Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hii habari ya uteuzi wa ma-DAS ni ya kutunga tu kututoa kwenye reli.Hata kwenye website ya utumishi haipo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajiita Dr alkili kumbe hakuna kitu kichwani.Inawezekana kumetokea mabadiliko katika kada hii ambayo huko nyuma ilikuwa ni kwa civil servants (watumishi wa serikali) wenye ujuzi, uzoefu na utaalam wa utawala wa umma (public administration & finance). Equivalent wao kwa ngazi ya mkoa ni Regional Admnistration Officers (RAO). Wao ndiyo washauri wakuu wa kitaalamu katika masula ya utawala chini ya maafisa masuluri wa wilaya zao (DEDs) ambao kwa kawaida si watalaamu wa utawala. Hawa ni professionals wa utawala katika wilaya kama walivyo afisa mifugo, elimu, kilimo, afya nk wa wilaya. Zamani walijulikana kwa jina la Mabwana shauri. Wizara yao mama ni Wizara ya utumishi wa umma. Unaweza pia kuwaita maafisa utumishi wakuu wa wilaya. Si wanasiasa na hawapasi kuwa wanasiasa kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma.
Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ni wanasiasa wakimuwakilisha rais katika maeneo yao. Kunapotokea mabadiliko ya rais nao hubadilishwa kwa rais mpya kuteuwa watu wake anaopenda na kuwaamini wakamuwakilishe maeneo hayo ya wilaya na mikoa.
Nadhani yote haya yalizingatiwa kwenye uteuzi huu. Kuingiza wapya kwenye utumishi wa umma na kuwateua kwenye nyazifa kama hizi ni jambo la kawaida na mifano ni mingi eg Balali kwenye Bank kuu. Ni haki ya kila mtanzania mwenye sifa na uwezo. Kuwapata watu wa namna hii unaweza kutumia search committees, siyo lazima utumike utaratibu ulioutaja wa ushindanishi. Kwani si wakurugenzi kibao wameteuliwa kwa njia za search committees na hamukulalamika?
Hipo kaangalie imewekwa mbonaHii habari ya uteuzi wa ma-DAS ni ya kutunga tu kututoa kwenye reli.Hata kwenye website ya utumishi haipo!
Sunzu, impossible to have all, in all districts in Tanzania being seconded from their respective departments you have mentioned. I remember well these people were well conversant with Human management issues and were mainly graduates of Mzumbe and other Administration/management higher learning institutions! Yes, some might be from those you have mentioned !hujaelewa kipi hapo.umeuliza waliokuwa ma-DAS wameenda wapi, nimekujibu kuwa inawezekana wamestaafu, kufariki au wamerejeshwa kwenda kada zao awali.nimekuelewesha kuwa kabla mtumishi wa umma hajateuliwa kuwa DAS anakuwa mwalimu, muhasibu, afisa utumishi etc ect,
Kinachonishangaza mimi ni lini hawa wamefanyiwa usaili?Wanaajiriwa kama watumishi wa umma tena kwa usaili kama maafisa tawala daraja la II then baadae miongoni mwao kuna wanaopata uteuzi kuwa MADAS mkuu Lizaboni.
Hoja ni kuwa wanateuliwa Kutoka wapi? Wakiwa katika ajira serikalini au ni makada wa chama? Usikwepeshe hoja.Kwani Makatibu Tawala wa Wilaya wanateuliwa ama wanaajiriwa? Ukifanikiwa kujibu hilo nafunga mjadala
Mkuu wa wilaya si mtumishinwa umma, nafasi yake ni ya kisiasa na si ajira. Mtumishi wa uma ni yule anayejaza mkataba wa kudumu permanent and pensionable term. Mkuu wa wilaya sio pensionable.Mmeumia sana kwa Mtela kupewa nafasi ya UDAS. Nikuulize swali mleta mada. Kwani Mkuu wa Wilaya ni Mtumishi wa Umma ama siyo?
Mkuu wa wilaya si mtumishinwa umma, nafasi yake ni ya kisiasa na si ajira. Mtumishi wa uma ni yule anayejaza mkataba wa kudumu permanent and pensionable term. Mkuu wa wilaya sio pensionable.
Mkuu Sunzu
Watu wamejitoa ufahamu haswa kwa hii Serikali ya Mwendokasi ambayo akili yao kuamzia Rais hadi mjumbe wa Serikali ya mtaa wanataka kuanza kila kitu kwa kijiti. Hawa watu wnaovaa nguo za kijani wnafikiri kwamba makada WA CCM ndio wenye akili kuliko Watanzania wote na kwa ujinga wao wakijipanga kwenye nafasi zote za uongozi they can turn around this country bila ya kumtambua Kiwango cha Maendeleo kilichofanywa kwa awamu Nne zilizopita. This is a big problem. Mambo anayofanya Magufuli yanaturidisha 50 years back na TANU. Unateua watu bila kuwa na scope of work or clear Job Description. The administrative cost is huge ukizingatia wanaopewa hizo nafasi wnapewa kama a birthday cake! Hii ni Hatari kubwa huwezi kumtoa mtu barabarani ukamkabidhi madaraka ya kuwa DAS kazi ambayo kimsingi inahutaji taaluma, na uwezo. The learning curve ya mtu Kama Makonda is a disaster. Kwa mfano Rais anasema atatoa elimu bure na kupiga marufuku michamgo kutoka kwa Wazazi lakini hapo hapo Wateule wa. Taasisi za Serikali pamoja na makampuni binafsi wanahamasishwa kuchangia madawati! Unatoza kodi ili ukalipie gharama za elimu ambazo kimsingi ni jukumu la wazazi. Hakuna nchi iliyofanya ujinga kama huo ikafanikiwa kwani sio endelevu( sustainable) Let us wait and see!