Kwa muda mrefu ujao Tanzania haitaweza kupata maendeleo ya maana

Kwa muda mrefu ujao Tanzania haitaweza kupata maendeleo ya maana

Hapo kwenye namba 3 ndio panakatisha matumaini kabisa, kwa sababu wale wanasiasa ambao ndio pengine tunategemea watakuwa ni mbadala wa viongozi hawa waliyotufikisha hapa ila unakuta wao nao hawana dira hawaeleweki wanasimamia nini. Huwezi ukawa na matumaini ya mabadiliko kupitia wanasiasa hao hawana tofauti sana na viongozi tuliyonao sasa.
Mantiki ya kwanza ya kubadilisha viongozi wa kisiasa au vyama vyakuongoza sio kupata watu wapa kutoka dunia nyingine bali ni ili kujenga uwajibikaji.Haya mambo yote yanafanyika sasa nikwasababu chama chakisiasa kilichoko madarakani toka uhuru kimejimilikisha nchi na kinajichukulia kama chenyewe ndio kila kitu kwenye nchi.Siku kitakapotoka madarakani wakakaa wengine ndio siku tutakapoanza kuona uwajibikaji wadhati wa majukumu ya wanasiasa kwa wanasiasa na vyama vyote.Kwasababu kutakua na ushindani utakaoleta uwajibikaji.
 
Nimejaribu kuichunguza Nchi yetu inavyoongozwa na mikakati tuliyonayo najiridhisha kuwa ni vigumu sana kupata maendeleo ya maana hata kwa miongo mitatu ijayo yaani comes 2050!
Sababu zangu ni hizi;

1. Elimu yetu ni duni sana kwa maana ya maudhui (contents) na inazalisha watu wenye maarifa madogo sana ambao hawajitambui na wasio na uwezo wa kuona mbali.

2. Viongozi wetu walioko katika nafasi za uongozi katika taasisi mbalimbali wana maarifa madogo sana (sisemi hawana vyeti) na hawana uwezo wa kuiangalia Tanzania baada ya miaka 50 au 100 ijayo ambapo tunakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 120.

3. Hatuna itikadi ya maana inayotuongoza katika mwelekeo wa Nchi yetu na viongozi wengi hawalijui hili ndo maana unaweza kukuta leo mwanasiasa huyu yuko chama hiki na kesho amehamia chama kile na unaona kabisa hakuna anachokiamini au kukisimamia ni bora kunakucha na ugali wake unaupata basi!

4. Tumezidiwa maarifa na mataifa yenye nguvu kiasi kwamba sasa wanatupangia hadi ni vitu gani tunapaswa kuvifikiria.Nguvu kazi ya Taifa (hasa vijana) haiko katika uzalishaji iko katika ku-bet na kujadili mambo ambayo hawana uwezo wa kubadili chochote kama mipira inayochezwa ulaya n.k.

5. Tumeshindwa kujenga mifumo imara inayoweza kujiendesha yenyewe bila kuingiliwa na watu wenye nia mbaya au malengo binafsi.
Tanzanian leaders are less visionary n short-sighted
 
Wazungu sio mafala kujigawa vi nchi vidogo vidogo , Sisi tung'ang'ania kuwa li nchi likubwa ambalo ni useless, Raisi atokee namtumbo huko hawez kumthamini mtu wa Namanga hata iweje , two different ethnic group , na hii ni nature ...!!
Ufaransa na Tanzania ipi ina eneo la kubwa la km mraba?
 
Tutachelewa kupata maendeleo kwa sababu ya watu kama nyinyi manaoishia kuona tatizo na kulalamika badala ya kutoa suluhu ya namna ya kutatua Hilo tatizo, shame on you
thank you kwa kuliona hilo, mibwege mingi humu ndani inafikra za ujinga na uzembe wa hali ya juu, ingekuwa ni kipindi cha nyerere wote wangenyukwa bakora, majitu mazima ovyoooooo sana
 
Nimejaribu kuichunguza Nchi yetu inavyoongozwa na mikakati tuliyonayo najiridhisha kuwa ni vigumu sana kupata maendeleo ya maana hata kwa miongo mitatu ijayo yaani comes 2050!
Sababu zangu ni hizi;

1. Elimu yetu ni duni sana kwa maana ya maudhui (contents) na inazalisha watu wenye maarifa madogo sana ambao hawajitambui na wasio na uwezo wa kuona mbali.

2. Viongozi wetu walioko katika nafasi za uongozi katika taasisi mbalimbali wana maarifa madogo sana (sisemi hawana vyeti) na hawana uwezo wa kuiangalia Tanzania baada ya miaka 50 au 100 ijayo ambapo tunakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 120.

3. Hatuna itikadi ya maana inayotuongoza katika mwelekeo wa Nchi yetu na viongozi wengi hawalijui hili ndo maana unaweza kukuta leo mwanasiasa huyu yuko chama hiki na kesho amehamia chama kile na unaona kabisa hakuna anachokiamini au kukisimamia ni bora kunakucha na ugali wake unaupata basi!

4. Tumezidiwa maarifa na mataifa yenye nguvu kiasi kwamba sasa wanatupangia hadi ni vitu gani tunapaswa kuvifikiria.Nguvu kazi ya Taifa (hasa vijana) haiko katika uzalishaji iko katika ku-bet na kujadili mambo ambayo hawana uwezo wa kubadili chochote kama mipira inayochezwa ulaya n.k.

5. Tumeshindwa kujenga mifumo imara inayoweza kujiendesha yenyewe bila kuingiliwa na watu wenye nia mbaya au malengo binafsi.
Suluhisho ni nini sasa naona una laumu tuu? Au Katiba mpya ? 😆😆
 
Tutachelewa kupata maendeleo kwa sababu ya watu kama nyinyi manaoishia kuona tatizo na kulalamika badala ya kutoa suluhu ya namna ya kutatua Hilo tatizo, shame on you
Nimemuuliza leta Suluhu hana,mwisho wa siku utasikia Katiba mpya 😆😆
 
Wazungu sio mafala kujigawa vi nchi vidogo vidogo , Sisi tung'ang'ania kuwa li nchi likubwa ambalo ni useless, Raisi atokee namtumbo huko hawez kumthamini mtu wa Namanga hata iweje , two different ethnic group , na hii ni nature ...!!
Kwa hiyo hoja yako ni ukabila ,,umefirisika kichwani wewe.
 
Nimejaribu kuichunguza Nchi yetu inavyoongozwa na mikakati tuliyonayo najiridhisha kuwa ni vigumu sana kupata maendeleo ya maana hata kwa miongo mitatu ijayo yaani comes 2050!
Sababu zangu ni hizi;

1. Elimu yetu ni duni sana kwa maana ya maudhui (contents) na inazalisha watu wenye maarifa madogo sana ambao hawajitambui na wasio na uwezo wa kuona mbali.

2. Viongozi wetu walioko katika nafasi za uongozi katika taasisi mbalimbali wana maarifa madogo sana (sisemi hawana vyeti) na hawana uwezo wa kuiangalia Tanzania baada ya miaka 50 au 100 ijayo ambapo tunakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 120.

3. Hatuna itikadi ya maana inayotuongoza katika mwelekeo wa Nchi yetu na viongozi wengi hawalijui hili ndo maana unaweza kukuta leo mwanasiasa huyu yuko chama hiki na kesho amehamia chama kile na unaona kabisa hakuna anachokiamini au kukisimamia ni bora kunakucha na ugali wake unaupata basi!

4. Tumezidiwa maarifa na mataifa yenye nguvu kiasi kwamba sasa wanatupangia hadi ni vitu gani tunapaswa kuvifikiria.Nguvu kazi ya Taifa (hasa vijana) haiko katika uzalishaji iko katika ku-bet na kujadili mambo ambayo hawana uwezo wa kubadili chochote kama mipira inayochezwa ulaya n.k.

5. Tumeshindwa kujenga mifumo imara inayoweza kujiendesha yenyewe bila kuingiliwa na watu wenye nia mbaya au malengo binafsi.
Umeongea ukweli mtupu! Na sio Tanzania tu bali subsahara yote.
 
Nimemuuliza leta Suluhu hana,mwisho wa siku utasikia Katiba mpya 😆😆
Ndio inawezekana katiba mpya ni sehemu ya suluhu ya tatizo ikiwa itapatikana kutokana na matakwa ya watu na sio viongonzi hasa wanasiasa katika kuamua namna ya usimamiaji na mgawanyo wa rasilimali za nchi mfano katiba ya 1977 iliandikwa katika misingi ya siasa ya chama kimoja na uchumi wa kijamaa ambapo vyanzo vyote vya uchumi vilikua chini ya umma/serikali tofauti na Sasa tuna vyama vingi na uchumi mseto ambapo kuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari . Kimsingi kufanya mabadiliko ya katiba ili kuendana na nyakati ni suala la kuangalia zaidi kama kweli tunataka maendeleo endelevu kwa Sasa na vizazi vijavyo
 
Wazungu sio mafala kujigawa vi nchi vidogo vidogo , Sisi tung'ang'ania kuwa li nchi likubwa ambalo ni useless, Raisi atokee namtumbo huko hawez kumthamini mtu wa Namanga hata iweje , two different ethnic group , na hii ni nature ...!!
Tanzania sasa inaukubwa gani ujatembea Russia china tusemaje???hii nchi ndogo sana
 
Back
Top Bottom