Kwa mujibu wa Standing Orders, DAS ni mtumishi wa Umma

Wewe huna uelewa wowote, na hujawahi kufanya kazi serikali. Pia hujui kanuni na sheria za kuwa mtumishi wa uma.
 
Mkuu, hawa jamaa wanaumia sana. Mtela Mwampamba alikimbia kwenye lichama lao akaja CCM pamoja na Juliana Shonza. Juli amefanikiwa kuwa mbunge wakawa wanamsema sana Mtela. Leo kateuliwa wanajifanya kuokoteza hoja dhaifu kabisa
Ungekaa kwanza janaba likaisha ndo uje hapa! Huwa nakupenda sana Dada Eliza unavojibugi kama umekatwa kichwa!
 
Mkuu, hawa jamaa wanaumia sana. Mtela Mwampamba alikimbia kwenye lichama lao akaja CCM pamoja na Juliana Shonza. Juli amefanikiwa kuwa mbunge wakawa wanamsema sana Mtela. Leo kateuliwa wanajifanya kuokoteza hoja dhaifu kabisa
Ungekaa kwanza janaba likaisha ndo uje hapa! Huwa nakupenda sana Dada Eliza unavojibugi kama umekatwa kichwa!
 
haya sasa wewe mwenye uelewa bishana na rais..

ndio ameshachagua wana ccm na hamtafanya lolote zaidi ya kulalamika tu... hii ndio ccm

Wewe huna uelewa wowote, na hujawahi kufanya kazi serikali. Pia hujui kanuni na sheria za kuwa mtumishi wa uma.
 
haya sasa wewe mwenye uelewa bishana na rais..

ndio ameshachagua wana ccm na hamtafanya lolote zaidi ya kulalamika tu... hii ndio ccm
Kulalamika ni sehemu ya kufikisha Ujumbe, ndio maana wewe umenijibu, maana yake Ujumbe umefika.
 
Jamani mlipiga sana kelele.humu akumbukwe..sasa kakumbukwa mbona mnakasirika?
 
Ikitokea Nyerere amefufuka leo na kuyaona haya yanayo endelea, anaweza akafa tena kwa shinikizo la damu.
 
kama ni hivyo basi huu ni mwendo kasi wa MH 370 malaysia airline....
Huyo DAS mteule ni Professor au DR? Naona hata TIB board Chairman ametumbuliwa wameweka Professor Kabudi.
 
Huko tuendako kunahaja ya kuwa na chombo ambacho kazi yake kitakuwa ni kulinda maslahi ya Taifa na kutoa mwelekeo wa Taifa na ambacho kitakuwa hakina uchama, udini, ukabila, u classmate/u schoolmates, n.k. Na mambo haya yenye maslahi ya Kitaifa chombo hicho kiwe na uwezo wa kuyapitia na kuyaridhia ili kuanza kutumika kwa maslahi ya Taifa. Tusiruhusu mtu mmoja, kundi moja kutuamlia mwelekeo wa Taifa letu!.
 
Unajua hata mabasi ya City boy juzi inasemekana madereva walipoadhibiwa kabla ya ajali kwa "kukiuka sheria" wapo abiria waliowatetea na kuona ule mwendo ni sawa..

Lakini athari za ajali iliyosababishwa na ukiukaji ule wa sheria hazikuchagua dereva, kondakta wala abiria kimbelembele aliyekuwa anawashabikia...

Nchi inaendeshwa kwa sheria, na pale tunaposhabikia ukiukwaji wa sheria tusidhani athari zake zitawapata "wale" na kutuacha "sisi"...

Mtu unaweza kusema uteuzi tu wa DAS una athari gani... lakini mwanzo wa ngoma ni lele....

Eid mubarak...
 
katika hili washauri wa rais wametudondosha watanzania. walipaswa kufukuzwa kazi woote.
 
je rais sio mtumishi wa uma?? mbunge je?? nini maana ya uma?

kama sio mtumishi wa uma anawatumikia kina nani??? yeye mwenyewe anajitumikia au?
Shauri mbaya....wewe nawe???acha kujihaibisha basi...
 
Kila mara huwa wanaajiriwa makatibu tawala wasaidizi, na makatibu tarafa na hawa ndio hukaimu nafasi ya Das kama yeye hayupo.

Na mtu kuwa das, ni promo kutoka kwa wasaidizi wa DAS ambao wilayani wapo.

Sasa hawa wanasiasa wataenda kufanya nini? Haya buana, nchi ni yenu fanyeni kila mnaloona linawezekana. Yule RAS wa mwanza aliyegombana na Mulongo alikuwa anajua nn anafanya
 
Alitaka tu kubalance mambo Mkuu wangu...hilo ndo lilikuwa lengo Na si vinginevyo...
 
Wana UKAWA mnatia sana aibu, nyie ndo mlıtaka mkabidhıwe nchi kweli?Kwanı Mkurugenzi na Wakurugenzi wa idara na vitengo ndani ya Wizara, nafası zao hutangazwa na ufanyiwa usailı?Je hawa si watumishi wa umma?Je makatibu wakuu wa wizara,RAS,DAS lini ukasıkia nafasi zao zikitangazwa?Usikali kijana, hao wote nafasi zao ni za teuzi na ni watumishi wa umma.Sio kweli kwamba kuwa mtumishi lazma afanyiwe usaili.
 
Hata mimi nimeshangaa sana!!!! Sijui hii nchi inapelekwa wapi !!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…