Kwa mtoto mtundu ambaye hasikii fanya hichi kitu

Kwa mtoto mtundu ambaye hasikii fanya hichi kitu

Piga kofi moja usawa wa shingo chini ya kisogo ili kurestore setting ya brain. Hakikisha unampiga kofi moja kubwa sana la kushtukiza apepesuke arukie mbali kabisa, nakuapia hatorudia tena.

Msiwadekeze watoto na kuwafanya mayai, nyumba ambayo haina bakora iliyo ning'inizwa juu ni nyumba isiyo na maadili na pia ina malezi mabovu kwa watoto. Nimeshuhudia visa vingi sana ikiwemo dogo kumchoma na pasi mtoto mwenzake, mtoto kunyea chakula, kumtoboa jicho mwenzake, kuvunja vitu vya ndani makusudi na mzazi anakenua meno tu, n.k chukua uwamuzi huu mapema sana mvizie siku 1 ambapo atarudia kufanya jambo ulilomkataza karibu mara mia laki hasikii, m'butue kofi moja matata sana, utakuja kunishukuru.

Mtoto anayepiga makofi wageni au kuwanenea wageni maneno mabaya sijui 'toka kwetu, unanuka mdomo, utakula chakula chetu, utalala kwetu''. Washughulikieni mapema kabla hawajakuwa panya road. Mara nyingi watoto watundu ni wale ambao nyumba zao hazina dini au mienendo ya kiimani.

Tahadhari, kuna tofauti kati ya mtoto mtundu na mtoto mtukutu. Mimi nazungumzia mtoto mtundu

View attachment 2210069
am 100% huna mtotot
but siku ukipata mtoto hasa ile mimba ya kusumbua kwenda kununulishwa juice ya ndimu saa 9 usiku,kamwe huwez andika upuuzi huu
 
am 100% huna mtotot
but siku ukipata mtoto hasa ile mimba ya kusumbua kwenda kununulishwa juice ya ndimu saa 9 usiku,kamwe huwez andika upuuzi huu
Yani umtesekee mtoto mwanzoni alafu ufeli mwishoni kisa uliteseka wakati wa mimba mhh malezi ya utoto ndio picha ya ukubwani
 
Mmh hilo kofi lisije kum R.I.P mtoto bure, mchape fimbo za miguuni tu, ila pia unaweza kuongea kwa ukali akajua umekasirika akaacha, nakumbuka bimkubwa alikua akiniangalia tu naanza kuomba msamaha mwenyewe. Macho flani hivi makalii
Hizo zilikuwa enzi hizo,watoto wa siku hizi hata hayo macho hawajui. Hiki kizazi cha wakati wa JK ni hasara tupu lakini wazazi tusikwepe majukumu yetu ya ulezi. Bora umchape ashindikane kuliko kutomchapa kabisa.
 
Hii ina maana kwamba umeshindwa kulea mtoto na unatafuta njia ya mkato (Kwa kumpiga), wewe ndiye mwenye tatizo (Huwezi kulea) na si mtoto. Utovu wa nidhamu wa mtoto au tabia zisizofaa za mtoto wako ni reflection ya wewe mzazi hivyo kumpiga sio suluhisho. Kama umeshindwa malezi omba ushauri kwa wengine wakusaidie, sisi ni wanadamu na tunapaswa kujifunza kila siku.
 
Nimeona huu uzi nikaufurahia sana,sababu ni leo tu jiran yangu mmoja ,kwa umri ni dada..ana mtoto wake drs la 5,mtundu,au mtukutu japo sijui kutofautisha.
Anaiba nyumban chench chench,akaenda sehem ya biashara mama yake anapofanyia,anaruka ddirisha pia anaiba pesa hata za wengine humo ndani.Inasikitisha mana mama yake kapewa notice na kuondoshwa kwenye ile ofisi.
Mtoto hasikii ,kapigwa mpaka uongozi wa mtaa ukaingilia kati(kuwa anafanyiwa ukatili),wazazi wameacha sasa wanamtazama kwa huzuni.
Shule anaenda,ila siku si za shule,hashindi nyumban,anaweza ondoka asubuh,kurudi saa tano usiku.
Naomben ushaur gani nimpe huyu jirani.
 
Nimeona huu uzi nikaufurahia sana,sababu ni leo tu jiran yangu mmoja ,kwa umri ni dada..ana mtoto wake drs la 5,mtundu,au mtukutu japo sijui kutofautisha.
Anaiba nyumban chench chench,akaenda sehem ya biashara mama yake anapofanyia,anaruka ddirisha pia anaiba pesa hata za wengine humo ndani.Inasikitisha mana mama yake kapewa notice na kuondoshwa kwenye ile ofisi.
Mtoto hasikii ,kapigwa mpaka uongozi wa mtaa ukaingilia kati(kuwa anafanyiwa ukatili),wazazi wameacha sasa wanamtazama kwa huzuni.
Shule anaenda,ila siku si za shule,hashindi nyumban,anaweza ondoka asubuh,kurudi saa tano usiku.
Naomben ushaur gani nimpe huyu jirani.
Anahitaji counselling ya kutosha huyo dogo.

Tena afanyiwe na mtaalamu.

Ushauri wa viboko unasaidia endapo mtoto sio sugu,na ushauri wa maneno unasaidia kwa mtoto ambae ni sugu.
 
Katoto kenyewe ka Ngama,Unapiga karibu na Mshipa wa fahamu!
 
Piga kofi moja usawa wa shingo chini ya kisogo ili kurestore setting ya brain. Hakikisha .......😁😁😁😁😁
Mtoa Uzi ni pro Killer master...nimecheka balaa jamaa hafai kumwachia mwanangu naweza kumkuta amezirai......

Coporal punishment not allowed for children..
 
Hahahahaaaaa

Unaujua mkono wa mwanaume anaefanya kazi na kula vizuri,kofi lake lina uzito gani?

Au ulikuwa unamaanisha wakina mama ndo wapige watoto kwa style hiyo.
 
Back
Top Bottom