Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

kinachotisha ni kwamba wote hao wamekwenda kwa hiari yao, hawajaorodheshwa wakapewa rushwa ili wahudhurie mkutano wala usafiri
Hakuna mtendaji aliye pewa maagizo kuhakikisha wananchi wanaenda mkutanoni
 
Wapi nimekwambia nahitaji heshima kutoka kwako. Au kutukana na kukebehi ndo misingi yenu. Mwny akili kubwa haandiki ushubwada huwo.
Ungekuwa na akili usingekubali kujiita CHAWA
 
Kama chama ambacho kinalilia kushika dola kinashindwa kuwa na katiba inayo aksi uongozi wa kitaifa kuna chama kweli hapo. Anzeni kwanza na katiba ya chama chenu haiwezekani kiongozi mkuu wa chama anakuwa yule yule kila mwaka kwa nn kusiwepo na ukomo wa madaraka?

Hii inamanisha kuwa hicho chama kikipata dola kinaweza ondoa ukomo wa madaraka kwa Rais. Kama mwenyekiti wake tu hataki kung'oka akipata dola si ndo atajimilikisha nchi.

Mnalilia katiba mpya wakati katiba yenu tu ni mbovu. Chama kimejaa ukabila na uzandiki, kebehi na matusi ndo nyumbani kwao.
Unaona sasa ?? Huu ndio mtaji mkuwa wa chama tawala na wewe ni hazina kuu Ccm hawakubali kupoteza watu kama nyie!!
Mimi naunga mkono mtu au chama chochote kinachodai katiba mpya , kwamba chadema watafanya niini kama wakitwaa nchi hiyo ni juu yao !!ila kitu kimoja cha wazi kabisa ni kuwa hawataweza kuichezea nchi kama katiba itakuwa nzuri.
 
Unaona sasa ?? Huu ndio mtaji mkuwa wa chama tawala na wewe ni hazina kuu Ccm hawakubali kupoteza watu kama nyie!!
Mimi naunga mkono mtu au chama chochote kinachodai katiba mpya , kwamba chadema watafanya niini kama wakitwaa nchi hiyo ni juu yao !!ila kitu kimoja cha wazi kabisa ni kuwa hawataweza kuichezea nchi kama katiba itakuwa nzuri.
Hakuna anayepinga katiba mpya. Ila ninachowaza kwa sauti ni juu ya yule anayenihubiria swala zima la katiba mpya.

Maana nikiiangalia katiba ya nyumbani kwake kwa mbali nakuwa na mashaka juu ya hiki anachokihubiri. Mantiki yangu iko hapo kama umeshindwa kuelewa i rest my case.!!
 
Unaona sasa ?? Huu ndio mtaji mkuwa wa chama tawala na wewe ni hazina kuu Ccm hawakubali kupoteza watu kama nyie!!
Mimi naunga mkono mtu au chama chochote kinachodai katiba mpya , kwamba chadema watafanya niini kama wakitwaa nchi hiyo ni juu yao !!ila kitu kimoja cha wazi kabisa ni kuwa hawataweza kuichezea nchi kama katiba itakuwa nzuri.
Katiba ya ccm wanakwambia tume ya uchaguzi ikisha mtangaza mshindi wa urais hakuna kuhoji popote!

Huu ni ujambazi mkubwa sana kwenye eneo la siasa za Tanzania.
 
Katiba ya ccm wanakwambia tume ya uchaguzi ikisha mtangaza mshindi wa urais hakuna kuhoji popote!

Huu ni ujambazi mkubwa sana kwenye eneo la siasa za Tanzania.
Na katiba ya chadema inadai mtu akishakuwa mwenyekiti wa chama hana ukomo mpk pale atakapochoka yeye kugombea.

Watanzania tuogopeni matapeli nchi yetu isije geuzwa kama Uganda au Rwanda maana viongozi wake wana uchu sana na madaraka.
 
Na katiba ya chadema inadai mtu akishakuwa mwenyekiti wa chama hana ukomo mpk pale atakapochoka yeye kugombea.

Watanzania tuogopeni matapeli nchi yetu isije geuzwa kama Uganda au Rwanda maana viongozi wake wana uchu sana na madaraka.
Mungu alishatuondolea Jiwe
 
Unaona sasa ?? Huu ndio mtaji mkuwa wa chama tawala na wewe ni hazina kuu Ccm hawakubali kupoteza watu kama nyie!!
Mimi naunga mkono mtu au chama chochote kinachodai katiba mpya , kwamba chadema watafanya niini kama wakitwaa nchi hiyo ni juu yao !!ila kitu kimoja cha wazi kabisa ni kuwa hawataweza kuichezea nchi kama katiba itakuwa nzuri.
Na ndicho watu wenye kujitambua wanataka kuona Nchi yao haichezewi chezewi kutokana na mapungufu mengi yaliyopo kwenye Katiba iliyopo ambayo pamoja na mapungufu yote yaliyomo pia imerundika madaraka yote makubwa kwa Rais wa Nchi kitu ambacho hata hayati Mwalimu Nyerere alionyesha wasiwasi wake mkubwa kwa hayo madaraka!

Mwalimu alionya kwa katiba hii akipatikana Kiongozi dikteta itakuwa shughuli pevu katika Nchi !! Watu wanaweza wakalimia meno 🙏🙏🙏
 
Uko sahihi kabisa. Kwa mfano ukisoma ile katiba pendekezwa utagundua bora hii iliyopo. Hata rasimu ya Warioba ina mambo ya hovyo mno kuwa-favor wanasiasa. Wananchi wakiwa tayari katiba itabadilishwa na kutakuwa hakuna wa kuzuia. Sasa hivi CHADEMA wanawaimbisha wafuasi wao kuwa tunataka katiba mpya lakini ukiuliza mfuasi yeyote kuwa unajua nini kuhusu katiba ya sasa anabaki anatoa macho.
Rasimu ya warioba uliisoma ukaielewa broo?
 
Back
Top Bottom