Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

Peleka watoto wako shule, Acha wivu umejiunga JF jana ili uje umshambulie Makamba kweli
 
Reactions: Tui
Makamba Hiyo Wizara yaweza Kuzima Ndoto zako za Urais
 
Vijana wa Lameck Mwigulu Nchemba tulieni haya mahesabu muda bado. Tutaenyeshana mpaka 2025 na bado mtashindwa.
 
Miradi imekaa mezani miaka halafu yeye anaisign Ndani ya mwezi wa kuanza .huyu jamaa mtoto wa awamu fulani ana lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…