Kwa muktadha huu "URAIS" ni wa CCM 2015...

Kwa muktadha huu "URAIS" ni wa CCM 2015...

Aj where have you been Pal? Siasa za Nape for instance how would you grade them aside from gutter politics? Haijalishi ni kweli ama uongo but still the same thing. Take note I stand to be corrected.

Yes ADii Pal m here!

Look how I-analyzed-the whole thing!

Naomba nitumie hii nukuu ya vita from the Legendary Sun Wu. Naamini kuwa hii nukuu, inatumika vema na CCM katika tactics zake zake chafu za-kisiasa hasa hizi za ‘Gutter Politics' .... It is time Chadema start doing-the same... (IMO).-

“If your enemy is secure at all points, be prepared for him. If he is in superior strength, evade him. If your opponent is temperamental, seek to irritate him. Pretend to be weak, that he may grow arrogant. If he is taking his ease, give him no rest. If his forces are united, separate them. If sovereign and subject are in accord, put division between them. Attack him where he is unprepared, appear where you are not expected.”-

Look how you said it! " Naamini kuwa hii nukuu, inatumika vema na CCM katika tactics zake chafu..." ADii-don't-you see that you r in support of the " tactics zake chafu" . But if it has proved to be useful to CCM definetly CCM cant call it Chafu ... and that is my concern ... Itakuwaje chafu huku ikiwa imetumika vema na CCM?

Ndio nikahoji ... Chafu? .. Mbona CCM wataiona safi? and look you also advocate CDM to use IT!!

Tell me where I-didn't-get you?-

You know am in support of-the Legendary Sun Wu ... but how you applied it here???

Or may be it should sound like this ..-Nukuu imetumika vema kwa CCM ... kuendeleza Tactics zake chafu

LAKINI -Ungeishauri Chadema kuitumia nukuu ... kuendeelza Tactics zake SAFI!!

Cause why should chedema use it as the way CCM used it (.. chafu)
 
Kwa maneno machache, naweka summary ya factors ambazo zitaweza kuipa ushindi CDM 2015, zikichukuliwa kwa pamoja.
1. Tume huru ya uchaguzi itakayotokana na katiba mpya.

2. Udhaifu wa CCM utakaosababishwa na internal division.

3. Weakness za mgombea wa CCM due to factor number 2 above.

4. Uimara wa CDM, kama itaweza kuwa na mashina imara ya kuhimili misukosuko mpaka ifikapo 2015

5.Uwezo mkubwa wa kuhamasisha watanzania kujitokeza kujiandikisha kwa wingi.

6. Elimu ya uraia vijijini by CDM wenyewe

7. Uwezo wa kuwa na wasimamizi wa kura kila kituo.

8.Uwezo wakuandaa wagombea ubunge influential ambao watampigia debe raisi majimboni mwao

9. Technically, uwezo wakupata intelligent info from important sources for counter planning!

Kama haya hayatakuwepo kwa ujumla wake, uwezo wa CDM kushinda utapungu kwa jinsi mambo haya yatakavyokuwa yamepelea.
 
Nakubaliana na kipengele hiki kabisa. Na ni kipengele ambacho ningependa kusikia wadau wa Chadema hapa jamvini kama Petro E. Mselewa, Sikonge, Mwita Maranya na wengine wanauchukulia vipi maoni haya.

Dada mkuu AshaDii habari za siku nyingi.
Hii thread sijaitembelea muda mrefu hata nimepitwa na mambo mengi sana.
Hatahivyo nikushukuru kwa mwaliko huu, ngoja niperuzi kidogo mawazo ya wadau ili nielewe vizuri hoja ninayotakiwa kuitolea maoni yangu.
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu vyama kuchukua share ya lawama sawa, lakini hivyo vyama ni artificial persons wanaongozwa na real persons ambao ni Watanzania vile vile. Au unataka kuniambia viongozi wa vyama ni foreigners?

Kuhusu kubadilika kwa attitudes za Watanzania inawezekana kabisa kama wakiamua kufanya hivyo. Lakini itabidi kubadilisha attitudes za kila kitu. Tunatakiwa kuchange attitudes zetu siyo kisiasa tuu bali kwa kila kitu.

Kuhusu ni akina nani wanatakiwa kutuamsha ili tutambue kuwa tatizo kubwa ni sisi na siyo viongozi peke yake, ni sisi Watanzania wenyewe. Tusitegemee kabisa kuwa someone will come from somewhere to rescue us. Never.

Kama nilivyosema mwanzoni watu wengi wanaamini kabisa kuwa things have fallen apart and "It is no Longer at Ease". But either they're doing nothing because they strongly believe that "A Man of the People" will come and rescue them or that "The Beautiful Ones are not yet Born".

Lakini the majority of us are afraid of "The Petals of Bloods". We're still afraid to face "The Trial of Dedan Kimathi". Kwa hiyo hata akitokezea mtu kutoka sayari nyingine atakuta wengi tayari wameshaamka lakini wanaogopa kutoka nje kwa sababu kuna kiubaridi.

Nimekusoma EMT.. Kwa maneno yako in 'Italics' inaonyesha wazi kuwa change for the better ni kitu ambacho kitachukua forever kwa vigezo vya maelezo hayo..

Niongezee kuwa inawezekana pa we are doing nothing because each in one's own way is "The Black Hermit". The knowledge that things are "No longer at Ease" does not in any way push us in reacting and creating "Another Africa". We are so comfortable to leave everything in God's hands hoping the "Arrow of God" will work its wonders, obliviousness that anyone can be "A Grain of Wheat".
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Uchaguzi wa 2015 CHADEMA au Wapinzani hawawezi kuishinda CCM hata iweje, hata kama Uchaguzi uwe free & fair kuliko yote Duniani, bado hakuna Chama kinaweza kuishinda CCM kwa kura hapa Tanzania 2015 ni mapema mno, mimi kama kuna kitu ningeweza kuwashauri CHADEMA ni kuwekeza nguvu zote kwenye Udiwani na Ubunge, wahakikishe wanapata Madiwani wengi zaidi ili waweze kuongoza Halmashauri na Miji mingi zaidi, na hapo sasa ndio waonyeshe mfano kwa kuhakikisha Halmshauri na Miji wanayoiongoza inakuwa Mifano ya kuigwa ukilinganisha na Halmashauri za CCM, hapo ndipo sasa wanapoweza kuwapata Wananchi wengi sana na kuwahakikishia Ushindi 2020 au 2025, kwa maana watakuwa na cha kuongelea na kulinganisha!

Mkuu Kijakazi... Kama naomba kujua ni vigezo vipi umetumia kudhania kuwa bado 2015 ni mapema mno kwa CCM kung'olewa. Siafikiani na wewe katika hili, HASA kama jitihada na strategies za kuwang'oa zikitiliwa nguvu. Hata hivyo kama nilivyosema, naomba kujua vigezo vipi vinavyo ashiria hili...
 
Last edited by a moderator:
Ndio nikahoji ... Chafu? .. Mbona CCM wataiona safi? and look you also advocate CDM to use IT!!

Tell me where I-didn't-get you?-

You know am in support of-the Legendary Sun Wu ... but how you applied it here???

You got me right AJ, But i did not get that you got me the way you did. Your prior statement was too brief :A S angel:.

Enways how Sun Wu is applicable here?

In a way these two parties are in war... Hadi mara nyingine huwa wanajisahau kuwa wapo kwa ajili yetu ni si kwa ajili ya kushindana kwao. In the process ya dimba zao za kisiasa, there some instances hufanya vitu na vitendo kana kwamba wananchi ni wajinga mno na hawatambui wala kuelewa nini kinaendelea.

Hizo techinic za Sun Wu zinaingia kabisa... To him unapo pata ushindi haijalishi umepata ushindi kwa kutumia njia ipi ili mradi umeshinda. That is to say... CCM may win 2015, lakini haina maana kuwa ushindi wao huo unaweza kuwa umepatikana kwa kihalali kabisa.
 
Kwa maneno machache, naweka summary ya factors ambazo zitaweza kuipa ushindi CDM 2015, zikichukuliwa kwa pamoja.
1. Tume huru ya uchaguzi itakayotokana na katiba mpya.

2. Udhaifu wa CCM utakaosababishwa na internal division.

3. Weakness za mgombea wa CCM due to factor number 2 above.

4. Uimara wa CDM, kama itaweza kuwa na mashina imara ya kuhimili misukosuko mpaka ifikapo 2015

5.Uwezo mkubwa wa kuhamasisha watanzania kujitokeza kujiandikisha kwa wingi.

6. Elimu ya uraia vijijini by CDM wenyewe

7. Uwezo wa kuwa na wasimamizi wa kura kila kituo.

8.Uwezo wakuandaa wagombea ubunge influential ambao watampigia debe raisi majimboni mwao

9. Technically, uwezo wakupata intelligent info from important sources for counter planning!

Kama haya hayatakuwepo kwa ujumla wake, uwezo wa CDM kushinda utapungu kwa jinsi mambo haya yatakavyokuwa yamepelea.

Mkuu hii post yako kwa namna moja ama nyingine ni kuwa unakubaliana na the fact kuwa walipo sasa Chadema hawajajipanga vya kutosha na kuwa wana kazi ya ziada... Kuwa bila focus juu ya hayo uliyotaja, basi haitakuwa rahisi kwa wao kushinda huo uchaguzi mkuu. I stand to be corrected.
 
Dada mkuu AshaDii habari za siku nyingi.
Hii thread sijaitembelea muda mrefu hata nimepitwa na mambo mengi sana.
Hatahivyo nikushukuru kwa mwaliko huu, ngoja niperuzi kidogo mawazo ya wadau ili nielewe vizuri hoja ninayotakiwa kuitolea maoni yangu.

Take your time.. Ila usikose kutupa mawazo yako Mwita Maranya... Pamoja Saana!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hii post yako kwa namna moja ama nyingine ni kuwa unakubaliana na the fact kuwa walipo sasa Chadema hawajajipanga vya kutosha na kuwa wana kazi ya ziada... Kuwa bila focus juu ya hayo uliyotaja, basi haitakuwa rahisi kwa wao kushinda huo uchaguzi mkuu. I stand to be corrected.

Sentensi ya mwisho kwenye post yangu imekiri hilo, wanaweza kushinda, lakini itakuwa kwa tabu. Ndio kusema wajipange sana
 
Niongezee kuwa inawezekana pa we are doing nothing because each in one's own way is "The Black Hermit". The knowledge that things are "No longer at Ease" does not in any way push us in reacting and creating "Another Africa". We are so comfortable to leave everything in God's hands hoping the "Arrow of God" will work its wonders, obliviousness that anyone can be "A Grain of Wheat".

Hapo kwenye red usitake nichakachue thread yako tena kwenye jukwaa la great thinkers. Umenikumbusha mbali sana. That book is a masterpiece.

Kiuhalisia bado tunao akina Mugo, Karanja, Gikonyo, Mumbi, Kihika, Warui (bibi wa mabibi wote) bila kumsahau Mr Thompson. Tunao pia akina Waiyaki watakaozikwa wakiwa hai huku vichwa vyao vikiwa chini na miguu juu.

And, don't underestimate "The River Between" as we also have two neighboring political parties caused by differences in their politics. Bitterness kati ya hivi vyama inasababisha mpaka hatred baina ya Watanzania.

Kuhusiana na kuacha kila kitu mikononi mwa Allah, ndiyo mtindo wetu sie Watanzania. Kama nilivyowahi kuandika huko nyuma, Allah will give strength - prosperity in our secular affairs, success in our enterprises and His blessing upon our fields and cattle.

But if you don't have enterprises, fields and cattle, then there will be no blessing. What for? Allah cannot bless for nothing.
 
Mkuu AshaDii,unazungumziaje mbinu chafu zilizo anza kutumika kudhibiti CHADEMA hapa Tanzania,na mustakabali wa taifa letu baada ya uchaguzi wa 2015?
 
Last edited by a moderator:
You got me right AJ, But i did not get that you got me the way you did. Your prior statement was too brief :A S angel:.

Enways how Sun Wu is applicable here?

In a way these two parties are in war... Hadi mara nyingine huwa wanajisahau kuwa wapo kwa ajili yetu ni si kwa ajili ya kushindana kwao. In the process ya dimba zao za kisiasa, there some instances hufanya vitu na vitendo kana kwamba wananchi ni wajinga mno na hawatambui wala kuelewa nini kinaendelea.

Hizo techinic za Sun Wu zinaingia kabisa... To him unapo pata ushindi haijalishi umepata ushindi kwa kutumia njia ipi ili mradi umeshinda. That is to say... CCM may win 2015, lakini haina maana kuwa ushindi wao huo unaweza kuwa umepatikana kwa kihalali kabisa.

".. In away these two parties are in war...wanafanya vitu kama wananchi ni wajinga ..."

Kinachonifanya Mimi ni waze sana na kushangaa kuhusu maisha,
hasa maisha ya wanasiasa ni jinsi gani Nchi kama Tanzania imefikia hapa ilipo...
Na itakavyokuwa hapo mbeleni kidogo tu! SIAMINI MACHO YANGU!!

I'm-puzzled, have nothing to do,-I'm-just watching all what is happening-around,
I never thought this kind of political-scenario can-totally-hypnotize-our leaders and put them into such a dream state!

I never thought Tanzania political parties could be these low...

I never thought they could use any means to get to the power...-

I never thought they will even loose their-dignity and-humanity as means to the power...

I-never-thought this time-will-come, THAT the nation will terribly swing and yet and almost every body is playing-petty-about it ... as if its total habitants is of no-human being,-but-composed-of tiny creatures with no human souls!!!
AshaDii ... You know what ..? AND Believe me, deeply my heart is-painfully-crying about my country.. !!

My heart is in-distress-about-the people, the innocent-people... the fellow Tanzanian.. The-naive humanity-of this nation.. The-beautifully-soulful-being with nobody to take care, wondering, scattered, pour, tired and God knows ... !!

My-Heart-is in deep sorrow,-politicians are-playing us, making funny out of us,.. as a meas of-replenishing-their pleasure ... updating their political status ..
AshaDii do you-believe-there is a way out of this hypnotic games?
 
Last edited by a moderator:
Maadam bado wananchi bado wanaendelea kutafuta WATAWALA wa kuwaita WAHESHIMIWA basi itakuwa vigumu sana kuiondoa CCM madarakani. Yatizo sio Chadema, CUF wala NCCR bali watu wote nyuma ya vyama hivi na wananchi wenyewe tuna mtindio wa Ubongo unaoitwa kasumba ya mkoloni..

Mambo yoote yalokwisha tokea bado wananchi tumegawanyika na wengine wakiipigia debe CCM japo wanaumia ktk maisha. Ukiona nchi maskini ambayo inajengwa kutoka juu kwa kutumia mifumo inayokuza asilimia 1 kumiliki asilimia 90 ya Utajiri ilihali nchi hiyo watu wake ni maskini basi ujue hawa watu wana kasumba mbaya sana. je una sababu baina ya CUF na Chadema kuchukiana tena kisiasa vyama ambavyo havina hata nusu ya wabunge nchini? kuna sababu leo hii wananchi waislaam na wakristu kuchukiana hadi kufikia hatua tuliyopo?... na tujiulize mkoloni aliweza vipi kututawala?.. Sii kwa kupitia mambo kama haya?

Hivyo hadi siku wananchi wenyewe watakapo amka toka usingizi wa pono na kudai VIONGOZI badala ya WATAWALA na wakaijua tofauti baina na vitu hivyo ndipo tunapoweza kuona Upinzani wa kweli sio tu kwa vyama vya siasa bali hata wananchi wenyewe kujua tofauti baina ya UKWELI na MAMLAKA.

Binafsi yangu nimesha ondoa tumaini hasa baada ya kuona wananchi wenyewe tena hapa hapa JF wakikwaruzana kwa vitu walivyolengeshwa hata wasione ujinga ulotangulia nyuma yake.. Kwa mfano leo hii watu wanabishana na kuchukiana juu ya dini, na sii bure CCM wameondoa kabisa kasi ya watu kukichukia chama bali kuwagawa wao na waanze kuchukiana wenyewe...Leo watu wanazungumzia zaidi Uislaam na Ukristu na wapo tayari kuchukua hata silaha wauane, lakini wameshindwa kuelewa kwamba vitu hivi havitokei pasipo sababu na kuna mkono wa mtu..

Kanisa limechomwa Mbagala hadi leo hii hatuwajui walochoma isipokuwa watu wanashabikia kukamatwa kwa Sheikh Ponda ambaye ni bangusilo kuondoa hasira za wakristu lakini wahaini wenyewe are still at large, unsolved case watu wametulia. Yalipoanza kuiva bungeni tumeyaona ya Zanzivar, chuki inazidi baina ya watu wenyewe na sasa imefikia mahala ambapo tumegawanyika vibaya sana na hakika mwaka 2015 utakuwa kielelezo cha imani za watu, mshindi CCM...
Mkandara,

Kama mahitaji ya maendeleo yanatokana na kushindwa au kushinda kwa chama cha siasa nina hakika CCM itashinda lakini nahoji watakuwa WAMESHINDA NINI HASWA? Kwa mtizamo huo CDM watakuwa wameshindwa, pia ninahoji WATAKUWA WAMESHINDWA NINI HASWA?

CDM Wameshawahi kushindwa kabla, na CCM walishawahi Kushinda Kabla nina hoji kushindwa na kushinda huko kumeiweka wapi Tanzania yetu? Kumeifanya Tanzania kupiga hatua yeyote ya kimaendeleo? Imepiga hatua yeyote Kiuchumi? Vipi kuhusu Umoja wa kitaifa umekuwa bora zaidi kutokana na kushinda na kushindwa huko?

Kushindwa na kushindwa is an infinity journey , ni safari isiyokuwa na mwanzo wala mwisho, safari hii kwa namna ya ajabu sana hutubeba (Brain washed) na kututokomeza kwenye usingizi wa kupumbaa kabisa. tumekuwa brainwashed tumekuwa almost zombie wa nani kashinda nani kashindwa kama vile hatuoni lingine? Miaka mitano tangu kushindwa na kushinda kutokea inapita inakuja mingine na wimbo ni uleule ... kama vile kuna mtu au kikundi cha watu kinatuchezea , ametukamata anahakikisha hatuoni kinachotakiwa kuonwa. We are in a dream state ... ndani ya usingizi huo maalum kuna mtu/watu wanatufaidi!! Anatupandisha midadi ili tusione kile kiachotakiwa kuona ila tu kujiaadaa miaka mitano baada ya miaka mitano ... nani atashindwa nani atashinda. Hivi kweli ndio kiwango chetu cha kupevuka na kuona kimeishia hapo?

HONESTLY!!

Nani anajali nani atashinda au nani hatashinda? Mashndano haya yanaboresha kiasi gani hali ya mwaanchi wa chini kabisa, mkulima ambaye miaka nenda rudi hana mbelele wala nyuma? Mashindano haya yataboresha vipi amani, utulivu na umoja wa kitaifa?

Kwani kushindana huku hakujawahi kufanyika huko nyuma? Kwani kulibadilisha nini? Kwanini basi tupoteze muda na kumezwa na michezo ambayo haina tija kwa jamii ya Kitanzania? MSHINDI ..MSHINDI WA NINI???????!!!!

Kwanini tusione na kufanya kinachotakiwa kuona na kinachotakiwa kufanywa? Kwanini tunaingia kwneye mtego wa adui na kucheza mchezo alioupanga yeye na kutukamata kabisa fikra na fahamu zetu (utumwa wa fikra) tusione tunachotakiwa kuona na kufanya kianchotakiwa kufanya?
 
Last edited by a moderator:
Well....!
Sidhani kama nilitegemea uchambuzi wa tofauti sana toka kwako Bi. Asha hasa linapokuja suala la CDM.....

Ok sitaki kwenda sana huko ila baada ya kuwa nimewasoma sana wachambuzi wengi wa masuala ya kisiasa hapa JF na kwingine huko, nataka nianze na wewe kwa swali dogo tu. Wewe nafasi yako ni ipi katika "mabadiliko" au vyovyote itakavyokuwa hapo 2015??

Kwa kulifafanua zaidi swali, ngoja niliweke hvi katika ule usemi wa "changes ni mimi na wewe, Twaweza" nafasi yako ni ipi kuelekea hiyo 2015? Hichi ndio kitu cha maana zaidi kuliko vingi mtu anaweza kukujibu, kama we huamini katika mabadiliko hayo ni vipi utayaona kwa wewe kuwa sehemu ya mabadiliko? Au ukiwa umekata tamaa kama EMT, ni nini utaona?

Hizo ni pembe mbili zinazotosheleza kuwatoa kwenye uwanja wa mapambano. Sio haki kuyajadili mabadiliko ambayo wewe sio mpambanaji wake. Baada ya kuonja aina mpya ya uchambuzi wa masuala ya siasa za kwetu nimeona kitu cha tofauti sana,
nimesoma maandiko ya Samson Mwigamba na baadae nkasoma maandiko ya Anserbeth Ngulumo. Wote ni wanaharakati na viongozi wa CDM katika mikoa yao, nilichojifunza kwao ni kwamba hao ni watu wanaoueleza ulimwengu kile walichokuwa wanakisikia ila sasa wanakifanya, jinsi wanavyoshiriki kujenga mabadiliko ambayo wengine mnayatarajia kuyapima tu.

Kwenye andiko la majuzi Ngulumo alikuwa akiwapongeza makamanda wenzake wa huko kijijini kwake jinsi walivyofanikisha ushindi wa CHADEMA kwa vitongoji vya kwao huko, alieleza mengi na mpaka mwenzao mmoja aliuawa katika mapambano ila mwishoni CDM ilishinda karibu asilimia 80 au zaidi ya viti vya vitongoji huko Bukoba vijijini sijui wilaya gani hasa.

Na kuhusu Samson Mwigamba, ni mwenyekiti wa CDM mkoani Arusha, miongoni mwa hadithi yake ya kusisimua ni mjadala aliowahi kuwa nao na Mwanakijiji juu ya uchaguzi wa Arumeru Mashariki, masisimuo yanapatikana kwa majibu ya Mwigamba anavyoelezea mchezo wa siasa unavyochezwa na jinsi gharama wanazoziingia katika kugharamia hayo mabadiliko ambayo watu mnakuja kuyapima.

Kwanini nimewataja watu hao??

Hiyo ni mifano yangu binafsi (inayonivutia mimi) kujitosheleza kusema kuwa ufike wakati kila mtu kwa nafasi yake aziishi harakati halisi kuelekea mabadiliko tunayoyategemea. Leo wamejitwisha ufundi wa kuchambua na kukosoa masuala mbalimbali lakini mwishoni anajifanya neutral au ameficha gamba lake la CCM!

Sasa katika namna hyo tutajadili mabadiliko kweli?

Kwa kufupisha maneno mengi ninachotaka kusema ni kuwa Tanzania/Tanganyika ni yetu sote either uwe huna chama au hupendi siasa na wanasiasa, ni ukweli kuwa nchi yetu ina hali mbaya sana kama alivyosema EMT, hvyo suala la mabadiliko ni la lazima ili kuinusuru nchi yetu kuangamia kwenye mfumo ulioifikisha hapa na ni wazi mfumo huu unaipeleka nchi pabaya, hvyo sio sahihi kufikiri suala la kufanya mabadiriko linawahusu CDM peke yao tu, na kuwa kama 2015 CDM ikishindwa basi eti itakuwa imekomoka yenyewe tu (hizi ndio fikra za wengi),

kwa msingi huo tutakuwa tumepotoka sana kama jamii.....

Ni jukumu la kila mtu kucheza nafasi yake kwa vitendo katika kuwa sehemu ya mabadiliko tunayoyatamani wote. Hizi mbwembwe za kuja na chambuzi ndeefu kila kukicha kwenye hzi kurasa na kuta hazitatufaa sana, mabadiliko tunayoyatamani ni makubwa sana kuliko kile tunachofanya kila siku.

Tubadili aina ya uchambuzi tuleteane case study, naelewa sio lazima wote tuwe wanasiasa japo tunajukumu moja la kuleta mabadiliko ya kisiasa kupitia kwenye kada zetu, EMT tupe uzoefu wako unavyopambana na mabadiliko huko kwenye michakato yako sijui ni sheria sijui ni uandishi wa habari, Nguruvi3 tupe harakati zako halisi kutokea huko ulipo, Mchambuzi tueleze uzoefu wako na harakati zako za sasa, kama kuna watu unawajenga wanafanikiwa wapi wanashindwa wapi....

Kila mtu ana nafasi katika kujenga na kufikia hayo mabadiliko tunayoyataka wote, hayo sio mabadiliko ya CDM ila tu kwa baadhi yetu tunaamini tu CDM kama njia au msingi mpya wa kujenga tena kinachobomoka!

Ila narudia tena kushindwa kwa CDM haitakuwa aibu au kukomoka kwa CDM peke yao tu bali kwa kila anayeujua ukweli na aliyetamani mabadiliko fulani katika jamii yetu na hakuchukua na kucheza nafasi yake. Tuache na tupunguze mbwembwe za uchambuzi wa nadharia uliokithiri twende kwenye uwanja wa mapambano kila mtu achukue nafasi yake kujenga dhamira ya mabadiliko na watu wake kuelekea 2015.


CHANGES NI MIMI NA WEWE, TWAWEZA!
jouneGwalu,

Nimejaribu sana kufuatilia hoja!

Ni kama naelewa kwa namna fulani hoja na mtizamo wako.
Naona kuwa kuna jambo la msingi la kujadiliwa zaidi ya mashindano ya kila baada ya miaka mitano, la michuano ya washindani. Naona kuwa hoja ya msingi sio nani anashinda au nani anashindwa... mbona hayo tumeyaona miaka nenda rudi. Mbona tumeona mechi kali na za gharama za kutisha? mbona tumeona watu wanafikia hadi kuangmizana?

Hoja ni aliyeshinda ameshinda nini? na aliyeshindwa ameshindwa nini?

Kushindwa kumeigharimu nini Jamii ya Kitanzania.

Kushinda kunainufaisha nini jamii ya Kitanzania? Kushinda huku hakujatokea tena huko nyuma, kulinufaisha nini jamii ya Watanzania? ... Kuna hoja mpya katika kushinda kunakotegemewa? Kivipi?

Kama kushinda na kushindwa kumefanyika mara kadhaa na hatuoni jambo la msingi la mchezo huu ... Hivi hatuoni jambo la zaidi na hatua za zaidi za kuchukua?

Chukulia mashindano ya Mwaka 2015 yamemalizika kama yale ya 2010 au yale ya 2005 ...Nini jipya katika maendeleo ya Mtanzania? ... AMANI YAKE? UCHUMI WAKE? HESHIMA YAKE? AFYA YAKE? RASILIMALI ZAKE? USALAMA WAKE?
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye red usitake nichakachue thread yako tena kwenye jukwaa la great thinkers. Umenikumbusha mbali sana. That book is a masterpiece.

Kiuhalisia bado tunao akina Mugo, Karanja, Gikonyo, Mumbi, Kihika, Warui (bibi wa mabibi wote) bila kumsahau Mr Thompson. Tunao pia akina Waiyaki watakaozikwa wakiwa hai huku vichwa vyao vikiwa chini na miguu juu.

And, don't underestimate "The River Between" as we also have two neighboring political parties caused by differences in their politics. Bitterness kati ya hivi vyama inasababisha mpaka hatred baina ya Watanzania.

Kuhusiana na kuacha kila kitu mikononi mwa Allah, ndiyo mtindo wetu sie Watanzania. Kama nilivyowahi kuandika huko nyuma, Allah will give strength - prosperity in our secular affairs, success in our enterprises and His blessing upon our fields and cattle.

But if you don't have enterprises, fields and cattle, then there will be no blessing. What for? Allah cannot bless for nothing.
EMT, One of these day we will have to choose one of the Books toka kwa African writers so that we divulge all we want! Na inaweza fanywa in the Memory of the Late Chinua Achebe; we choose one of his books na kukichambua hasa content ya kitabu chaguliwa.

A Grain of Wheat ni moja ya kitabu ambacho napenda saana… Na uzuri ama ubaya ni kuwa nakipenda sababu sikubaliani na dhana intended ya Ngugi… Labda katika jamii nyingine but si hii yetu. Mbegu zetu ni tasa.. Hazizai. Nakubalian of course na maudhui ya kitabu kwa ujumla na utamu wake wa kukisoma na kukipata kana kwamba ni jamii yako yazungumziwa.

Hata hivyo like you said… Hapa tunakuwa off topic thus tunachakachua… Lol.

Noted on Allah's accommodation of ‘Blessings'; Infact BIG Grin.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu AshaDii,unazungumziaje mbinu chafu zilizo anza kutumika kudhibiti CHADEMA hapa Tanzania,na mustakabali wa taifa letu baada ya uchaguzi wa 2015?


Mpenda Yesu Ningejibu hii post wiki chache zilizopita ni tofauti kabisa na sasa. Hasa tokana na developments ya vitu vingi vilivyotokea Chadema vinavyowapunguzia credits pakubwa.

Suala la mbinu chafu zilizotumika/zinazotumika kudhibiti Chadema, niseme tu kuwa siyo ajabu, it is expected na hilo CCM wanafanya kwa wazi kabisa bila kificho. Ni wazi CCM watafanya lolote lile lililo ndani ya uwezo wao kudhibiti wao kuzidi kuwa hapo walipo. Zaidi ya hapo sina la kuongezea.

Azimio Jipya... Will be back pal.
 
EMT, One of these day we will have to choose one of the Books toka kwa African writers so that we divulge all we want! Na inaweza fanywa in the Memory of the Late Chinua Achebe; we choose one of his books na kukichambua hasa content ya kitabu chaguliwa.

If this is done in the context ya ile thread ya Roulette ya book reviews itakuwa poa.

I mean professionally.
 
Sijasoma makala nzima ya AshaDii nataka kulala nitaisomna kesho, ila EMT acha mara moja ku under estimate Watanzania kiasi hicho, mimi na Familia yangu CCM haina kura hata moja, subilini tu lile bomu alilolisema Lowasa liotakavyofanya kazi yake vyema.

Nafanya tuu marudio, kwa matokeo ya chaguzi ndogo za madiwani unadhani bado nina-understimate Watanzania?

Nikisema kuwa Watanzania wengi bado hawapo tayari kwa mabadiliko, haina maana kuwa ninawa-underestimate.

Kwa sababu kama wataka mabadiliko CDM isingeshinda viti vitatu tuu.

Wengine watadai CCM wametumia ubabe, rushwa, nk kushinda hivyo viti, lakini kama kweli hao wananchi walikuwa wanataka mabadililo then, wasingekubali huo ubabe au kurubuniwa kwa rushwa.

Inavyoonekena Tanzania bado ipo nchi ya mfumo wa chama kimoja mpaka pale the majority watakaposema yatosha sasa.

Don't be fooled na umati mkubwa wa watu kwenye mikutano wa hadhara. Hiyo ni njia ya kizamani ya kupima mafanikio ya kisiasa.
 
EMT acha mara moja ku under estimate Watanzania kiasi hicho,

I was not underestimating them, but understanding them.

Wengi humu licha kuwa ni wachambuzi wazuri lakini mnashindwa kufanya calculation ya wapiga kura wa 2015...

Una miaka mingine mitano ya kutawaliwa na CCM. Your calculations didn't go right.

Naamka mapema kesho nitamsoma vizuri AshaDii ndio nitoe comment zangu.

Hivi uliamka kweli? B'se your comments are overdue.
 
Back
Top Bottom