Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Kwani sheria zinasemaje... ili jambo lionekane la kitoto ama la kikubwaHizo pingamizi za kitoto sana.leta Nyengine.
Mlivyomuengua Devotta Minja kule Morogoro kuwa hakuleta passport size ndio vile vile atakavyoenguliwaHilo nalo pingamizi sasa?
Ndege mjanja hunasa ktk tundu mbovuHizo pingamizi za kitoto sana.leta Nyengine.
Uraisi ni utumishi siyo utukufuRais wa nchi akamjibu huyu kibara. Hivi mmeifanya taasisi ya urais kuwa dekio.
Acha uongo pingamizi halitupwi hadi mgombea aje kujibuLimeshatupiliwa mbali!
Mlivyomuengua devotta minja kule Morogoro kuwa hakuleta passport size ndio vile vile atakavyoenguliwa
Unajua Devotha Minja kaenguliwa kwa sababu gani? Sheria inabidi iwe haki kwa hakiHizo pingamizi za kitoto sana.leta Nyengine.
Ni mgombeaRais wa nchi akamjibu huyu kibara. Hivi mmeifanya taasisi ya urais kuwa dekio.
Zipi za watu wazima ndugu mjumbe wa jukwaa hili.Hizo pingamizi za kitoto sana.leta Nyengine.