Uchaguzi 2020 Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi, aliewekewa pingamizi atajibu hoja mbele ya mweka pingamizi, Lissu na Magufuli uso kwa uso

Uchaguzi 2020 Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi, aliewekewa pingamizi atajibu hoja mbele ya mweka pingamizi, Lissu na Magufuli uso kwa uso

Hiyo kali.

Duh. Lissu kibiko. Hapo utashangaa JPM atakavyotokea mpole na kujichekesha chekesha .... Jamaa ni bonge la msanii!!

Sasa kama kuli Morogoro kuna dada inadaiwa amekatwa kwa kuwa hakupeleka picha ..... sasa kuna sababu gani ambayo itamzuia JPM asikatwe kwa kipengere hichohicho.
 
Hiyo kali.
Duh. Lissu kibiko. Hapo utashangaa JPM atakavyotokea mpole na kujichekesha chekesha .... Jamaa ni bonge la msanii!!


Sasa kama kuli Morogoro kuna dada inadaiwa amekatwa kwa kuwa hakupeleka picha ..... sasa kuna sababu gani ambayo itamzuia JPM asikatwe kwa kipengere hichohicho.
Hapo ndio nataka kuona unafiki wa CCM na Tume
 
Nchi ya wapi, kwa sasa hakuna rais bali kuna wagombea wa urais, lijue hilo sister.

Utaratibu huu unaongelea labda ni wakilingine kwenu. Si wataifa huru ka Tanzania, leo ikihitajika kutangazwa hali ya hatari nchini lazima Rais na amiri heshi Mkuu, JPM angurume.
 
Utaratibu huu unaongelea labda ni wakilingine kwenu. Si wataifa huru ka Tanzania, leo ikihitajika kutangazwa hali ya hatari nchini lazima Rais na amiri heshi Mkuu, JPM angurume.

Kama ni Rais mbona anagombea si angeacha aendelee kutawala. Kiuhalisia ilikuwa nchi ishikwe na Jaji Mkuu kwa muda hadi Rais atakapoapishwa sasa kuna sheria ilitungwa inayosababisha kwenye uchaguzi kuwa hakuna level ground.
 
Devotha Minja kaenguliwa kwa sababu ya Picha

Huyo muulizeni vizuri jinsi alivyofanya, iko namna.

Lissu na ni mjinga flani, mtu anayesahau Dr Slaa na Mashinji walikuwa makatibu wakuu wa cdm, unafikiri anasaidika vipi? Ila kwa akili yake na anavyojichekesha chekesha, anafikiri ni mjanja na anajua kila kitu. Kumbe ni mjinga wa kawaida tu kama wajinga wengine.
 
Pingamizi hazina maana kabisa hii na kijinga tu, hivi focus ya CDM ni ndogo hivi?
 
Back
Top Bottom