Unalenga kusema nini hasa?!
Kwamba Gas/LNG inafaa kupuuzwa, au?!
Hatuna imani na waziri mwenye dhamana…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalenga kusema nini hasa?!
Kwamba Gas/LNG inafaa kupuuzwa, au?!
Alie mteua ana imani nae.Hatuna imani na waziri mwenye dhamana…
Nimeuliza suala la LNG, na sio kuhusu waziri!Hatuna imani na waziri mwenye dhamana…
Nimeuliza suala la LNG, na sio kuhusu waziri!
Ujui hata unajadili niniImefanya nini
Ni nani mwenye vyeti FEKI sasa?Wenye vyeti fake hawarejeshwi kazini kwa hiyo endelea kupambana na hali yako
Shirikisha ubongo wako kabla huja key in smart phone yako. Rudia tena kusoma na kuelewa nilichoandika.Yaani hapa inaonekana no jinsi gani ulivyo kiazi. Hivi ni wapi pameandikwa , tu akijiunga leo hapaswi kuanzisha uzi?
Hana rekodi ya usmart kiuongozi. Ni yeye chini ya kamati yake aliingia mikataba ya hovyo kwa tanesco, yeye ndiye aliyetaka kuzuia ujenzi wa bwawa la umeme akiwa waziri wa mazingira, juzi alipotembelea alibaki kuduwaa haamini mradi mkubwa unaoendelea kule.Ukiona maadui wanakuzonga sana ujue umewapiga,Makamba ni Kiongozi smart sana upstairs
Tafuta kisiwa ukaishi peke yako. Acha simu na kila kitu.Karibu kila mtanzania wa mitandaoni ni mwanasisa.Na baadhi ni washauri wa Rais kuhusu nani afukuzwe kazi na nani ateuliwe
Huu ukosefu wa majukumu umekuwa kidonda sugu kwenye maisha ya kila siku ya watanzania wa mitandaoni.
Yaani anahujumiwa vipi wakati kapangua kila kitu na ameunda timu yake. Si huyu huyu aliyesema mashine zimetumika mfululizo kwa hiyo ye alipoingia tu zikafa.Ni kweli apewe muda lakini nahisi anahujumiwa maana hata leo kuna shida ya kure charge token network kwenye remote hakuna ni mwendo wa giza tu!
Mapepo maalum ya kupepea wanaoteseka wanancnhi wanyonge, binafsi imenibid nihame kwa muda mikoa ya baridi maana joto limeongenzeka ilihal umeme mgao wa hatari ndani hapalaliki huku maji ya baridi kwenye friji yanageuka chai.Ukiona maadui wanakuzonga sana ujue umewapiga,Makamba ni Kiongozi smart sana upstairs
Kipimo cha kazi wamekikuta na usimamizi bora ulionekana wananchi wanaelewa mbichi na mbivu, tuvute subra maisha yaendelee. Kila mmoja atavuna anachopandaSamia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Nyie wapuuzi kutwa mnamtukana Samia kwa kutumwa na Kalle manii , nyie mna chuki tangu huyo mtu wenu afutwe uwaziri, Wala hamna Nia njema na Rais wapuuzi nyie,huo ushauri wenu pelekeni Chato wajinga wakubwa !!Samia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Yeyote anayesema kuwa makamba ni smart sana atakuwa ni mtu ambaye kichwani mwake kuna tui la nazi tu. Afadhali ukasema kuwa makamba ni mtu mzuri sana, lakini siyo mtu smart sana.Ukiona maadui wanakuzonga sana ujue umewapiga,Makamba ni Kiongozi smart sana upstairs
Hana Ushaidi wowote zaidi ya majungu tu,chuki yao kubwa ni kwa Makamba kuwa waziri, na pia kwa msukuma mwenzao kutolewa uwaziri,Ushahidi ni upi?
Hawezi akawasikiliza nyie wapuuzi ambao kutwa mnamtukana humu wewe na timu wasukuma wenzioMama nimsikivu atachukua maamuzi sahihi!