Wapo Wanaume wenzetu wamefulia kabisa na wala hawana hata mpango wa kuhama kabisa
Mkuu hii nakupinga kabisaaa huwezi fulia Kwa miaka 15!! Imagine!!
Kama una afya njema kabisa aisee haiwezekan Hadi unafikisha Watoto 5!! Haiingii akilini huyo jamaa ziko fyatu kapata stahiki yake.
mimi? wakati bado nakula ugali wa shikamooHata kwako wewe mshangazi? Jani kiweni na huru hata ya rejereja basi
Hata unapitia magumu kwani wewe huna kwenu.....Haha watu wanapitia mapito makubwa Sana
Hata kama ndugu lakini kwa mwanaume haijakaa poa kabisaUkiona mwanaume kafikia hatua hiyo ujue kipato chake kimeyumba
Na ukiona mwanamke umekubali kuolewa mke wa pili au 3 basi ujue anadhiki somewhere
So kupanga ni kuchagua
Mzee mwenzangu kuna vijana Wana ujasiri wa ajabu sanaHata kuingia tu kunywa juice ndani kwake, achilia mbali kuishi nae kwake.
Yeye mwanaume anakubali vipi kukaa ukweni miaka 15? Si uchuro huo.Kuna ndugu yangu mmoja( jirani yangu) juzi kafanyiwa kitendo cha dharau sana na mkewe wa ndoa lakini ukiangalia kwa undani unakuta chanzo ni kukaa tu kwa mwanamke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu umeendaa mbalii sanaa.Hata kwenda kumzagamua kwake wasijaribu wataliwa wao ohhhh!! [emoji81]
Inashangaza lakini pia nadhani mwanaume timamu wa akili hawezi kufanya hivyo......naona wanaofanya hivyo kama wana shida kwenye matumizi Yao ya akiliHivi unawezaje kukaa Kwa mwanamke aisee
Mwanzo unaweza ukaona udhia lakini Ile comfortability inaweza kukufanya unajisahau kuja kuhamaki imeisha miaka ishirini hivi hiviYeye mwanaume anakubali vipi kukaa ukweni miaka 15? Si uchuro huo.
Mario wanaochezea Shangazi FC hawawezi kukuelewa.Habari za muda huu,
Bila shaka hili sio jambo geni hata humu jamvini na linaweza kuonekana kama jambo la kawaida kulingana na wakati husika.
Ni jambo la kawaida kwa macho ya kawaida lakini kwenye masuala ya kuukamilisha uanamume mbele ya mwanamke makazi ni jambo la msingi sana mwanaume kuwa na makazi yake mwenyewe kunaweka tafsiri ya mambo mengi sana chanya dhidi yake bila kujali ubora au Hali ya makazi hayo.
Mwanaume unapokubali kwenda kuishi kwa mwanamke au ukweni kwa mkeo unakuwa umejondoa nusu ya uanamume wako sio tu kwa mkeo bali hata kwa wanao.
Tunatambua kuwa maisha wakati mwingine yanaleta changamoto za hapa na pale lakini ni jitahidi hilo jambo la makazi kulipambania mpaka dakika ya mwisho.
NB; Nimeshuhudia kijana hapa akidhalilishwa kwenye mji wa mkewe waliyezaa nae watoto watano na miaka zaidi ya 15 kwenye ndoa kwa kweli nimejisikia vibaya kama mwanaume.
Yeye ni special kesi.....lile ni takwa la kiitifaki nadhani......lakini kama na yeye amekuwa hivyo miaka yote......basi akili ina shida mahaliKwaiyo Baba abduli atoke pale magogoni mkuu au ulikua unamaanisha Nini.....
Ndio najaribu kuwaamsha pengine wanaweza kurejewa na fahamu zao...... maana vijana hawaoni kama ni jambo baya......Mario wanaochezea Shangazi FC hawawezi kukuelewa.
Ngoja ni mtag mkewe huwezi kumwambia Baba Abdul akili yake ina shida mahali@sa100Yeye ni special kesi.....lile ni takwa la kiitifaki nadhani......lakini kama na yeye amekuwa hivyo miaka yote......basi akili ina shida mahali
Moyo na kujitoa akili.....maana ukirudi kwenye akili unaona kabisa kuwa hii sio poaInaitaji moyo.
Kabsa Kwanza kama mwanaume unapoteza mamlaka ndaniMoyo na kujitoa akili.....maana ukirudi kwenye akili unaona kabisa kuwa hii sio poa
Hata kama ndugu lakini kwa mwanaume haijakaa poa kabisa