Kwa namna hii upinzani Tanzania bado sana. Wanatakiwa wajifunze siasa sio propaganda uchwara. Siasa ni sayansi

Kwa namna hii upinzani Tanzania bado sana. Wanatakiwa wajifunze siasa sio propaganda uchwara. Siasa ni sayansi

Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.


Ni kweli siasa ni sayansi na husomewa kama ile aliyotumia Bashite ya kujibadilisha jina na kujiita Makonda kwenye vyeti vyake feki
 
Na CCM sayansi mnayojua ni mabavu ya dola wauaji wakubwa nyie,wekeni uwanja sawa muone tutakavyowanyoosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yangu mimi nipo neutral nazungumzia uhalisia wa mambo tu. Kunihusisha na CCM unakosea sana. Wakati wa uchaguzi NEC hufanya kazi kwa mujibu wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi. Ndio maana vyama vyote mnaweka mawakala ngazi zote kuanzia kituoni, mpaka jimboni na hata Taifa kwa ngazi ya uraisi. Matokeo huwa hayatoki mpaka mawakala na wagombea waridhike na kusaini. Na matokeo huwa yanabandikwa kila hatua kuanzia kituo hadi hatua za mwisho. Sasa hawa jamaa wa CCM kuwashinda kabla hata ya mtanange msianze kusingizia tume haiko huru.
 
Chanzo cha tatizo kinapoonekana siyo tatizo. Sijui shuleni mlisomea ujinga? Ukishajua viterminology vya kihasibu unajiona makaguzi wa hesabu, ukijua viwili vitatu vya kisheria unajiona Nguli wa sheria!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Au ulitaka hawa jamaa wapotoshe umma kwamba kuna ufisadi kabla hata queries hazijafikiwa conclusion?
 
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.
Querres Za miaka 3 mfululizo hazijajibiwa pia kila mwaka makosa yamejirudia ya upigaji na upotevu wa Kodi zetu tena kwa watu wa karibu na hatua hazichukuliwi huku wapigaji wajifichia kwenye kusifu na kuabudu kama kinga ya utumbuzi,je tuamini ule ukali ni wa kwenye camera tu wa kuwatisha wengine huku nyuma ya paxia wa karibu wakijisaazia tu.
 
Jamaa yangu mimi nipo neutral nazungumzia uhalisia wa mambo tu. Kunihusisha na CCM unakosea sana. Wakati wa uchaguzi NEC hufanya kazi kwa mujibu wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi. Ndio maana vyama vyote mnaweka mawakala ngazi zote kuanzia kituoni, mpaka jimboni na hata Taifa kwa ngazi ya uraisi. Matokeo huwa hayatoki mpaka mawakala na wagombea waridhike na kusaini. Na matokeo huwa yanabandikwa kila hatua kuanzia kituo hadi hatua za mwisho. Sasa hawa jamaa wa CCM kuwashinda kabla hata ya mtanange msianze kusingizia tume haiko huru.
Unazungumza kama wwe ni mgeni uko nje ya nchi
 
Ndugu, chama dola ni chama dola tu. Ccm wanatumia dola vizuri, Polisi wanalinda raia na mali zao.Ndio maana unaona usalama umeimarika sana. Takukuru wanadhibiti rushwa na ubadhirifu,leo tu wameokokoa zaidi ya bil 80 . Magereza nao wanatimiza wajibu wao, ndio maana watu wakiingia restricted area wanakula virungu mpaka wanakiona cha moto. Hao wengine Majibu unayo maana nafikiri unajua kinachoendelea.
Magereza kuwapiga wabunge wanawake viumbe Dhaifu kwako umeona ni sifa? Kama Serikali hii inatengeneza pesa Mbona imeshindwa kupandisha kima cha watumishi wa umma? Takukuru Mbona hawaendi kukagua ununuzi wa Ndege? Takukuru Mbona hawakagui hesabu za ujenzi wa flyover, Reli, bwawa la umeme, ujenzi kiwanja cha Ndege chato?
 
Hizi sio tuhuma za ufisadi. Ni au Audit queries kama ile tril 1.5 mliosema imepigwa kumbe uongo. Ndio maana nawaambia tulieni taratibu zifuatwe ili tujue ukweli.
Ukweli upi? CCM ukoo wa panya mnalindana ukweli upo wapi? Mkweli alikuwa profesa Assad pekee na mkamfanyia hila atoke kisa alitaka kukagua hesabu za miradi yote mikubwa ikiwemo ofisi ya spika ndungai
 
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.
hata wewe upo ki siasa zaidi,huna hoja zaidi ya mashambulizi yakipuuzi kwa wapinzani wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi habari za kuibua ufisadi wa uongo unatia kichefu kichefu sana.
Kichefuchefu kipi hicho? Uongo upi huo? Acha kulazimisha kichefuchefu ambacho hakipo, ujue watanzania siyo wajinga kama nyinyi watetezi wa CCM mitandaoni
 
Unauliza jibu. Huoni yanayofanyika hapa nchini? Au mpaka SGR ianze kufanya kazi ndio utambue.
Pesa za walipa kodi wajibu wake ni huo siyo Hisani hiyo kwani pesa ya ujenzi anaitoa mfukoni mwake binafsi?
 
Sasa wewe haupo kwa ajiri ya kujibu hoja. Umefilisika kwa hoja bora utulie lakinini sio kuleta mikwara mbuzi.
Wewe mwenyewe huna hoja umeamua kujiandikia ujinga ukazani humu kuna watu watakuona umejenga hoja, Tambua kuwa watanzania siyo wajinga
 
Watetezi wa CCM mitandaoni wanaidhalilisha CCM kwa kuleta Hoja za kishamba shamba kisha wanashindwa kusimamia hoja zao matokeo yake wanazidi kuandika ujinga na kuuliza maswali ya kijinga jinga na kutoa mifano ya kijuha tupu
 
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.
Kama kuna ufisadi wameuona na wameukemea ni jambo jema.


Ila we jamaa ni kama vile umepanic,, bila shaka itakuwa kuna mahala figures zinakuhusu...

Basi nikutakie pasaka njema.[emoji120][emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.
Kwani wanajielewa basi?
Wao wanafikiri kupiga propaganda JF kwa story za kuchonga na mfululizo wa comments za kukosoa ndiyo vyama vyao vita panda chati.
Yaani wamejaza mamluki 24/7 kazi Yao ni kutukana serikali na kutukuza viongozi wa upinzani(wafalme).
Sijui lini watapata akili
 
Kwani wanajielewa basi?
Wao wanafikiri kupiga propaganda JF kwa story za kuchonga na mfululizo wa comments za kukosoa ndiyo vyama vyao vita panda chati.
Yaani wamejaza mamluki 24/7 kazi Yao ni kutukana serikali na kutukuza viongozi wa upinzani(wafalme).
Sijui lini watapata akili
Awalipwi wanasukumwa na hisia
 
Back
Top Bottom