Zainab j
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,817
- 2,362
.who knows!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.who knows!!!
We Ni kichaa unaeitaji kupigwa pingu ukaifadhiwe milembe,Pumbavu sana wewe pimbi! Nani ametumwa hapa! Huyo Makamaba anaufanisi gani! Nyie wote wapumbavu tu! Hata huyo Rais wako wa katiba mpende wewe sisi hatumtaki na 2025 utaona!
Upo sahihi, " mjomba ". Lakini ukumbuke kuna maneno smart, smart sana, smart mno,na smart kuliko zote.Ukiona maadui wanakuzonga sana ujue umewapiga,Makamba ni Kiongozi smart sana upstairs
well said, makamba hafai kabisa, hili jamaa linapiga pesa mchana kweupe, nilijambazi kuu nchini kwetuSamia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Katika vitu ambavyo huyu mama ataviepuka ni kutumbua watu aliowateua yeye. Sababu ye anaamini akiwatengua itaonyesha ni udhaifu wake yeye aliyeteua, ikumbukwe ameshaonekana ana mapungufu. Atabaki kutumbua watu wa mtangulizi wake tu. Pia hawa anaowateua wengi ni mkakati kwa ajili ya 2025.
Ilikuwa mwanzo tu kutafuta timing ya kuwatoa watu wa mtangulizi wake ili aandae timu yake. We si umesikia kalemani anaitwa goigoi na mama huku January akionekana shujaa kwa mama.Mbona amekuwa akisisitiza mtu asipowajibika ipasavyo atamtumbua?!
Ujui hata unajadili nini
Thanks, inadhihirisha kwamba kumbe hujui hata unachoongea...
Makamba analihujumu taifa
Bila shaka utakuwa mchepuko wa Makamba maana sio kwa chuki hizoSamia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Toka ateuliwe hata miezi 3 hana.....mmeanza kunyooshea vidole watu duuuh 😳🤣🤣Samia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
🤣🤣Karibu kila mtanzania wa mitandaoni ni mwanasisa.Na baadhi ni washauri wa Rais kuhusu nani afukuzwe kazi na nani ateuliwe
Huu ukosefu wa majukumu umekuwa kidonda sugu kwenye maisha ya kila siku ya watanzania wa mitandaoni.
Kwani kutumbua watu ndio sifa hilo neno lime fanana na alie lianzisha sio lugha ya stahaaKatika vitu ambavyo huyu mama ataviepuka ni kutumbua watu aliowateua yeye. Sababu ye anaamini akiwatengua itaonyesha ni udhaifu wake yeye aliyeteua, ikumbukwe ameshaonekana ana mapungufu. Atabaki kutumbua watu wa mtangulizi wake tu. Pia hawa anaowateua wengi ni mkakati kwa ajili ya 2025.
Kama mtu akifanya uzembe unataka tutumie staha ya ahamishwe apelekwe kwingine au?Kwani kutumbua watu ndio sifa hilo neno lime fanana na alie lianzisha sio lugha ya stahaa
Wakati mwingine mnakera,tatizo liko wazi kuwa sasa hivi tuko gizani,halafu watu mnashabikia upotofu huu.Tatizo la umeme ni serious sana,elewa.Kwa hiyo WAGO - THE LEOPARD KILLER unajiona una akili kwa sababu umeweza kuniita Shenzi?? Hatuwezi kushindana kwa matusi watu watashindwa kujua MSHENZI halisi ni nani?