LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Yaani nikipewa jumatatu, jumanne, jumatano na alhamisi anakuwa amechoka, na tena inakuwa ni kimoja.
Sasa unajua mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili suala linanifanya nakuwa na hasira kwani ni mpaka apende yeye.
Nafikiria kumwacha ila nawaza watoto watakuja kuwa machokoraa.
Nawaza kuwa na mpango waa kando ila naogopa kuongeza shida nyingine.
Mpaka sasa niko njiapanda ilifikia hatua mpaka ikanibidi niwashirikishe na watu wa pembeni tukiyamaliza ukiisha mwezi mambo yanaanza kuwa magumu tena.
Ni kweli huwa anaumia wakati flani ila tukifanya kila siku anakuwa haumii.
Nilimshauri ale bamia ila amekataa. Je, kuna chakula au dawa au njia za kumfanya asiumie. Nahisi nyama zake ni laini sehemu za uke wake.
Sasa unajua mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili suala linanifanya nakuwa na hasira kwani ni mpaka apende yeye.
Nafikiria kumwacha ila nawaza watoto watakuja kuwa machokoraa.
Nawaza kuwa na mpango waa kando ila naogopa kuongeza shida nyingine.
Mpaka sasa niko njiapanda ilifikia hatua mpaka ikanibidi niwashirikishe na watu wa pembeni tukiyamaliza ukiisha mwezi mambo yanaanza kuwa magumu tena.
Ni kweli huwa anaumia wakati flani ila tukifanya kila siku anakuwa haumii.
Nilimshauri ale bamia ila amekataa. Je, kuna chakula au dawa au njia za kumfanya asiumie. Nahisi nyama zake ni laini sehemu za uke wake.