dogo unachemka hapa! Umeanzisha hoja na Kisha unataka kuchagua wa kuichangia? Huna mamlaka hayo na Kama vipi anzisha jukwaa lako!Kwa nini usikae kimya? Kwani lazima uchangie hata suala ambalo hulielewi?
Ndio maana naambie tulieni kwanza acheni kupotosha mpaka ukweli ujulikane kama kuna ufisadi au vipi, sio kuzua uongo kabla dukuduku halijajibiwa.dogo unachemka hapa! Umeanzisha hoja na Kisha unataka kuchagua wa kuichangia? Huna mamlaka hayo na Kama vipi anzisha jukwaa lako!
Wewe unaelewa Nini juu ya ukaguzi? Umeng'ang'ana na query tu bila kujua hizi ndio msingi wa kuujua ukweli! Unadhani hizo kamati za bunge zitavamia wizara zilizotuhumiwa bila kuwa na pa kuanzia?
Ulishawahi kufanya research yoyote? Kama bado tulia uelekezwe!
Hivi kwa mfano kutumia fedha bila kupitishwa Na bunge tusubiri nn? Huu Ni uhalifu.Ndio maana naambie tulieni kwanza acheni kupotosha mpaka ukweli ujulikane kama kuna ufisadi au vipi, sio kuzua uongo kabla dukuduku halijajibiwa.
Kama mada iko hujaielewa bora ukae kimya hicho ndio maanisha sijabagua mtu.dogo unachemka hapa! Umeanzisha hoja na Kisha unataka kuchagua wa kuichangia? Huna mamlaka hayo na Kama vipi anzisha jukwaa lako!
Wewe unaelewa Nini juu ya ukaguzi? Umeng'ang'ana na query tu bila kujua hizi ndio msingi wa kuujua ukweli! Unadhani hizo kamati za bunge zitavamia wizara zilizotuhumiwa bila kuwa na pa kuanzia?
Ulishawahi kufanya research yoyote? Kama bado tulia uelekezwe!
Kasome kifungu cha 41 cha sheria ya bajeti utapata majibu nama pesa zinaweza kuhamishwa kwa matumizi mengine.Hivi kwa mfano kutumia fedha bila kupitishwa Na bunge tusubiri nn? Huu Ni uhalifu.
Umeandika sahihi kabisa, ili mtu atambue hili sharti awe na Afya njema ya Akili.Iondolee CCM nguvu ya dola usikie kama watasema siasa ni sayansi. Unapaswa kuwapongeza wapinzani walipofikia katika mazingira tuliyonayo ya kisiasa. Kiukweli ni kwamba tuna superficial mult party system. Na kwa uungwaji mkono wanaoupata wapinzani ni dhairi chama tawala kimechokwa! Simple logic ni kwamba hata huyu Rais aliyeko madarakani aliiingia kwa kampeni za kiupinzani.
Unachekesha SanaNdugu, chama dola ni chama dola tu. Ccm wanatumia dola vizuri, Polisi wanalinda raia na mali zao.Ndio maana unaona usalama umeimarika sana. Takukuru wanadhibiti rushwa na ubadhirifu,leo tu wameokokoa zaidi ya bil 80 . Magereza nao wanatimiza wajibu wao, ndio maana watu wakiingia restricted area wanakula virungu mpaka wanakiona cha moto. Hao wengine Majibu unayo maana nafikiri unajua kinachoendelea.
Hizi sio tuhuma za ufisadi. Ni au Audit queries kama ile tril 1.5 mliosema imepigwa kumbe uongo. Ndio maana nawaambia tulieni taratibu zifuatwe ili tujue ukweli.
Hujui unataka Nini! Na huelewi Kama huelewi! Hoja yako ni ipi? Kama ni cdm au ni query za cag au ni ufisadi au blah blah? Tatizo umesimama kama nyani yaani umesimamia mikono na miguu kwa maana ya kuisakama cdm na ufisadi na huku ukiwaonya wapinzani na cag kwa pamoja! Hueleweki unataka kusema Nini!Kama mada iko hujaielewa bora ukae kimya hicho ndio maanisha sijabagua mtu.
Nendeni mkaichukue hiyo tume..iko pale ofisini kwao..wakati wowote na saa yoyote..chagu wa malunde,
Sayansi gani? kuiba kura ni science? fanyeni haraka muda unakwenda tunataka tume huru
Mezani tunajadili ripoti ya CAG Assad au Kichere? Hii ni dalili CCM imewakaba sana mpaka mnaropoka mauongo tu. Kuweni kama NCCR Mageuzi hawana papara.Hahaaha umesahau mabilioni ya pesa yaliyofisadiwa na chama chako kulingana na ripoti ya CAG Assard..mmeshasahau majinga Sana...mnakurupuka Kama vibwengo
Ufisadi huo mnaoueneza ni wa kweli Mr GT?Du!!! Watanzania kumbe bado tunasafari ndefu Sana
Sitaki kuamini kuwa mpaka leo kuna watu wanaojua kusoma na kuandika na wamo humi JF wamechanganyika na ma'GT wengine lakini mpaka sasa hawajui Nini maana ya SIASA, hawajui kwa nini kuna vyama vya upinzani na malengo yake
Kaaaazi kwelikweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hoja mkuu usiende nje ya mada.Kumbe kuna watu wa Shahada ya Siasa!
Siasa ni Sayansi..Politics is Science duuh
Bora nisomee Political Science mimi ila siyo Politics is Science
Ukisomea hiyo utawasaidia sana jamaa zako. Maana wanaibua hata ufisadi usiokuwepo ili mradi tu kupata umaarufu. Na baada kumaliza kuisomea ndio utakuja kujua politics is science. Baadae sana. Maana utakuwa na uwezo wa kutofautisha Natural science na Social science. Any way mojawapo ya sababu ya kufeli ni pamoja na ...Kumbe kuna watu wa Shahada ya Siasa!
Siasa ni Sayansi..Politics is Science duuh
Bora nisomee Political Science mimi ila siyo Politics is Science
Sasa wewe haupo kwa ajiri ya kujibu hoja. Umefilisika kwa hoja bora utulie lakinini sio kuleta mikwara mbuzi.