Kwa namna wanavyowaona wananchi wajinga ni kiongozi gani wa CCM atashinda uchaguzi 2025? Wakurungenzi watadhibitiwa kupora uchaguzi

Kwa namna wanavyowaona wananchi wajinga ni kiongozi gani wa CCM atashinda uchaguzi 2025? Wakurungenzi watadhibitiwa kupora uchaguzi

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Rais Samia ndio hana nafasi kabisa ya kushinda uchaguzi. Maana kwa muda mfupi tu amedhibitisha ni wa rangi gani. Na baada ya miaka miwili atawauza Watanzania kabiasa na rasilimali zao.

Wabunge wa CCM wenyewe ndio hawatarudi karibu 80% maana aliyewabeba kuwaweka mjengoni alishatangulia mbele za haki na wakurugenzi wa kutangaza matokeo ya uongo watadhibitiwa.

Leo hii wapo kimya tu huku wakidharau wananchi bila kuwatetea
 
Nashangaa kuna watu wamepiga makofi
 
Anaupiga mwingi, kama haumwelewi wewe ni kichaa, kazikwe pembeni yake na yule unayempenda
 
Back
Top Bottom