1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Ila Kuna wengine ni asili.
Kuna watoto hawana asili ya uhalifu kabisa. Hata akulili uswahilini au kwenye mtaa wenye watukutu.
Kuna watoto wanabena viasili vya wazazi hasa baba. Kama baba ni Nunda lazima watoto wawe hivyo hivyo itatumika nguvu kubwa sana kumbadilisha.
Watoto wasio na maadili wanapata ujasiri kutoka Kwa wazazi.
Fimbo ni dawa.
Mama anatakiwa awe mkali kuliko Baba .
Baba anatakiwa awe mkali wa kushtukiza. PIGA fimbo mara Moja Moja kama unapiga Mbwa koko. Mtoto akifanya kosa PIGA kisawasawa akikuona awe anaona kama ameona Simba Mwitu. Akiwa Hana kosa awe rafiki mkubwa. Atajua tofauti kati ya utukufu na utiifu.
Kuna watoto hawana asili ya uhalifu kabisa. Hata akulili uswahilini au kwenye mtaa wenye watukutu.
Kuna watoto wanabena viasili vya wazazi hasa baba. Kama baba ni Nunda lazima watoto wawe hivyo hivyo itatumika nguvu kubwa sana kumbadilisha.
Watoto wasio na maadili wanapata ujasiri kutoka Kwa wazazi.
Fimbo ni dawa.
Mama anatakiwa awe mkali kuliko Baba .
Baba anatakiwa awe mkali wa kushtukiza. PIGA fimbo mara Moja Moja kama unapiga Mbwa koko. Mtoto akifanya kosa PIGA kisawasawa akikuona awe anaona kama ameona Simba Mwitu. Akiwa Hana kosa awe rafiki mkubwa. Atajua tofauti kati ya utukufu na utiifu.