version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
Solution?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mantiki ya kwanza ya kubadilisha viongozi wa kisiasa au vyama vyakuongoza sio kupata watu wapa kutoka dunia nyingine bali ni ili kujenga uwajibikaji.Haya mambo yote yanafanyika sasa nikwasababu chama chakisiasa kilichoko madarakani toka uhuru kimejimilikisha nchi na kinajichukulia kama chenyewe ndio kila kitu kwenye nchi.Siku kitakapotoka madarakani wakakaa wengine ndio siku tutakapoanza kuona uwajibikaji wadhati wa majukumu ya wanasiasa kwa wanasiasa na vyama vyote.Kwasababu kutakua na ushindani utakaoleta uwajibikaji.Hapo kwenye namba 3 ndio panakatisha matumaini kabisa, kwa sababu wale wanasiasa ambao ndio pengine tunategemea watakuwa ni mbadala wa viongozi hawa waliyotufikisha hapa ila unakuta wao nao hawana dira hawaeleweki wanasimamia nini. Huwezi ukawa na matumaini ya mabadiliko kupitia wanasiasa hao hawana tofauti sana na viongozi tuliyonao sasa.
Tanzanian leaders are less visionary n short-sightedNimejaribu kuichunguza Nchi yetu inavyoongozwa na mikakati tuliyonayo najiridhisha kuwa ni vigumu sana kupata maendeleo ya maana hata kwa miongo mitatu ijayo yaani comes 2050!
Sababu zangu ni hizi;
1. Elimu yetu ni duni sana kwa maana ya maudhui (contents) na inazalisha watu wenye maarifa madogo sana ambao hawajitambui na wasio na uwezo wa kuona mbali.
2. Viongozi wetu walioko katika nafasi za uongozi katika taasisi mbalimbali wana maarifa madogo sana (sisemi hawana vyeti) na hawana uwezo wa kuiangalia Tanzania baada ya miaka 50 au 100 ijayo ambapo tunakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 120.
3. Hatuna itikadi ya maana inayotuongoza katika mwelekeo wa Nchi yetu na viongozi wengi hawalijui hili ndo maana unaweza kukuta leo mwanasiasa huyu yuko chama hiki na kesho amehamia chama kile na unaona kabisa hakuna anachokiamini au kukisimamia ni bora kunakucha na ugali wake unaupata basi!
4. Tumezidiwa maarifa na mataifa yenye nguvu kiasi kwamba sasa wanatupangia hadi ni vitu gani tunapaswa kuvifikiria.Nguvu kazi ya Taifa (hasa vijana) haiko katika uzalishaji iko katika ku-bet na kujadili mambo ambayo hawana uwezo wa kubadili chochote kama mipira inayochezwa ulaya n.k.
5. Tumeshindwa kujenga mifumo imara inayoweza kujiendesha yenyewe bila kuingiliwa na watu wenye nia mbaya au malengo binafsi.
Ufaransa na Tanzania ipi ina eneo la kubwa la km mraba?Wazungu sio mafala kujigawa vi nchi vidogo vidogo , Sisi tung'ang'ania kuwa li nchi likubwa ambalo ni useless, Raisi atokee namtumbo huko hawez kumthamini mtu wa Namanga hata iweje , two different ethnic group , na hii ni nature ...!!
thank you kwa kuliona hilo, mibwege mingi humu ndani inafikra za ujinga na uzembe wa hali ya juu, ingekuwa ni kipindi cha nyerere wote wangenyukwa bakora, majitu mazima ovyoooooo sanaTutachelewa kupata maendeleo kwa sababu ya watu kama nyinyi manaoishia kuona tatizo na kulalamika badala ya kutoa suluhu ya namna ya kutatua Hilo tatizo, shame on you
Suluhisho ni nini sasa naona una laumu tuu? Au Katiba mpya ? 😆😆Nimejaribu kuichunguza Nchi yetu inavyoongozwa na mikakati tuliyonayo najiridhisha kuwa ni vigumu sana kupata maendeleo ya maana hata kwa miongo mitatu ijayo yaani comes 2050!
Sababu zangu ni hizi;
1. Elimu yetu ni duni sana kwa maana ya maudhui (contents) na inazalisha watu wenye maarifa madogo sana ambao hawajitambui na wasio na uwezo wa kuona mbali.
2. Viongozi wetu walioko katika nafasi za uongozi katika taasisi mbalimbali wana maarifa madogo sana (sisemi hawana vyeti) na hawana uwezo wa kuiangalia Tanzania baada ya miaka 50 au 100 ijayo ambapo tunakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 120.
3. Hatuna itikadi ya maana inayotuongoza katika mwelekeo wa Nchi yetu na viongozi wengi hawalijui hili ndo maana unaweza kukuta leo mwanasiasa huyu yuko chama hiki na kesho amehamia chama kile na unaona kabisa hakuna anachokiamini au kukisimamia ni bora kunakucha na ugali wake unaupata basi!
4. Tumezidiwa maarifa na mataifa yenye nguvu kiasi kwamba sasa wanatupangia hadi ni vitu gani tunapaswa kuvifikiria.Nguvu kazi ya Taifa (hasa vijana) haiko katika uzalishaji iko katika ku-bet na kujadili mambo ambayo hawana uwezo wa kubadili chochote kama mipira inayochezwa ulaya n.k.
5. Tumeshindwa kujenga mifumo imara inayoweza kujiendesha yenyewe bila kuingiliwa na watu wenye nia mbaya au malengo binafsi.
Nimemuuliza leta Suluhu hana,mwisho wa siku utasikia Katiba mpya 😆😆Tutachelewa kupata maendeleo kwa sababu ya watu kama nyinyi manaoishia kuona tatizo na kulalamika badala ya kutoa suluhu ya namna ya kutatua Hilo tatizo, shame on you
Kwa hiyo hoja yako ni ukabila ,,umefirisika kichwani wewe.Wazungu sio mafala kujigawa vi nchi vidogo vidogo , Sisi tung'ang'ania kuwa li nchi likubwa ambalo ni useless, Raisi atokee namtumbo huko hawez kumthamini mtu wa Namanga hata iweje , two different ethnic group , na hii ni nature ...!!
Imagine mtu anakopa pesa kwa masharti ya kibiashara kujenga sgr ambayo hata haijulikani itabeba nini kurudisha pesa 😀😀Huo ndio ukweli, tutaendelea kupiga mark time kwa muda mrefu sana.
Umeongea ukweli mtupu! Na sio Tanzania tu bali subsahara yote.Nimejaribu kuichunguza Nchi yetu inavyoongozwa na mikakati tuliyonayo najiridhisha kuwa ni vigumu sana kupata maendeleo ya maana hata kwa miongo mitatu ijayo yaani comes 2050!
Sababu zangu ni hizi;
1. Elimu yetu ni duni sana kwa maana ya maudhui (contents) na inazalisha watu wenye maarifa madogo sana ambao hawajitambui na wasio na uwezo wa kuona mbali.
2. Viongozi wetu walioko katika nafasi za uongozi katika taasisi mbalimbali wana maarifa madogo sana (sisemi hawana vyeti) na hawana uwezo wa kuiangalia Tanzania baada ya miaka 50 au 100 ijayo ambapo tunakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 120.
3. Hatuna itikadi ya maana inayotuongoza katika mwelekeo wa Nchi yetu na viongozi wengi hawalijui hili ndo maana unaweza kukuta leo mwanasiasa huyu yuko chama hiki na kesho amehamia chama kile na unaona kabisa hakuna anachokiamini au kukisimamia ni bora kunakucha na ugali wake unaupata basi!
4. Tumezidiwa maarifa na mataifa yenye nguvu kiasi kwamba sasa wanatupangia hadi ni vitu gani tunapaswa kuvifikiria.Nguvu kazi ya Taifa (hasa vijana) haiko katika uzalishaji iko katika ku-bet na kujadili mambo ambayo hawana uwezo wa kubadili chochote kama mipira inayochezwa ulaya n.k.
5. Tumeshindwa kujenga mifumo imara inayoweza kujiendesha yenyewe bila kuingiliwa na watu wenye nia mbaya au malengo binafsi.
Wew mwenye maono marefu umefanya nini cha maana?Tanzanian leaders are less visionary n short-sighted
Nimeenda kwenye nchi ambayo viongozi wanatumia akili.Wew mwenye maono marefu umefanya nini cha maana?
Sasa unawashwa na Tzn ya nini si ukomae huko hukoNimeenda kwenye nchi ambayo viongozi wanatumia akili.
Nyumbani ni nyumbaniSasa unawashwa na Tzn ya nini si ukomae huko huko
Kama unajua nyumbn ni nyumbn tuu sasa unaropoka nini na majibu huna? Bila shaka na wewe ni kiazi tuu kama unaowalaumu.Nyumbani ni nyumbani
Ndio inawezekana katiba mpya ni sehemu ya suluhu ya tatizo ikiwa itapatikana kutokana na matakwa ya watu na sio viongonzi hasa wanasiasa katika kuamua namna ya usimamiaji na mgawanyo wa rasilimali za nchi mfano katiba ya 1977 iliandikwa katika misingi ya siasa ya chama kimoja na uchumi wa kijamaa ambapo vyanzo vyote vya uchumi vilikua chini ya umma/serikali tofauti na Sasa tuna vyama vingi na uchumi mseto ambapo kuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari . Kimsingi kufanya mabadiliko ya katiba ili kuendana na nyakati ni suala la kuangalia zaidi kama kweli tunataka maendeleo endelevu kwa Sasa na vizazi vijavyoNimemuuliza leta Suluhu hana,mwisho wa siku utasikia Katiba mpya 😆😆
Tanzania sasa inaukubwa gani ujatembea Russia china tusemaje???hii nchi ndogo sanaWazungu sio mafala kujigawa vi nchi vidogo vidogo , Sisi tung'ang'ania kuwa li nchi likubwa ambalo ni useless, Raisi atokee namtumbo huko hawez kumthamini mtu wa Namanga hata iweje , two different ethnic group , na hii ni nature ...!!
Kiazi mbatata mwenyeweKama unajua nyumbn ni nyumbn tuu sasa unaropoka nini na majibu huna? Bila shaka na wewe ni kiazi tuu kama unaowalaumu.
Angalau cha maana nilichofanya ni kukushtuka wewe usiyejitambua kuwa kuna tatizo na mambo si shwari kama unavyodhani wewe na wengine wenye akili kama yako!Wew mwenye maono marefu umefanya nini cha maana?