Kwa mujibu wa Standing Orders, DAS ni mtumishi wa Umma

hapo hakuna cha ukawa wala uccm bali ni maslahi mapana ya taifa letu. rais kateleza.
sio kila uteuzi anapaswa kuweka yeyote. tafuta standing Order ujielimishe.
 
Mkuu wewe huelewi kitu, na bahati mbaya hutaki kupata uelewa kwa wajumbe humu, sasa JF inakusaidia nini?msome mwenzio hapa
 
Nilikuwa sijaiona hii nikaruka na Uzi mwingine kuhusu hili. Utumishi wa serikali kwa kweli sasa una najisiwa
 
najua nakufundisha vitu hapa ukawaeleze na wenzio. Katibu Tawala wa Wilaya anateuliwa lakini miongoni mwa watumishi wa umma
DAS lazima awe mtumishi Wa Umma mzoefu siyo fresh Mtumishi. Jamani hizi ajira za wilaya mbona kama zinafanana majukumu? DC, DAS, Mbunge, District development Director,
 
Mkuu wewe huelewi kitu, na bahati mbaya hutaki kupata uelewa kwa wajumbe humu, sasa JF inakusaidia nini?msome mwenzio hapa

Kwa Mara ya kwanza nadhani..
.lizaboni kaweka uchama kando na kuweka utaifa mbele baada ya kubanwa mbavu lakini...mwanzo mzuri tutafika tu..
 
Hii Ni Honi Bado Gari Lenyewe
Mtaona Maajabu Awamu Hii Hadi Mshangae
CCM Hii Imekosa Pumzi Jamani
Mengine Tunaionea
Wizi Mbaya Sana Kwasasa Hawana Uelekeo
Wanatamani Warudishe Ushindi Walioiba
 
Ndio tayari ni maDAS , hivi wakati mnamchagua Lowasa kuwa mgombea alitimiza vigezo vya kuwa Mgombea vilivyopo kwenye katiba yenu?, au kulikuwa na vimamruki vyenu nini mliviweka stand by?, acheni watu wafanye kazi
 
Ndio tayari ni maDAS , hivi wakati mnamchagua Lowasa kuwa mgombea alitimiza vigezo vya kuwa Mgombea vilivyopo kwenye katiba yenu?, au kulikuwa na vimamruki vyenu nini mliviweka stand by?, acheni watu wafanye kazi
mkuu sio kila kitu ni siasa. tunazungumzia taratibu za uteuzi. wengine tunalipenda zaidi taifa kuliko hivo vikundi vyenu viitwavyo vyama.
 
Kama "uteuzi'' huu ni wa kweli basi watumishi watakaokuwa chini ya hao wateuliwa wa jiandae kupelekwa puta ki - chama chama na siyo kwa misingi ya utumishi wa umma. Subiri utasikia kama si kuona kabisa.
Uzuri ofisi ya Mkuu wa Wilaya watumishi Wake hawazidi 10
 
Nchi ya ajabu sana hii

Wabaompigia makofi magufuli inabidi wajiulize sasa

Kwanza kuwapekeka wanasiasa uchwara ubungo bw polepole na mtela inaonyesha dhahiri kuwa magufuli ni mchanga sana kisiasa
Hana kabisa kifua cha siasa
 
Sijui kama JPM hata anaelewa nini anafanya! Ana washauri kweli huyu??

Stop being too negative. Wewe unawafahamu sana wateuliwa kuliko mamlaka zao za uteuzi? Wakati mwingine tuache kufikiri kwa mazoea, tubadilike!

Kuzungumzia sheria na taratibu za kuendesha nchi ni kufikiri kwa mazoea, nchi yetu Chaitanya kuendelea kamwe, kwa kufanya mambo kinyume cha sheria na taratibu zilizopo
 
DAS ni mtumishi Wa umma na huwa ni nafasi ya uteuzi inayopatikana kwa njia ya promotion kwa maafisa tawala wasaidizi mkoani, au maafisa tawala Wa wilaya au maafisa tarafa hawa wote wanaweza kuwa promoted kupewa UDAS, na Mara nyingi elimu yao huwa haitakiwa kupungua shahada ya pili. Ila kwa mtu freshi from mtaani kuteuliwa kuwa DAS mshangao kidogo na pia itawadimorolize watumishi wengine Wa ofisi za wakuu Wa mikoa, na wilaya. Kuna nafasi zingine Kama hii zinahitaji experience ya kutosha Sana. siasa zikiingilia utawala tumekwisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…