jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Mama kwa makamba hata weza labda makamba akubali yeye kuondokaMama nimsikivu atachukua maamuzi sahihi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kwa makamba hata weza labda makamba akubali yeye kuondokaMama nimsikivu atachukua maamuzi sahihi!
Nikweli mkuu hana hoja yoyote zaid ya Makamba Makamba. Labda ni x wake Mana ckwachuki hizo.Peleka watoto wako shule, Acha wivu umejiunga JF jana ili uje umshambulie Makamba kweli
Mama Samia apitie Ethiopia aone wenzetu walivyo serious na bwawa laoSio kidogo
Ushahidi ni upi?
Vijana wa Lameck Mwigulu Nchemba tulieni haya mahesabu muda bado. Tutaenyeshana mpaka 2025 na bado mtashindwa.Samia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Miradi imekaa mezani miaka halafu yeye anaisign Ndani ya mwezi wa kuanza .huyu jamaa mtoto wa awamu fulani ana lakeWakati makamba anaingia tulisema zile thread muweke ukumbusho..mikataba yakipigaji imeshaanza kinachofuata Ni mikataba mingine inakuja...then mikataba hii itaambana na nyongeza ya gharama plus kesi za kulipa mabilioni..Ni suala la muda tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app