Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

Pumbavu sana wewe pimbi! Nani ametumwa hapa! Huyo Makamaba anaufanisi gani! Nyie wote wapumbavu tu! Hata huyo Rais wako wa katiba mpende wewe sisi hatumtaki na 2025 utaona!
We Ni kichaa unaeitaji kupigwa pingu ukaifadhiwe milembe,

Hiyo 2025 hizo kura zako sio za muhimu Sana,Kwanza vichaa huwa hawaruhusiwi kupiga kura
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Samia,una habari Nchi ipo gizani?

Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?

Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?

Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?


Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
well said, makamba hafai kabisa, hili jamaa linapiga pesa mchana kweupe, nilijambazi kuu nchini kwetu
 
Katika vitu ambavyo huyu mama ataviepuka ni kutumbua watu aliowateua yeye. Sababu ye anaamini akiwatengua itaonyesha ni udhaifu wake yeye aliyeteua, ikumbukwe ameshaonekana ana mapungufu. Atabaki kutumbua watu wa mtangulizi wake tu. Pia hawa anaowateua wengi ni mkakati kwa ajili ya 2025.


Mbona amekuwa akisisitiza mtu asipowajibika ipasavyo atamtumbua?!
 
Toka jamaa aingie kumeanza migao ya Maji na umeme kukatikatika
 
Mbona amekuwa akisisitiza mtu asipowajibika ipasavyo atamtumbua?!
Ilikuwa mwanzo tu kutafuta timing ya kuwatoa watu wa mtangulizi wake ili aandae timu yake. We si umesikia kalemani anaitwa goigoi na mama huku January akionekana shujaa kwa mama.
 
Samia,una habari Nchi ipo gizani?

Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?

Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?

Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?


Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Bila shaka utakuwa mchepuko wa Makamba maana sio kwa chuki hizo
 
Samia,una habari Nchi ipo gizani?

Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?

Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?

Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?


Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Toka ateuliwe hata miezi 3 hana.....mmeanza kunyooshea vidole watu duuuh 😳🤣🤣

Kwani J.Makamba ni mgeni nchi hii?!!

Hakujulikana mambo yake ya nyuma(mazuri+ changamoto) ?!!

Mamlaka za uteuzi zimejiridhisha kuwa atafaa akihudumu hapo.....


Siempre JMT
 
Karibu kila mtanzania wa mitandaoni ni mwanasisa.Na baadhi ni washauri wa Rais kuhusu nani afukuzwe kazi na nani ateuliwe
Huu ukosefu wa majukumu umekuwa kidonda sugu kwenye maisha ya kila siku ya watanzania wa mitandaoni.
🤣🤣
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Katika vitu ambavyo huyu mama ataviepuka ni kutumbua watu aliowateua yeye. Sababu ye anaamini akiwatengua itaonyesha ni udhaifu wake yeye aliyeteua, ikumbukwe ameshaonekana ana mapungufu. Atabaki kutumbua watu wa mtangulizi wake tu. Pia hawa anaowateua wengi ni mkakati kwa ajili ya 2025.
Kwani kutumbua watu ndio sifa hilo neno lime fanana na alie lianzisha sio lugha ya stahaa
 
Kwani kutumbua watu ndio sifa hilo neno lime fanana na alie lianzisha sio lugha ya stahaa
Kama mtu akifanya uzembe unataka tutumie staha ya ahamishwe apelekwe kwingine au?
 
Back
Top Bottom