Uchaguzi 2020 Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi, aliewekewa pingamizi atajibu hoja mbele ya mweka pingamizi, Lissu na Magufuli uso kwa uso

Nchi ya wapi, kwa sasa hakuna rais bali kuna wagombea wa urais, lijue hilo sister.
Hata huko Marekani ambako tumekopa demokrasia Rais wa nchi anakuwa hadi pale anapokabidhi kwa Rais mpya baada ya kiapo. Yaani bendera ya nchi inashushwa na kupandisha tena. Kwa makini Lissu anawapotosha sana vijana wakati yeye akijua kabisa hilo.
 
Rais wa nchi akamjibu huyu kibara. Hivi mmeifanya taasisi ya urais kuwa dekio.

Anaheshiwa kama Rais kwa miezi miwili iliyobaki hadi Oktoba 28, 2020....

Kama ana matumaini ya kushinda uchaguzi huu na "labda" awe Rais tena kwa kipindi kinachofuata...

Basi hana option nyingine isipokuwa kufuata na kuzingatia sheria ya uchaguzi inavyomuelekeza kufanya...

Lazima atokee kwenye TUME YA UCHAGUZI na kukabiliana USO kwa USO na "mzimu" wake uitwao TUNDU LISSU alioutengeneza mwenyewe ili kujitetea....

Kwenye hili hakuna kuwakilishwa na wakili. It's you in personal..

Ana siku mbili tu kwenda kujitetea, ya leo tarehe 26/8/2020 na kesho tarehe 27/8/2020...

Ni aidha asuke ama anyoe....
 
Kama wamemuondoa Minja Devotha kwa kutoweka passport basi na "JIKONO DANJAMA" naye aenguliwa kwa kuto ambatanisha passport.

Inakuwaje Kaijage na Mkurugenzi kumpitisha huku Makosa ya wazi kabisa kutokuwa na passport?
 
JPM hana muda kipumbuvu wa kupoteza. Na mjinga mmoja. Anaetafuta huruma.
 
And Bahati mbaya kwa CCM na serikali yake kwa sasa ni kwamba macho yote ya mabeberu yapo kwenye uchaguzi wa mwaka huu 2020, hapo ndipo watahakikisha Jiwe ni Dikteta au sio!! And uzuri ni kwamba hamna watu CCM wanawaogopa kama mabeberu, mchezo mtamu sana huu. Hizi siku 60 Lissu atawatesa sana Magamba na bahati mbaya kwao hawana cha kumfanya kwa sasa, wakimzingua tu mabeberu nao watawazingua
 
Sheria imetamka wazi kuwa kwa kasoro hiyo anatakiwa aenguliwe.Lissu kasoma na kifungu kinachotamka hivyo.
Kama NEC wakimuacha basi inabidi walioenguliwa wote warudishwe maana kuna wengine wametenda makosa kama ya "JIKONO JANDAMA".
 
Ubungo pingamizi
Act Vs Cdm

Wazo , Kunduchi pingamizi
Cdm Vs Act
Muasisi wa mapingamizi ni mgombea urais.

Halafu mi niende barabarani wakati zitu na Lus walijipanga toka wakiwa majuu .
 
Mungu kaamua kuwatia adabu!!
Kwa hili inabidi kina lissu wakomae hadi Mwisho ,hakuna Double standard ,Kama kina Devotha Minja wameenguliwa kwa kutokuwa na picha why "JIKONO JANDAMA" aachiwe? Kaijage inabidi amuondoe kwa kukosa sifa (hajatimiza masharti na vigezo).
 
Jpm hakuweka picha au picha sikio halionekani?

Anaweza kuja bila sikio moja kuhakikisha. Halafu itakuwaje?

Watu usituone hivi wengine tuna meno ya bandia kwahiyo nivua meno usifikiri sio mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…