nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,624
hapo hakuna cha ukawa wala uccm bali ni maslahi mapana ya taifa letu. rais kateleza.Wana UKAWA mnatia sana aibu, nyie ndo mlıtaka mkabidhıwe nchi kweli?Kwanı Mkurugenzi na Wakurugenzi wa idara na vitengo ndani ya Wizara, nafası zao hutangazwa na ufanyiwa usailı?Je hawa si watumishi wa umma?Je makatibu wakuu wa wizara,RAS,DAS lini ukasıkia nafasi zao zikitangazwa?Usikali kijana, hao wote nafasi zao ni za teuzi na ni watumishi wa umma.Sio kweli kwamba kuwa mtumishi lazma afanyiwe usaili.
Mkuu wewe huelewi kitu, na bahati mbaya hutaki kupata uelewa kwa wajumbe humu, sasa JF inakusaidia nini?msome mwenzio hapaWana UKAWA mnatia sana aibu, nyie ndo mlıtaka mkabidhıwe nchi kweli?Kwanı Mkurugenzi na Wakurugenzi wa idara na vitengo ndani ya Wizara, nafası zao hutangazwa na ufanyiwa usailı?Je hawa si watumishi wa umma?Je makatibu wakuu wa wizara,RAS,DAS lini ukasıkia nafasi zao zikitangazwa?Usikali kijana, hao wote nafasi zao ni za teuzi na ni watumishi wa umma.Sio kweli kwamba kuwa mtumishi lazma afanyiwe usaili.
Mleta mada tuwekee sawa. Nijuavyo mimi ni kwamba Afisa Tawala wa Wilaya ni Dstrict Administrative Officer. Si nafasi ya uteuzi bali ni ya uajiriwa kulingana na mahitaji ya wilaya. Nafasi hizo hutangazwa na Mkoa kwa kufuata taratibu za ajira Serikalini. Si nafasi ya kisiasa hata kidogo na kama Mtela Mwampamba kapatikana kwa style hiyo basi hilo litakuwa doa kubwa kwa serikali yangu ya CCM.
kwenye red inaonyesha rangi yako halisi, shoga yake Zamaradi Mtetema?Ulitaka waachwe wee zungusha mokono tyu
Nilikuwa sijaiona hii nikaruka na Uzi mwingine kuhusu hili. Utumishi wa serikali kwa kweli sasa una najisiwaNaomba kunukuu Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa.
Mtumishi wa umma hateuliwi, mtumishi wa umma anapatikana katika namna ya ushindani ambapo mamlaka ya serikali iwe ni utumishi au mamlaka nyingine, hutangaza nafasi na zifa za mwombaji huanishwa. Usaili hufanyika na uchambuzi wa majina hufanyika hatimaye washindi huitwa kazini na kuwa watumishi wa umma ajira ya kudumu ''Permanent and Pensionable''.........
Sasa kati ya watumishi hao wa umma bila kujali ni kada gani huteuliwa kuwa ma-DAS ambao ni makatibu tawala wa wilaya ambao kimsingi majukumu yake ni kufanya shughuli za kiutawala katika ofisi ya mkuu wa wilaya.DAS huwa chini ya ofisi ya RAS-Katibu Tawala wa Mkoa.
Hivyo basi uteuzi wa DAS ni kama ulivyo uteuzi wa DED/MD/TEC Mkurugenzi wa Halmashauri, ni lazima awe mtumishi wa umma kwanza. Hii sio nafasi ya kisiasa.
Nimeonelea nitoe ufafanuzi huu baaada ya kuona jambo la ajabu sana kutokea jioni ya leo. Hatimae siasa zinanajisi utumishi wa umma. Tunaona Mwanasiasa Mtela Mwambamba na wenzake ghafla wameteuliwa kuwa ma-DAS. Sina hakika sana na wengine lakini ni dhahiri shahiri Mtela Mwampamba sio mtumishi wa umma.
Tunajua haja yenu ya kulipa fadhila makada, tunajua mnawarundika pale Ubungo ili kuikomoa UKAWA na Saidi Kubenea lakini kwa namna mnayofanya ni wazi mnaleta aibu kubwa sana. Tafadhalini fuateni utaratibu.
Naitaka mamlaka iliyomteua Mtela na wengine ambao hawakuwa watumishi wa umma itengue mara moja au itoe ufafanuzi ni kwa mazingira gani uteuzi umezingatia taratibu za kupatikana kwa watumishi wa umma
Nachosisitiza hapa ni kwamba KATIBU TAWALA WA WILAYA HUTEULIWA LAKINI NI LAZIMA AWE MIONGONI MWA WATUMISHI WA UMMA
Tafadhali sana Mods msiunge uzi huu. Kuna hoja nzito sana hapa,nawaombeni sana wakuu
DAS lazima awe mtumishi Wa Umma mzoefu siyo fresh Mtumishi. Jamani hizi ajira za wilaya mbona kama zinafanana majukumu? DC, DAS, Mbunge, District development Director,najua nakufundisha vitu hapa ukawaeleze na wenzio. Katibu Tawala wa Wilaya anateuliwa lakini miongoni mwa watumishi wa umma
Haihitaji hasira na matusi,,,ungepewa wewe usingetusumbua humukwenye red inaonyesha rangi yako halisi, shoga yake Zamaradi Mtetema?
Mkuu wewe huelewi kitu, na bahati mbaya hutaki kupata uelewa kwa wajumbe humu, sasa JF inakusaidia nini?msome mwenzio hapa
mimi sina vigezo hivyo elewa hoja za watu humu, hawazungumzii husda wanazungumzia vigezo na taratibuHaihitaji hasira na matusi,,,ungepewa wewe usingetusumbua humu
Pia Tusome The Regional Administration Act ya 1997 na Public service Act ya 2002 jinsi ya uteuzi wa Ma DAS.mimi sina vigezo hivyo elewa hoja za watu humu, hawazungumzii husda wanazungumzia vigezo na taratibu
mkuu sio kila kitu ni siasa. tunazungumzia taratibu za uteuzi. wengine tunalipenda zaidi taifa kuliko hivo vikundi vyenu viitwavyo vyama.Ndio tayari ni maDAS , hivi wakati mnamchagua Lowasa kuwa mgombea alitimiza vigezo vya kuwa Mgombea vilivyopo kwenye katiba yenu?, au kulikuwa na vimamruki vyenu nini mliviweka stand by?, acheni watu wafanye kazi
asante sana mkuuPia Tusome The Regional Administration Act ya 1997 na Public service Act ya 2002 jinsi ya uteuzi wa Ma DAS.
Uzuri ofisi ya Mkuu wa Wilaya watumishi Wake hawazidi 10Kama "uteuzi'' huu ni wa kweli basi watumishi watakaokuwa chini ya hao wateuliwa wa jiandae kupelekwa puta ki - chama chama na siyo kwa misingi ya utumishi wa umma. Subiri utasikia kama si kuona kabisa.
Sijui kama JPM hata anaelewa nini anafanya! Ana washauri kweli huyu??
Stop being too negative. Wewe unawafahamu sana wateuliwa kuliko mamlaka zao za uteuzi? Wakati mwingine tuache kufikiri kwa mazoea, tubadilike!