Uchaguzi 2020 Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi, aliewekewa pingamizi atajibu hoja mbele ya mweka pingamizi, Lissu na Magufuli uso kwa uso

Pingamizi Hadi ikubaliwe na tume
Kama Haina mashiko inatupwa
 
Kikatiba Mh.Magufuli kwa sasa ni mgombea urais wa JMT mwenye rank sawa kabisa na HASHIM RUNGWE SPUNDA au LIPUMBA

Ulisha muona akizunguka na safuria la ubwabwa. Huo usawa na Rungwe umetumia vigezo gani? Maana Rungwe ana ubwabwa anaozunguka nao na alivyo mchoyo anabugia mwenyewe.

Lakini unaona JPM anazunguka kutatua kero za wananchi anao waongoza. Atachangisha fedha, atatoa fedha mfukoni pake, atapiga simu kwa Waziri ama mtumishi wa chini yake papo kwa papo ili kupata ufumbuzi wa kero aliyokutana nayo.

Huyu ndio Rais mtumishi wa watu. Sio Rais bishororo na pengine kuona shida kukutana na watu wa hali ya chini, eti wana muabisha, hawana akili waneshindwa maisha. Tumeitwa sana majina ya kejeli. Watoto wa baba fundi koroboi. Wengine, wao ni watoto wa mfalme.
 
Kwa nchi yetu na kwa mazingira yalivyo, binafsi sikumpigia kura Magufuli 2015, ila kuna mambo nimemuelewa hasa suala la COVID19, amefanya vyema na vipo vingine, japo uchaguzi huu SITAPIGA KURA kutokana na utoto mwingi na siasa uchwara ila tafadhali badili kauli yako ULAYA NA USA WANAMTAMANI JPM?

Wazungu hufuata taratibu na Sheria, Ila kwenye hili ndugu yetu anafeli sana, Jitihada njema ila wazungu hawawezi ongozwa na mtu wa utaratibu kama huu wa JPM.
 

Naongea na watu huko mara kwa mara. This is my personal experience man. Sibadili kauli hata kidogo. Juzi tu mtu mweusi kapigwa risasi saba mgongoni na polisi USA. Hizi haki wakati mwengine ni mdomoni zaidi. Hao wamarekani hii mitandao ndio imeanza kuwafungua akili kujua dunia nje ya USA. Huko nyuma wengi na asilimia kubwa ya Wamarekani walikuwa hawajui dunia nyingine nje ya USA.
 
Kama urais wenyewe ni wa kutafuna mahindi mabarabani, heshima yake iko wapi?

Ndio akili zenu hizi za ajabu ajabu. Rais anaye kula mahindi njiani tena aliyonunua kumuuingisha mfanyabiasha Baba/Mama lishe mwamuona wa ajabu na mshamba, sio?!

Nyie mnataka Rais wa kutumbua kodi zenu kwa kwenda kupiga picha Newcastle UK au kwenda kushangaa uwanja Real Madrid. Huyo ndio wa mjini sio?!
 
Kwa hiyo wauza mahindi ya kuchoma mabarabani siku hizi huwa wanayauza wakiwa na bastola viunoni siyo!!?
 
Kwa hiyo wauza mahindi ya kuchoma mabarabani siku hizi huwa wanayauza wakiwa na bastola viunoni siyo!!?

Hata wasafisha mitaro mabarabarani na viatu ikibidi. Walinzi wa mipaka yetu wahakikishe baada ya Oktoba Lissu hatoroki nchini. Atasingizia kurudi Ubeligiji kwa maangalizi ya kitabibu na afya.
 
Moto Mchubuyu akaweke pingamizi kwa watatuliwa marinda huko alipotoka
 
Nasikia kuna majibu haya toka tume ya uchaguzi??

Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…