Kwa muda mrefu nimekuwa nikishirikiana na huyu member mambo ya Siasa za Mashariki ya Mbali sasa basi

Kwa muda mrefu nimekuwa nikishirikiana na huyu member mambo ya Siasa za Mashariki ya Mbali sasa basi

Waturuki wamewasaliti wajukuu wa mtume naona.Sema jamaa naye chenga unakaa madarakani muda wote hivyo na Syria haina kitu kama Monarchy.Imepigwa Aleppo ikabaki majivu jamaa bado alikuwa amekaza fuvu bado tu
Alikuwa anatiwa moyo na vichaa hawa wawili. Putin na Iran..
 
kwel hakuna lisilokuwa na mwisho, leo hii assad anaanza kuishi kama dikidiki mbugani serenget kwel?
 
Inshallah tufanye I'm alivyotuagiza mtume

Maaadui zetu Ni mayahud na makafiri tukawaangamize inshallah

Tukisubir katika zawadi za peponi alizotuahidia mola wetu

Shekh tuktane siku ya kiyama tukigawana wale wanawake 😋
 
Back
Top Bottom