Kwa namna Gerson Msigwa alivyofanya propaganda issue ya mabehewa ya TRC naamini soon ataondolewa kwenye nafasi yake; alikosea Sana kushabikia makosa

Kwa namna Gerson Msigwa alivyofanya propaganda issue ya mabehewa ya TRC naamini soon ataondolewa kwenye nafasi yake; alikosea Sana kushabikia makosa

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nadhani wasemaji wa serikali katika sekta mbalimbali waanze kuwa wachunguzi kabla ya kutoka kusema. Issue ya mabehewa Gerson alikuwa na uwezo wakuwaachia TRC wapambane nayo kupitia Afisa habari wao lakini yeye alibeba Bango nakuwa mstari wa mbele.

Leo hii Yale yaliyosemwa na jamii ndiyo yanayozungumzwa na wasomi pamoja na taasisi za uchunguzi nchini. Kuvunjwa Kwa Bodi maana yake Ile stupid imewagusa wengi hasa wale walioshindwa kuisemea Kwa Haki serikali.

Naamini pamoja na kwamba Gerson anaweza akawa ANATEKELEZA MAJUKUMU YAKE kimkakati ila ametupotosha Sana ; anakosa uwezo wakuchunguza nakusoma alama za nyakati kuhusu nini aseme na lini.

Nchi nyingine msemaji WA serikali ujitokeza adharani pale Tu panapolazimu na baada ya wasemaji WA sekta kugonga mwamba......Natabiri Gerson soon atapangiwa majukumu mengine kumsaidia kutolazimika Kula matapishi yake.
 
Msigwa alisemaje kwani? Mabehewa ni first class hata marekani huwa Donadi Trampu anatumia au?
 
Nadhani wasemaji wa serikali katika sekta mbalimbali waanze kuwa wachunguzi kabla ya kutoka kusema. Issue ya mabehewa Gerson alikuwa na uwezo wakuwaachia TRC wapambane nayo kupitia Afisa habari wao lakini yeye alibeba Bango nakuwa mstari wa mbele.

Leo hii Yale yaliyosemwa na jamii ndiyo yanayozungumzwa na wasomi pamoja na taasisi za uchunguzi nchini. Kuvunjwa Kwa Bodi maana yake Ile stupid imewagusa wengi hasa wale walioshindwa kuisemea Kwa Haki serikali.

Naamini pamoja na kwamba Gerson anaweza akawa ANATEKELEZA MAJUKUMU YAKE kimkakati ila ametupotosha Sana ; anakosa uwezo wakuchunguza nakusoma alama za nyakati kuhusu nini aseme na lini.

Nchi nyingine msemaji WA serikali ujitokeza adharani pale Tu panapolazimu na baada ya wasemaji WA sekta kugonga mwamba......Natabiri Gerson soon atapangiwa majukumu mengine kumsaidia kutolazimika Kula matapishi yake.
 
Wasemaji wa serikali wametoka seminar juzi tu hapa, watakujia juu balaa.

Wasemaji wa serikali wanakutana kwa seminar mara nyingi kwa mwaka kuliko madaktari au mainjinia, au kada yoyote. Ni kama vile wako katika dharura.

Cha ajabu mtandaoni hawaonekani kuusemea serikali wakati wanajua nusu ya nchi iko online.

Katibu wao Njaidi ananenepa tu kwa maposho.
 
Wasemaji wa serikali wametoka seminar juzi tu hapa, watakujia juu balaa.

Wasemaji wa serikali wanakutana kwa seminar mara nyingi kwa mwaka kuliko madaktari au mainjinia, au kada yoyote. Ni kama vile wako katika dharura.

Cha ajabu mtandaoni hawaonekani kuusemea serikali wakati wanajua nusu ya nchi iko online.

Katibu wao Njaidi ananenepa tu kwa maposho.
Wewe si unatosha kumtukana JPM kila siku hapa JF! Aidha kila uozo kwako ni JPM ameufanya au ameusababisha hata akiwa kaburini! Unapata kiasi gani?
 
Wewe si unatosha kumtukana JPM kila siku hapa JF! Aidha kila uozo kwako ni JPM ameufanya au ameusababisha hata akiwa kaburini! Unapata kiasi gani?
Zile hisa za JPM pale Songoro Marine mnazifuatilia?
 
Nadhani wasemaji wa serikali katika sekta mbalimbali waanze kuwa wachunguzi kabla ya kutoka kusema. Issue ya mabehewa Gerson alikuwa na uwezo wakuwaachia TRC wapambane nayo kupitia Afisa habari wao lakini yeye alibeba Bango nakuwa mstari wa mbele.

Leo hii Yale yaliyosemwa na jamii ndiyo yanayozungumzwa na wasomi pamoja na taasisi za uchunguzi nchini. Kuvunjwa Kwa Bodi maana yake Ile stupid imewagusa wengi hasa wale walioshindwa kuisemea Kwa Haki serikali.

Naamini pamoja na kwamba Gerson anaweza akawa ANATEKELEZA MAJUKUMU YAKE kimkakati ila ametupotosha Sana ; anakosa uwezo wakuchunguza nakusoma alama za nyakati kuhusu nini aseme na lini.

Nchi nyingine msemaji WA serikali ujitokeza adharani pale Tu panapolazimu na baada ya wasemaji WA sekta kugonga mwamba......Natabiri Gerson soon atapangiwa majukumu mengine kumsaidia kutolazimika Kula matapishi yake.
msigwa gerson alibebwa tu from huko songea na mwendaake lakini uweo wake mdogo sana
 
Nadhani wasemaji wa serikali katika sekta mbalimbali waanze kuwa wachunguzi kabla ya kutoka kusema. Issue ya mabehewa Gerson alikuwa na uwezo wakuwaachia TRC wapambane nayo kupitia Afisa habari wao lakini yeye alibeba Bango nakuwa mstari wa mbele.

Leo hii Yale yaliyosemwa na jamii ndiyo yanayozungumzwa na wasomi pamoja na taasisi za uchunguzi nchini. Kuvunjwa Kwa Bodi maana yake Ile stupid imewagusa wengi hasa wale walioshindwa kuisemea Kwa Haki serikali.

Naamini pamoja na kwamba Gerson anaweza akawa ANATEKELEZA MAJUKUMU YAKE kimkakati ila ametupotosha Sana ; anakosa uwezo wakuchunguza nakusoma alama za nyakati kuhusu nini aseme na lini.

Nchi nyingine msemaji WA serikali ujitokeza adharani pale Tu panapolazimu na baada ya wasemaji WA sekta kugonga mwamba......Natabiri Gerson soon atapangiwa majukumu mengine kumsaidia kutolazimika Kula matapishi yake.
Hakujua kama itakuja bumburuka 'backfire'
 
Sioni kosa lake mpaka aondolewe labda wamfanye Scapegoat kuzima mambo tu. Jamaa hawezi kufanya kazi kinyume na maagizo, alitumwa kutenda vile hakikurupuka
 
Back
Top Bottom