Kwa mwezi napewa haizidi mara 5 tu. Je, hii ndoa au ndoano?

Kwa mwezi napewa haizidi mara 5 tu. Je, hii ndoa au ndoano?

Yaani nikipewa jumatatu. jumanne, jumatano na alhamisi anakuwa amechoka, na tena inakuwa ni kimoja.

Sasa unajua Mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili swala linanifanya nakuwa na hasira kwani ni mpaka apende yeye

Nafikiria kumwacha ila nawaza watoto watakuja kuwa machokoraa

Nawaza kuwa na mpango was kando ila naogopa kuongeza shida nyingine.

Mpaka sasa Niko njiapanda ilifikia hatua mpaka ikanibidi niwashirikishe na watu was pembeni tukiyamaliza ukiisha mwezi mambo yanaanza kuwa magumu tena

Ni kweli huwa anaumia wakati flani ila tukifanya kila siku anakuwa haumii,

Nilimshauri ale bamia ila amekataa je kuna chakula au dawa au njia za kumfanya asiumie. Nahisi nyama zake ni laini sehemu za uke wake.
Hajakojoa huyo
 
No man hao watu kwao saa 12 jioni kwao ni asubuhi, kazi ya masaa 8 tu. Kwahiyo lazima niwe active sana. Lakini leo kuna tatizo la mtandao hatusomani kwenye mfumo
Doh hiyo ngumu mzeee, najaribu kuwaza ni Nchi gani ambayo tuna upishano huo wa masaaa
 
Doh hiyo ngumu mzeee, najaribu kuwaza ni Nchi gani ambayo tuna upishano huo wa masaaa
IMG-20240807-WA0072.jpg

Saa 9 alasiri sasa hivi kwao huku saa 5 usiku
 
Yaani nikipewa jumatatu, jumanne, jumatano na alhamisi anakuwa amechoka, na tena inakuwa ni kimoja.

Sasa unajua mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili suala linanifanya nakuwa na hasira kwani ni mpaka apende yeye.

Nafikiria kumwacha ila nawaza watoto watakuja kuwa machokoraa.

Nawaza kuwa na mpango waa kando ila naogopa kuongeza shida nyingine.

Mpaka sasa niko njiapanda ilifikia hatua mpaka ikanibidi niwashirikishe na watu wa pembeni tukiyamaliza ukiisha mwezi mambo yanaanza kuwa magumu tena.

Ni kweli huwa anaumia wakati flani ila tukifanya kila siku anakuwa haumii.

Nilimshauri ale bamia ila amekataa. Je, kuna chakula au dawa au njia za kumfanya asiumie. Nahisi nyama zake ni laini sehemu za uke wake.
Nujua sabuni weka bafuni haikupangii ratiba wala haikuombi hela
 
Yaani nikipewa jumatatu, jumanne, jumatano na alhamisi anakuwa amechoka, na tena inakuwa ni kimoja.

Sasa unajua mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili suala linanifanya nakuwa na hasira kwani ni mpaka apende yeye.

Nafikiria kumwacha ila nawaza watoto watakuja kuwa machokoraa.

Nawaza kuwa na mpango waa kando ila naogopa kuongeza shida nyingine.

Mpaka sasa niko njiapanda ilifikia hatua mpaka ikanibidi niwashirikishe na watu wa pembeni tukiyamaliza ukiisha mwezi mambo yanaanza kuwa magumu tena.

Ni kweli huwa anaumia wakati flani ila tukifanya kila siku anakuwa haumii.

Nilimshauri ale bamia ila amekataa. Je, kuna chakula au dawa au njia za kumfanya asiumie. Nahisi nyama zake ni laini sehemu za uke wake.
Evelyn Salt njo umuulize huyu alipo kisha umpe suluhisho
 
Jiangalie wewe mwenyewe kwanza kuanzia usafi wa mwili na mazingira ya faragha. Wanaume tuna harufu ila Kuna wengine wamezidi mswaki deshi plus harufu ya sigara na kisungura hatariii.
Usiombe penzi kama unaomba ugali maharage mwangalie mwenzako Yuko vizuri au anawaza madeni ya vikoba.
Jitahidi mkeo awe rafiki yako namba moja, utafaidi mema ya Dunia hii.
 
Back
Top Bottom