Kwa mwezi napewa haizidi mara 5 tu. Je, hii ndoa au ndoano?

Kwa mwezi napewa haizidi mara 5 tu. Je, hii ndoa au ndoano?

Nyetoka
Yaani nikipewa jumatatu. jumanne, jumatano na alhamisi anakuwa amechoka, na tena inakuwa ni kimoja.

Sasa unajua Mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili swala linanifanya nakuwa na hasira kwani ni mpaka apende yeye

Nafikiria kumwacha ila nawaza watoto watakuja kuwa machokoraa

Nawaza kuwa na mpango was kando ila naogopa kuongeza shida nyingine.

Mpaka sasa Niko njiapanda ilifikia hatua mpaka ikanibidi niwashirikishe na watu was pembeni tukiyamaliza ukiisha mwezi mambo yanaanza kuwa magumu tena

Ni kweli huwa anaumia wakati flani ila tukifanya kila siku anakuwa haumii,

Nilimshauri ale bamia ila amekataa je kuna chakula au dawa au njia za kumfanya asiumie. Nahisi nyama zake ni laini sehemu za uke wake.
 
Oya kwn maku kitu gn we mzee hebu focus na kusaka noti ukiwa na kibunda zinakuja maku sita sita ss apo utachagua mwenyewe uipige kila ck dingilai
 
Mlete nimuunganishe na mtu ampatie dawa atafurah na roho yake. Utelezi kama wote na atainjoi sanaaa. Seriously
Au yule Kungwi wa Mbagala Mission pale Bandika bandua sijui ?? 🤣🤣🤣
 
Focus na mambo mengine ya maendeleo ili upunguze kuwaza tendo na epuka miziki,muvi za mapenzi..sikiliza nyimbo za Mungu sana na mahubiri... utaona mabadiliko ww mwenyewe...usimlazimishe kufanya tendo ...utaona yy mwenyewe ataanza kukuomba ww...
 
Michepuko yote imezagaa hapo ukae unabembeleza tena.
 
Mbona fresh tu mara 3 kwa wiki inatosha fanya semen retention ili usiwe dhaifu kimwili na kifikra ukiendekeza sana hata uwezo wa kufikiri unapungua si unaona hata uzi uliouanzisha?
 
SUMA JKT hawana utani sheikh wanakukalisha mda wote huo?
No man hao watu kwao saa 12 jioni kwao ni asubuhi, kazi ya masaa 8 tu. Kwahiyo lazima niwe active sana. Lakini leo kuna tatizo la mtandao hatusomani kwenye mfumo
 
Yaani nikipewa jumatatu. jumanne, jumatano na alhamisi anakuwa amechoka, na tena inakuwa ni kimoja.

Sasa unajua Mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili swala linanifanya nakuwa na hasira kwani ni mpaka apende yeye

Nafikiria kumwacha ila nawaza watoto watakuja kuwa machokoraa

Nawaza kuwa na mpango was kando ila naogopa kuongeza shida nyingine.

Mpaka sasa Niko njiapanda ilifikia hatua mpaka ikanibidi niwashirikishe na watu was pembeni tukiyamaliza ukiisha mwezi mambo yanaanza kuwa magumu tena

Ni kweli huwa anaumia wakati flani ila tukifanya kila siku anakuwa haumii,

Nilimshauri ale bamia ila amekataa je kuna chakula au dawa au njia za kumfanya asiumie. Nahisi nyama zake ni laini sehemu za uke wake.
Mlikutana
Bar
Lodge
Polisi
Guesthouse
Fb
X
Whatsup
Instagram
;,???ubaya
 
Mbona fresh tu mara 3 kwa wiki inatosha fanya semen retention ili usiwe dhaifu kimwili na kifikra ukiendekeza sana hata uwezo wa kufikiri unapungua si unaona hata uzi uliouanzisha?
Mara 3 labda awe dadangu kha
 
Back
Top Bottom