wa haki za watoto.Mtoto kaa nae,mueleweshe,atakuelewa.Kama mbwa anakaripiwa na anjirekebisha,sembuse mtoto wako?
Hawa watoto wanazaliwa wakiwa hawana kitu kichwani,familia,wanamtaa na jamii inayomzunguka ndiyo inayo install vitu mbalimbali kichwani mwake,hivyo kupelekea kuvifanya kumbe anakosea.Jamii ibadilike,watoto wataiga yale mazuri watakayokutana nayo duniani.Kuna hao Panyaroads,ao no zao la jamii yetu,jamii haitimizi wajibu wake ipasavyo kuhusu malezi.Jamii ibadilike,wafanyayo watoto ni kioo chetu sisi wakubwa.
 
Back
Top Bottom