Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Hayo maji ya kunde yanapatikana mto gani??[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Ww ni mweupe au maji ya kundeWewe umeshapata nipo hapa kwa ajili yako dada
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anamaanisha Ujichubue kama Mkongo.
Maji ya kunde, mrefu halafu nina kifua kipana kidogoWw ni mweupe au maji ya kunde
hehhehehheheading yako tu imenkosha
Ndio maana kaweka vigezo vya waganga wa kienyeji26 bado m'bichi kabisa!!!!!!
Unajua majukumu yako??? Au ndo wa kukumbushana.......je una sura endelevu??Maji ya kunde, mrefu halafu nina kifua kipana kidogo
Mi nimejichubua mama V ipi Nadal?Anamaanisha Ujichubue kama Mkongo.
Package imekamilika, kwangu kutimiza majukumu yangu ni faraja kubwa saana nadhani kuhusu sura utajionea mwenyeweUnajua majukumu yako??? Au ndo wa kukumbushana.......je una sura endelevu??
Una huo ratiba ?? Waeza kuwa ila usiwe na ratiba ya kuoaNakonde mi weusi wa kati
Kila siku maji ya kunde nikiwa maji ya muhogo sihitajiki kwako ? Wengi wanataka maji haya nawewe kama unata usini pm bali vpSifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.