green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Nyetoka
Yaani nikipewa jumatatu. jumanne, jumatano na alhamisi anakuwa amechoka, na tena inakuwa ni kimoja.
Sasa unajua Mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili swala linanifanya nakuwa na hasira kwani ni mpaka apende yeye
Nafikiria kumwacha ila nawaza watoto watakuja kuwa machokoraa
Nawaza kuwa na mpango was kando ila naogopa kuongeza shida nyingine.
Mpaka sasa Niko njiapanda ilifikia hatua mpaka ikanibidi niwashirikishe na watu was pembeni tukiyamaliza ukiisha mwezi mambo yanaanza kuwa magumu tena
Ni kweli huwa anaumia wakati flani ila tukifanya kila siku anakuwa haumii,
Nilimshauri ale bamia ila amekataa je kuna chakula au dawa au njia za kumfanya asiumie. Nahisi nyama zake ni laini sehemu za uke wake.