Kwa namna yoyote ile mwanaume usikubali kuishi kwenye nyumba au chumba kinachomilikiwa na mwanamke

Kwa namna yoyote ile mwanaume usikubali kuishi kwenye nyumba au chumba kinachomilikiwa na mwanamke

Wapo Wanaume wenzetu wamefulia kabisa na wala hawana hata mpango wa kuhama kabisa

Ukiona mwanaume kafikia hatua hiyo ujue kipato chake kimeyumba

Na ukiona mwanamke umekubali kuolewa mke wa pili au 3 basi ujue anadhiki somewhere

So kupanga ni kuchagua
 
Ukiona mwanaume kafikia hatua hiyo ujue kipato chake kimeyumba

Na ukiona mwanamke umekubali kuolewa mke wa pili au 3 basi ujue anadhiki somewhere

So kupanga ni kuchagua
Hata kama ndugu lakini kwa mwanaume haijakaa poa kabisa
 
Hivi unawezaje kukaa Kwa mwanamke aisee
Inashangaza lakini pia nadhani mwanaume timamu wa akili hawezi kufanya hivyo......naona wanaofanya hivyo kama wana shida kwenye matumizi Yao ya akili
 
Yeye mwanaume anakubali vipi kukaa ukweni miaka 15? Si uchuro huo.
Mwanzo unaweza ukaona udhia lakini Ile comfortability inaweza kukufanya unajisahau kuja kuhamaki imeisha miaka ishirini hivi hivi
 
Habari za muda huu,

Bila shaka hili sio jambo geni hata humu jamvini na linaweza kuonekana kama jambo la kawaida kulingana na wakati husika.

Ni jambo la kawaida kwa macho ya kawaida lakini kwenye masuala ya kuukamilisha uanamume mbele ya mwanamke makazi ni jambo la msingi sana mwanaume kuwa na makazi yake mwenyewe kunaweka tafsiri ya mambo mengi sana chanya dhidi yake bila kujali ubora au Hali ya makazi hayo.

Mwanaume unapokubali kwenda kuishi kwa mwanamke au ukweni kwa mkeo unakuwa umejondoa nusu ya uanamume wako sio tu kwa mkeo bali hata kwa wanao.

Tunatambua kuwa maisha wakati mwingine yanaleta changamoto za hapa na pale lakini ni jitahidi hilo jambo la makazi kulipambania mpaka dakika ya mwisho.

NB; Nimeshuhudia kijana hapa akidhalilishwa kwenye mji wa mkewe waliyezaa nae watoto watano na miaka zaidi ya 15 kwenye ndoa kwa kweli nimejisikia vibaya kama mwanaume.
Mario wanaochezea Shangazi FC hawawezi kukuelewa.
 
Back
Top Bottom