jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,782
Eh Asha, kwanza pole na pilika.... naona ulipotea hasa hadi mnakasha ukapoaaaa....
Haya karibu, tuendelee!
Labda mapema kabisa niainishe kuwa ninaposema mabadiliko namaanisha nini!!
Namaanisha mabadiliko ya kimfumo wa kiutawala, kwa maana kwanzia kwenye uongozi wa kisiasa ambazo kwa sasa zinaongozwa na CCM.....
Na bila kumumunya maneno, kwa muenendo wa siasa zetu za sasa natangaza maslahi kabisa kuwa mabadiliko hayo ni kutoka CCM kwenda CDM....
Ok, sawa hii ndio nafasi yako, na mimi nilikuuliza baada ya kusoma thread nzima ipo katika mitindo ya uchambuzi wa siku zote kutoka kwa "vichwa" wetu wa siku zote lakini mwisho wa siku inakuwa ni maandishi tu ya mtu ambaye kama anaeleza as yeye hana cha kupoteza kwamba mabadiliko hayo yaje yasije kwake sio ishu sana maisha yanaendelea kama kawaida ....
Hii si sawa tena wapendwa, nchi ipo kwenye hali mbaya sana kuliko juhudi tunazochukua za kuandika tu na kukosoa tu, natoa wito twende mbele zaidi.
Bold Red: Hiyo ni kweli kabisa Asha, we unadhani ni haki kujadili kitu usichokiamini?
Na nimekuhukumu kama huamini katika mabadiliko ambayo wengi tunayatamani kutokana na andiko lako.....
Bold Blue: Hivyo ndivyo kanuni ya kijamii juu ya mabadiliko ya aina yoyote ndio maana nikakupa kibwagizo cha Twaweza, lakini kwa hiyo kuwa kanuni haimaanishi kuwa mara zote ndivyo inavyokuwa na mfano halisi ni jamii yetu ya Tz wengi wetu tunadhani kuna watu wanajukumu la kuhangaikia hayo mabadiliko huku wengine wakiwa mabingwa wa kukosoa tu...
Nadhani hapo umenielewa hapo!!
Natambua hilo, tena sana!!
Ila kwa mda sana wachambuzi wetu naamini hawajatambua namna wanavyoweza kuiathiri jamii kwa maandishi yao...
Naamini katika kukosoa kwa kuboresha, na pia naamini katika kukosoa kwa kukatisha tamaa....
Katika hali yetu kama taifa, mbele ya mfumo wa chama tawala ulioshindwa kwa karibia miaka 55 (hadi 2015), ni tunakuwa watu wa ajabu kama tunaendelea na ukosoaji kukatisha tamaa hasa.
Matokeo hasi yanakuwa mabaya sana sababu wananchi wanawaamini sana waandishi na wachambuzi na hivyo wana nafasi kubwa ya kuyumbisha msimamo wa wananchi.
Kuna namna nzuri zaidi ya kukosoa bila kukatisha tamaa na kuwajenga wananchi kuwa ni wana nafasi zaidi katika kushiriki mabadiliko kwa kuviunga mkono vyama vya siasa mbadala (sio lazima iwe CDM)
Well hapa Jukwaani tumetengeneza jamii yetu, hivyo tunafahamiana kwa sauti za maandishi yetu na michango yetu.....
Kwa bahati mbaya hilo na namna ya theme ya bandiko husika ikanihalalisha kusema nilivyosema...
Marazote ninaweza kutarajia aina ya michango yako hasa linapokuja suala la CDM, hiyo ni kweli kabisa wala siwezi kumumunya maneno Asha ila sidhani kama ni dhambi kwa wewe kuwa na huo mtazamo ulionao.....
Nimelisoma bandiko lako lote zaidi ya mara moja hivyo naelewa ninachojibu na namaanisha.
Pia umekiri kuwa kuna upande linahusu CDM hivyo hapo ndipo nilipoingilia.......
Hapo labda hujanisoma, kikubwa wakati najenga hoja katika post yangu ya awali nilikuwa najaribu kuangalia kwa ujumla mwenendo wa wachambuzi wetu wa masuala yetu ya kisiasa, hivyo haikuwa na maana ya moja kwa moja kuwa ni wewe "unajifanya" japo labda nayo inawezekana....
Pole kama hapo ulikwazika buddy!
Pia ishu ya "kujifanya" inaweza ikahusika na mjadala husika kama mchambuzi akiwa na lengo la kukatisha tamaa na kuvuruga harakati zinazoendelezwa na chama asichokipenda - CDM-!!
Upande wa mtu anapotoka unaathiri mjadala sana tu ndio maana kuna case za watu kuwa bias kwamba kuna vitu vingi mtu ana-overlook either kwa kujua au kwa kutokujua sababu hana taarifa za kutosha kutoka upande wa pili ambao hana maslahi nao sana. Na hichi kimekuwepo kwenye mijadala mingi tu.
Ndio maana mwanzo nikasema sio haki kuhumu mabadiliko ambayo huyaamini au hukubaliani nayo!
Enhe umemtaja Matola, afadhali, sababu hata mimi bandi lake nimelipenda sana na kuna kitu alinifurahisha pia...
Ngoja tuone Matola alisemaje:
Hapo kwenye bold red ndicho kitu ninachokitamani kukisikia kwa wachambuzi wetu, ni kwa kiasi gani umehamasisha mabadiliko hata ngazi ya familia yako tu??
Tunarejea kwenye hoja ya awali kabisa...
Mengine nadhani ndugu yangu Matola kaeleza vizuri sana wala sihitaji kuongeza maana nitaharibu
Naamini katika kukosoa, nategemea sana tafakuri makini zote.....
Ila msisitizo wangu umekuwa kwamba lazima tuwe watu wa kupima zaidi, hebu tuwe na huruma na taifa jamani.....
Mfumo wetu wa utawala tulionao umetosha sasa tunataka hatari gani zaidi ili wote tuje pamoja kusema kuwa "kwa gharama yoyote ile CCM must go" ??
Wote kama taifa tukikubaliana kuwa acha tuipumzishe CCM kama anavyosema Dr Rwaitama, ndio tutajua kuwa ni aina gani ya ukosoaji kunahitajika bila kuathiri harakati za kupigania hayo mabadiliko!
Nimekuwa nikikubaliana na chambuzi nyingi tu na za aina mbalimbali, ila kwasasa nimebadilika natamani aina mpya ya uchambuzi, watu twende kwenye field tupime zaidi moja kwa moja kutoka kwa watu na sio chambuzi zinazotokana na kusoma machapisho na mabandiko tu ya habari.
Nililenga kwenye uchambuzi kwa ujumla sababu umenipa platform pa kuanzia juu ya chambuzi za aina hii.....
Na wala sijaribu kukuzuia na chambuzi zako ila tu nilikuwa natamani uone namna mpya na nzuri zaidi ambayo itakuwa na msaada chanya kwa taifa kufikia mabadiliko...
Mpaka kufikia hapa ni lazima tukiri kuwa wengi wetu tuna vipaji vya uandishi, hivyo kwa vipaji hivyo kuna namna nzuri tu ya uwasilishaji namna ya kila mtu anavyoshiriki katika harakati zake na namna chanya zaidi ya kusukuma mwamko juu ya umuhimu wa mabadiliko, kuwa wananchi ndio wana nguvu, suala la kuitoa CCM madarakani sio ugomvi wala chuki ila ni mchakato muhimu tu wa kijamii kuwa wanaweza wakawaweka CUF/CDM/NCCR na wasipofikisha matarajio yao wakabadilisha tena na tena..... Hilo tu!
Na hakika itakuwa interesting sana sababu itabadilisha namna ya watu wetu kufikiri kuwa kuna watu wanajukumu la kuhangaikia mabadiliko na wengine ni wanasubiri tu na wengine wanakosoa tu na wengine wanakatisha tamaa.....
Na pia hapo sijamaanisha wote wawe wanasiasa ndio maana nikapambanua kila mtu na eneo lake, na chama chake cha siasa kama ni mwanasiasa na hata kama sio mwanasiasa ni sawa tu una cha kutuambia basi hata ngazi ya familia yako tu kama Mkuu wangu Matola alivyoonyesha hapo juu japo kwa udogo!!
Hapana kumbe hujanipata kabisa!
Kuna sauti inayosikika kwenye maandishi yakona wachambuzi wetu wengi kama mtu usiye na nafasi yoyote katika kupigania mabadiliko.
Na kweli hichi kitu ni tatizo la jamii nzima kuwa suala la mabadiliko linaonekana kama ni la CDM (au vyama vyote makini vya upinzania) peke yao, na kwamba wengine ni watu ambao wapo tu na kuwa hawana cha kupoteza, na hiki ndio kimekuwa kitu kingine kinachopelekea ugumu wa kuwatoa CCM pengine kuliko sababu nyingi ulizo eleza kwenye thread....
Narudia tena kusema kuwa nimesoma sana thread yako tena zaidi ya mara moja na nina uhakika na majibu ninayokupa, na nadhani ndio majibu nitakayokuwa natoa kwa chambuzi zote zenye urari wa namna hii popote pale nitakapokutana nazo.
Nashukuru kwa kukubali!
Sawa hii ni part yako, na una haki ya kuona inavyokupendeza ila jamii hii yetu ya watanzania inawatamani sana watu wenye bongo kubwa kama zenu. Ndio nimesema bongo kubwa, nakutaja wewe na nina amini unaweza kwenda mbele zaidi ya hapo na kuiponya hii nchi!
Sihitaji kujenga insha nyingine kukuonyesha jinsi taifa linavyoanguka katika nyanja zote karibia, nadhani kama watu tuliojaaliwa neema na Mwenyezi Mungu kuwa katika mwanga wa kuona Dunia inavyoenda basi tupo kwenye nafasi ya kuona kuwa kama taifa tunaelekea kuangamia zaidi kwa mwenendo huu wa uendeshaji mambo wa CCM.....
Sijui tunasubiri hatari gani zaidi ili tukubaliane kuwa tubadili mfumo wa utawala??
Sijaribu kukuambia uhamie CDM kama huo sio utashi wako kwa jinsi ulivyokifuatilia na kukiona, ila ninachokuomba ni kuwa mda wa kuamini katika CCM umetosha for the sake ya watoto na wajukuu zetu, hilo tu...!
Mmmmhhh unaona sasa? Mbowe alisema eti sababu huko CCM wanachemka???
Una haki zote za ku-critisize tu hadi mwisho ila kwa niliyoeleza nadhani unakubaliana na mimi kuwa sina tatizo na mtu ku-critisize ila nawashauri na nyie mpanue vyumba zaidi sababu mna uwezo zaidi ya huo na jamii inawasikiliza sana na mna nafasi katika kuwayumbisha.
Nashukuru kwa kupokea mchango wangu, pia nashukuru kwa kunijibu!
Haya karibu, tuendelee!
Nafasi yangu ipo Gwalu, this is one of them… Painting the picture as I see it whether kwa pen ama maneno. Ni watu wengi ambao wanacheza nafasi kubwa katika kuleta change waliogawanyika katika makundi ya wale ambao watajulikana kwa changes wanazochangia na wasiojulikana… Inaweza kuwa at a small scale but bado nafasi yake ipo.
Labda mapema kabisa niainishe kuwa ninaposema mabadiliko namaanisha nini!!
Namaanisha mabadiliko ya kimfumo wa kiutawala, kwa maana kwanzia kwenye uongozi wa kisiasa ambazo kwa sasa zinaongozwa na CCM.....
Na bila kumumunya maneno, kwa muenendo wa siasa zetu za sasa natangaza maslahi kabisa kuwa mabadiliko hayo ni kutoka CCM kwenda CDM....
Ok, sawa hii ndio nafasi yako, na mimi nilikuuliza baada ya kusoma thread nzima ipo katika mitindo ya uchambuzi wa siku zote kutoka kwa "vichwa" wetu wa siku zote lakini mwisho wa siku inakuwa ni maandishi tu ya mtu ambaye kama anaeleza as yeye hana cha kupoteza kwamba mabadiliko hayo yaje yasije kwake sio ishu sana maisha yanaendelea kama kawaida ....
Hii si sawa tena wapendwa, nchi ipo kwenye hali mbaya sana kuliko juhudi tunazochukua za kuandika tu na kukosoa tu, natoa wito twende mbele zaidi.
Labda sasa wewe unipe mwanga… Unaposema kuwa siyo haki kuyajadili mabadiliko na hali siyo mpanganaji wake na hapo hapo ukiamini kuwa Change evolves kila mmoja kucheza nafasi yake inakuwaje hapo? .
Bold Red: Hiyo ni kweli kabisa Asha, we unadhani ni haki kujadili kitu usichokiamini?
Na nimekuhukumu kama huamini katika mabadiliko ambayo wengi tunayatamani kutokana na andiko lako.....
Bold Blue: Hivyo ndivyo kanuni ya kijamii juu ya mabadiliko ya aina yoyote ndio maana nikakupa kibwagizo cha Twaweza, lakini kwa hiyo kuwa kanuni haimaanishi kuwa mara zote ndivyo inavyokuwa na mfano halisi ni jamii yetu ya Tz wengi wetu tunadhani kuna watu wanajukumu la kuhangaikia hayo mabadiliko huku wengine wakiwa mabingwa wa kukosoa tu...
Nadhani hapo umenielewa hapo!!
Take note, kila mmoja na kila part ina umuhimu… Mtendaji, Mtendewaji, Mkosaji, Mkosolewa; na hakuna kinachoweza boreshwa bila kukosolewa… hayo yote yanafanya uwepo wa kitu ambacho kinaguswa kwa kila namna kuwapa nafasi wale ambao wapo interested kuelewa kwa kina zaidi bila kujali kama ina matokeo hasi ama chanya.
Natambua hilo, tena sana!!
Ila kwa mda sana wachambuzi wetu naamini hawajatambua namna wanavyoweza kuiathiri jamii kwa maandishi yao...
Naamini katika kukosoa kwa kuboresha, na pia naamini katika kukosoa kwa kukatisha tamaa....
Katika hali yetu kama taifa, mbele ya mfumo wa chama tawala ulioshindwa kwa karibia miaka 55 (hadi 2015), ni tunakuwa watu wa ajabu kama tunaendelea na ukosoaji kukatisha tamaa hasa.
Matokeo hasi yanakuwa mabaya sana sababu wananchi wanawaamini sana waandishi na wachambuzi na hivyo wana nafasi kubwa ya kuyumbisha msimamo wa wananchi.
Kuna namna nzuri zaidi ya kukosoa bila kukatisha tamaa na kuwajenga wananchi kuwa ni wana nafasi zaidi katika kushiriki mabadiliko kwa kuviunga mkono vyama vya siasa mbadala (sio lazima iwe CDM)
Nikutahadharishe thou... Ukiliangalia hili bandiko kwa jicho la kusema kuwa "Hutegemei uchambuzi tofauti na huu toka kwa mtoa mada sababu inahusu tu CDM" then kwangu naona unapotoka kiasi. Sababu kama you have read it accordingly utaona haihusu CDM peke yake, inahusu CCM, CDM na Wananchi.
Well hapa Jukwaani tumetengeneza jamii yetu, hivyo tunafahamiana kwa sauti za maandishi yetu na michango yetu.....
Kwa bahati mbaya hilo na namna ya theme ya bandiko husika ikanihalalisha kusema nilivyosema...
Marazote ninaweza kutarajia aina ya michango yako hasa linapokuja suala la CDM, hiyo ni kweli kabisa wala siwezi kumumunya maneno Asha ila sidhani kama ni dhambi kwa wewe kuwa na huo mtazamo ulionao.....
Nimelisoma bandiko lako lote zaidi ya mara moja hivyo naelewa ninachojibu na namaanisha.
Pia umekiri kuwa kuna upande linahusu CDM hivyo hapo ndipo nilipoingilia.......
Ni kitu gani ambacho kinampa mtu ruhusa ya kuchambua kitu kisiasa ndiyo maneno hayo yapewe uzito? Hivi mfano haya mawazo yangu hayatakiwi kwa mtu ambaye ni mwana CCM atoe hadi awe CDM? Hizi shutuma za mtu "Kujifanya" kunawiana vipi na topic at hand (regardless ya hii ama nyingine? - Labada iwe ya kizushi ama yakucheza dimba); Siamini na wala sidhani kuwa we are pressured ni kitu gani ama upande upi tunasimamia. Kupata ujumbe vema na kutambua kama ni wa msingi ama lah usiwe affected na aliyetowa yupo upande upi... Uwe affected na uongozwe na mantiki.
Hapo labda hujanisoma, kikubwa wakati najenga hoja katika post yangu ya awali nilikuwa najaribu kuangalia kwa ujumla mwenendo wa wachambuzi wetu wa masuala yetu ya kisiasa, hivyo haikuwa na maana ya moja kwa moja kuwa ni wewe "unajifanya" japo labda nayo inawezekana....
Pole kama hapo ulikwazika buddy!
Pia ishu ya "kujifanya" inaweza ikahusika na mjadala husika kama mchambuzi akiwa na lengo la kukatisha tamaa na kuvuruga harakati zinazoendelezwa na chama asichokipenda - CDM-!!
Upande wa mtu anapotoka unaathiri mjadala sana tu ndio maana kuna case za watu kuwa bias kwamba kuna vitu vingi mtu ana-overlook either kwa kujua au kwa kutokujua sababu hana taarifa za kutosha kutoka upande wa pili ambao hana maslahi nao sana. Na hichi kimekuwepo kwenye mijadala mingi tu.
Ndio maana mwanzo nikasema sio haki kuhumu mabadiliko ambayo huyaamini au hukubaliani nayo!
Suala la kupotosha jamii… Kuna suala Matola kagusia hapo ambalo nimelipenda saana. Kuwa watu wanaelewa ni nini wanataka na huwezi kuwadanganya kwa kuwaambia kitu ambacho sicho kwa kufanya ndicho.
Enhe umemtaja Matola, afadhali, sababu hata mimi bandi lake nimelipenda sana na kuna kitu alinifurahisha pia...
Ngoja tuone Matola alisemaje:
Sijasoma makala nzima ya AshaDii nataka kulala nitaisomna kesho, ila EMT acha mara moja ku under estimate Watanzania kiasi hicho, mimi na Familia yangu CCM haina kura hata moja, subilini tu lile bomu alilolisema Lowasa liotakavyofanya kazi yake vyema.
Wengi humu licha kuwa ni wachambuzi wazuri lakini mnashindwa kufanya calculation ya wapiga kura wa 2015 ni wa rika gani. hawa hawadanganywi kwa lugha ya amani na utulivu bali wanataka kuishi kama binadamu na siyo porojo za kwamba Chadema ni chama cha ukanda wa kaskazini wakati CCM ndio ina Wabunge wengi Kaskazini, this is ridiculous.
Hapo kwenye bold red ndicho kitu ninachokitamani kukisikia kwa wachambuzi wetu, ni kwa kiasi gani umehamasisha mabadiliko hata ngazi ya familia yako tu??
Tunarejea kwenye hoja ya awali kabisa...
Mengine nadhani ndugu yangu Matola kaeleza vizuri sana wala sihitaji kuongeza maana nitaharibu
HATUWEZI na wala HAIWEZEKANI kutegemea mafanikio bila kujitafakari, kutafakariwa na wamazo wa watafakari hao kujulishwa bila kujali wame ku Criticise ama Lah. Suala la kuona mawazo yaliyowakilishwa ni mbwembwe sababu tu huyapendi ama kutoyakubali ni aina ya udhaifu wa kutotaka ona mabaya ya li/yale ambayo unataka yaonwe kwa uzuri tu. Kama uliweza kuyasoma mawazo ywa wanaharakati waliotowa uchambuzi kama huo wa Samson Mwigamba (as per your say) na ukavutiwa na kupenda, ni hivyo hivyo ambavyo inabidi utazame upande wa pili wa shilingi ikitokea hujapenda hayo mawazo.
Naamini katika kukosoa, nategemea sana tafakuri makini zote.....
Ila msisitizo wangu umekuwa kwamba lazima tuwe watu wa kupima zaidi, hebu tuwe na huruma na taifa jamani.....
Mfumo wetu wa utawala tulionao umetosha sasa tunataka hatari gani zaidi ili wote tuje pamoja kusema kuwa "kwa gharama yoyote ile CCM must go" ??
Wote kama taifa tukikubaliana kuwa acha tuipumzishe CCM kama anavyosema Dr Rwaitama, ndio tutajua kuwa ni aina gani ya ukosoaji kunahitajika bila kuathiri harakati za kupigania hayo mabadiliko!
Nimekuwa nikikubaliana na chambuzi nyingi tu na za aina mbalimbali, ila kwasasa nimebadilika natamani aina mpya ya uchambuzi, watu twende kwenye field tupime zaidi moja kwa moja kutoka kwa watu na sio chambuzi zinazotokana na kusoma machapisho na mabandiko tu ya habari.
JouneGwalu… Kuna mambo mengi sana nimegusia hapo. Naamini ningeelewa vema zaidi ungenijuza kabisa kua AshaDii, hapa sikubaliani napo kwa sababu hii…. But kwa kugeneralise kuwa there is no need of a long analysis…. Ni suala ambalo sikubaliani nawe. For kwa kweli ni suala ambali nitaendelea kufanya.
Nililenga kwenye uchambuzi kwa ujumla sababu umenipa platform pa kuanzia juu ya chambuzi za aina hii.....
Na wala sijaribu kukuzuia na chambuzi zako ila tu nilikuwa natamani uone namna mpya na nzuri zaidi ambayo itakuwa na msaada chanya kwa taifa kufikia mabadiliko...
Katika masuala ya mabadiliko... Hapo nilipo bold... Hivi imagine JouneGwalu said:EMT[/B], Nguruvi3, Mchambuzi na mimi mwenyewe pamoja na wengine wote wahusika tukifanya hiyo kazi ya kuleta threads za kila mmoja kutoa maelezo ya change anayofanya na mafanikio... Itakuwa interesting kweli? Sijui, but mie naona sidhani... Zaidi watu hawatachelewa kusema you are braggin na siyo kweli.
Mpaka kufikia hapa ni lazima tukiri kuwa wengi wetu tuna vipaji vya uandishi, hivyo kwa vipaji hivyo kuna namna nzuri tu ya uwasilishaji namna ya kila mtu anavyoshiriki katika harakati zake na namna chanya zaidi ya kusukuma mwamko juu ya umuhimu wa mabadiliko, kuwa wananchi ndio wana nguvu, suala la kuitoa CCM madarakani sio ugomvi wala chuki ila ni mchakato muhimu tu wa kijamii kuwa wanaweza wakawaweka CUF/CDM/NCCR na wasipofikisha matarajio yao wakabadilisha tena na tena..... Hilo tu!
Na hakika itakuwa interesting sana sababu itabadilisha namna ya watu wetu kufikiri kuwa kuna watu wanajukumu la kuhangaikia mabadiliko na wengine ni wanasubiri tu na wengine wanakosoa tu na wengine wanakatisha tamaa.....
Na pia hapo sijamaanisha wote wawe wanasiasa ndio maana nikapambanua kila mtu na eneo lake, na chama chake cha siasa kama ni mwanasiasa na hata kama sio mwanasiasa ni sawa tu una cha kutuambia basi hata ngazi ya familia yako tu kama Mkuu wangu Matola alivyoonyesha hapo juu japo kwa udogo!!
Hii paragraph ya mwisho sasa ndiyo nimekupata vema kwa hapa. Umesha fanya conclusion kuwa bandiko linahusu kuwa Chadema ishindwe na kuwa nataka hivyo. Sincerely... Naomba soma upya the whole article toka neno la kwanza to the final fulstop.
Hapana kumbe hujanipata kabisa!
Kuna sauti inayosikika kwenye maandishi yakona wachambuzi wetu wengi kama mtu usiye na nafasi yoyote katika kupigania mabadiliko.
Na kweli hichi kitu ni tatizo la jamii nzima kuwa suala la mabadiliko linaonekana kama ni la CDM (au vyama vyote makini vya upinzania) peke yao, na kwamba wengine ni watu ambao wapo tu na kuwa hawana cha kupoteza, na hiki ndio kimekuwa kitu kingine kinachopelekea ugumu wa kuwatoa CCM pengine kuliko sababu nyingi ulizo eleza kwenye thread....
Narudia tena kusema kuwa nimesoma sana thread yako tena zaidi ya mara moja na nina uhakika na majibu ninayokupa, na nadhani ndio majibu nitakayokuwa natoa kwa chambuzi zote zenye urari wa namna hii popote pale nitakapokutana nazo.
All in all nakubaliana na wewe... Change ni mimi na wewe. And this is my part in this... Nadhani umesikia kuwa hata Mwenyekiti wa Taifa Chadema -Mheshimiwa Mbowe katangaza kuwa sasa hawapokei tena wanachama wa CCM kwa muda huu uliobaki hasa wenye niya ya kwenda huko sababu tu wanaona kuwa CCM wanachemka. (Not the exact words but same meaning); Hivyo ina maana yawezekana kabisa mimi kama mmoja wa wengi walio wa 'Criticize' CDM katika hilo tayari tumecheza nafasi yetu kama wapambanaji. Asantw kwa mchango wako.
Nashukuru kwa kukubali!
Sawa hii ni part yako, na una haki ya kuona inavyokupendeza ila jamii hii yetu ya watanzania inawatamani sana watu wenye bongo kubwa kama zenu. Ndio nimesema bongo kubwa, nakutaja wewe na nina amini unaweza kwenda mbele zaidi ya hapo na kuiponya hii nchi!
Sihitaji kujenga insha nyingine kukuonyesha jinsi taifa linavyoanguka katika nyanja zote karibia, nadhani kama watu tuliojaaliwa neema na Mwenyezi Mungu kuwa katika mwanga wa kuona Dunia inavyoenda basi tupo kwenye nafasi ya kuona kuwa kama taifa tunaelekea kuangamia zaidi kwa mwenendo huu wa uendeshaji mambo wa CCM.....
Sijui tunasubiri hatari gani zaidi ili tukubaliane kuwa tubadili mfumo wa utawala??
Sijaribu kukuambia uhamie CDM kama huo sio utashi wako kwa jinsi ulivyokifuatilia na kukiona, ila ninachokuomba ni kuwa mda wa kuamini katika CCM umetosha for the sake ya watoto na wajukuu zetu, hilo tu...!
Mmmmhhh unaona sasa? Mbowe alisema eti sababu huko CCM wanachemka???
Una haki zote za ku-critisize tu hadi mwisho ila kwa niliyoeleza nadhani unakubaliana na mimi kuwa sina tatizo na mtu ku-critisize ila nawashauri na nyie mpanue vyumba zaidi sababu mna uwezo zaidi ya huo na jamii inawasikiliza sana na mna nafasi katika kuwayumbisha.
Nashukuru kwa kupokea mchango wangu, pia nashukuru kwa kunijibu!
Last edited by a moderator: