Kwa nilichoambiwa na ' Mpemba ' wangu juu ya mtanange wa leo wa Simba SC na TP Mazembe acheni nibaki nacho tu Moyoni

Kwa nilichoambiwa na ' Mpemba ' wangu juu ya mtanange wa leo wa Simba SC na TP Mazembe acheni nibaki nacho tu Moyoni

hivi kwa nini nasema kweli mechi zote wakija na wale ningejua mapema bora waweke hapo sababu nchi zetu na chakula kiliisha siku cha msingi shule ziwe na pamoja na maabara wale watoto wachanga
Failed and encrypted algorithim! Sijui umeandika nini hapa
 
Utabir wako nahuyo mtu wako wa kipemba hujawahi kutimia hata siku moja kila siku utabir wenu una fail

Inaonekana Wewe ni Mgeni Kwangu pitia ' Threads ' zangu ambazo huwa nazileta hapa kuhusiana na huyu Mpemba wangu Kisha niambie ni ipi ' imefeli ' kisha rudi uniambie. Anza na za Mechi za Simba SC na Yanga FC kisha rudi kwa Timu ya Taifa Stars. au unataka sasa niweke hapa hadharani nini kinaenda kutokea leo Taifa ili ' Presha ' ikupande?
 
Umeanza upuuzi wako.
Mpira unachezwa hadharani hayo mambo ya mpemba hayana nafasi.

Mikia mneshaanza kujishtukia kwamba mnapigwa leo. Na mimi nasema mpigwe tu maana hakuna namna.

Wema ni akiba.
Km ambavyo huwa mnajistukia mnaruka ukuta na bado mnachezea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi dhidi ya vital ulikuja na porojo kama hizi kua inatakiwa kafara ya damu ya kiongozi na shabiki mmoja ili simba ishinde sijui kama hilo lilitekelezeka....

Hukuwaona wale Waliokufa Mkuu? Mpaka muda huu Jini letu la ' Kafara ' la ' Kuua ' Mtu / Watu bado halijampata Mwana Simba na Jamaa ( TP Mazembe ) kuna ' Mdudu ' hatari sana wamekuja nae na kwa wale ambao watakuwa jirani na Gari lao Uwanjani wawaangalie Watu wawili wote watashuka mwisho kuna Kitu cha ' Kishirikina ' watakifanya hapo Taifa ambacho kitashindana mno na Jini letu. Mechi ya leo ni 50 / 50 ila tukishinda ni bahati sana ila Sare ya 0 kwa 0 au 1 kwa 1 ndiyo ipo.
 
Mbona hatuoni kikosi wakuu naona stori tu toka Jana manara nae anapiga porojo tu kule Instagram aache kutuletea kikosi cha mauaji

Sent using Jamii Forums mobile app

Mechi ya leo ni Simba SC kushinda ni Bahati sana Mkuu ila matokeo yatakuwa ni Sare ya ama 0 kwa 0 au 1 kwa 1. Jamaa ( TP Mazembe ) wamekuja Kamili Kamili hasa ' Kishirikina / Kiuchawi / Kiukindoki ' na kuna mambo machache mtayaona wakiyafanya ama wakati wanashuka katika Basi lao au wakiwa wanaingia katika Uwanja wakati wa Kupasha Miili joto.
 
Ile dawa yetu ikipulizwa tu Mazembe lazima walegee, hakika utaalamu waliougundua Simba tukiwaazima tukaenda nao Misri lazima tuchukue AFCON..
 
Hukuwaona wale Waliokufa Mkuu? Mpaka muda huu Jini letu la ' Kafara ' la ' Kuua ' Mtu / Watu bado halijampata Mwana Simba na Jamaa ( TP Mazembe ) kuna ' Mdudu ' hatari sana wamekuja nae na kwa wale ambao watakuwa jirani na Gari lao Uwanjani wawaangalie Watu wawili wote watashuka mwisho kuna Kitu cha ' Kishirikina ' watakifanya hapo Taifa ambacho kitashindana mno na Jini letu. Mechi ya leo ni 50 / 50 ila tukishinda ni bahati sana ila Sare ya 0 kwa 0 au 1 kwa 1 ndiyo ipo.

Kwani ile spray yetu tunayopulizaga imeisha??
 
Hukuwaona wale Waliokufa Mkuu? Mpaka muda huu Jini letu la ' Kafara ' la ' Kuua ' Mtu / Watu bado halijampata Mwana Simba na Jamaa ( TP Mazembe ) kuna ' Mdudu ' hatari sana wamekuja nae na kwa wale ambao watakuwa jirani na Gari lao Uwanjani wawaangalie Watu wawili wote watashuka mwisho kuna Kitu cha ' Kishirikina ' watakifanya hapo Taifa ambacho kitashindana mno na Jini letu. Mechi ya leo ni 50 / 50 ila tukishinda ni bahati sana ila Sare ya 0 kwa 0 au 1 kwa 1 ndiyo ipo.

Ila Simba huwa wanamwaga sana damu za watu kwenye hizi mechi, maana huwa wakipataga goli tu machela za kubeba watu zinakuwa busy mno sijui kama kuna mtu anajua wanakoishia wale watu..
 
Mechi ya leo ni Simba SC kushinda ni Bahati sana Mkuu ila matokeo yatakuwa ni Sare ya ama 0 kwa 0 au 1 kwa 1. Jamaa ( TP Mazembe ) wamekuja Kamili Kamili hasa ' Kishirikina / Kiuchawi / Kiukindoki ' na kuna mambo machache mtayaona wakiyafanya ama wakati wanashuka katika Basi lao au wakiwa wanaingia katika Uwanja wakati wa Kupasha Miili joto.
Hukuwaona wale Waliokufa Mkuu? Mpaka muda huu Jini letu la ' Kafara ' la ' Kuua ' Mtu / Watu bado halijampata Mwana Simba na Jamaa ( TP Mazembe ) kuna ' Mdudu ' hatari sana wamekuja nae na kwa wale ambao watakuwa jirani na Gari lao Uwanjani wawaangalie Watu wawili wote watashuka mwisho kuna Kitu cha ' Kishirikina ' watakifanya hapo Taifa ambacho kitashindana mno na Jini letu. Mechi ya leo ni 50 / 50 ila tukishinda ni bahati sana ila Sare ya 0 kwa 0 au 1 kwa 1 ndiyo ipo.
Inaonekana Wewe ni Mgeni Kwangu pitia ' Threads ' zangu ambazo huwa nazileta hapa kuhusiana na huyu Mpemba wangu Kisha niambie ni ipi ' imefeli ' kisha rudi uniambie. Anza na za Mechi za Simba SC na Yanga FC kisha rudi kwa Timu ya Taifa Stars. au unataka sasa niweke hapa hadharani nini kinaenda kutokea leo Taifa ili ' Presha ' ikupande?
Hahahaha kwakua nawajua vzr Mazembe na Nina kaa nao huku Golf ,Lubumbashi siwezi kukupinga

Uzuri huwa uko muwazi Sana ndugu

MTC | 101| [emoji769]
 
Ile dawa yetu ikipulizwa tu Mazembe lazima walegee, hakika utaalamu waliougundua Simba tukiwaazima tukaenda nao Misri lazima tuchukue AFCON..

Wameshaishtukia Mkuu na Kimjini Mjini wanamichezo tunaiita 4-4-2 ambayo Simba SC imeiga kutoka kwa Timu za Al Ahly na Zamalek za Misri ambazo ndizo hutumia sana kama siyo mno hiyo mbinu pamoja na ile ya ' Tochi ' ambapo Watu Watano wanakaa Jukwaani juu kabisa na ' Tochi ' Maalum za Kichina ambapo wakati Mechi ikichezwa Usiku hao Watu Watano wote wanakuwa wanaimulika kwa Golikipa na ina ' Miale ' mikali mno ambapo lazima tu itamchanganya Kipa wa Timu pinzani. Bila hiyo ' Tochi kutumika Kumtoa AS Vita ingekuwa ni Ndoto na hata Yule Kipa wa Uganda ( The Cranes ) Onyango nae alipewa ' Dozi ' hiyo hiyo na ndiyo maana Magoli yale aliyofungwa hadi leo yanamuumiza na haamini.

Siku nyingine nitakuambia dawa ya Kujikinga na hizo ' Tochi ' kwa Kipa ambaye ' anamulikwa ' nazo hasa kwa mechi ambazo zinachezwa tu nyakati za Usiku. Mkuu Waarabu ni balaa na wana mbinu za ' Kimafia ' mno wawapo Uwanjani na sasa Simba SC tumewaiga vizuri na tunazipatia kweli hizo ' Mbinu ' zao za nje ya Uwanja.
 
Kwani ile spray yetu tunayopulizaga imeisha??

Imeshashtukiwa Mkuu na TP Mazembe wamekuja na Madaktari wao ' Maalum ' ili Kuchunguza zaidi na hata CAF nao wameleta Watu wao ' Kisiri ' kuja kuchunguza kama kweli Simba SC inatumia huu ' Umafia ' kwakuwa tayari Mezani Kwao wana Ripoti ya Malalamiko kutoka kwa AS Vita Club hivyo Simba SC kwa sasa wameamua ' Kuuchuna ' na kuwa makini ila kitakachofanyika leo ni ' Kuwaroga ' kupita Kiasi ila tatizo ni kwamba hadi hivi sasa Saa 7 na dakika 37 hii naandika hivi bado Jini halijampata Mtu mmoja wa ' Kumuua ' kwa ' Kafara ' ili Timu ishinde na muda ndiyo unaenda hivyo. TP Mazembe nao wamekuja wamejiandaa mno hasa Kiuchawi na kuna ' Mdudu ' mmoja wa ajabu wamekuja nae ambaye anatumika mno Kiushirikina.
 
Ila Simba huwa wanamwaga sana damu za watu kwenye hizi mechi, maana huwa wakipataga goli tu machela za kubeba watu zinakuwa busy mno sijui kama kuna mtu anajua wanakoishia wale watu..

Na Siku kama hii ya leo huwa sishauri sana Watu kupenda ' Kurandaranda ' pale maeno ya Klabuni pale watakuwa ' wanamtamanisha ' mno Jini letu Kuondoka nao Kimoja anakokujua Yeye na huku nyuma Watu tunabaki tu Kumuomboleza huyo aliyeondoka nae.
 
Hahahaha kwakua nawajua vzr Mazembe na Nina kaa nao huku Golf ,Lubumbashi siwezi kukupinga

Uzuri huwa uko muwazi Sana ndugu

MTC | 101| [emoji769]

Nashukuru kwa Kulitambua hilo kwani kuna Watu wanadhani GENTAMYCINE nipo hapa kupoteza tu muda au ' Kuzoza ' tu wakati kumbe ninamaanisha tena kwa 100% kabisa. TP Mazembe hawakupanga sana ' Kujidhatiti ' Kiuchawi / Kiushirikina katika hii mechi ila Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kawatahadhirisha mno na Simba SC hasa Kiuchawi / Kiushirikina hivyo nao sasa wamekuja na ' Mdudu ' mmoja hatari sana ambaye kwa Tanzania ni nadra mno kuonekana kwakuwa anakaa katika Misitu mikubwa mikubwa ambayo kwa huko Kwao Congo DR ipo mingi. Hata ile kutua sijui kule Songwe Airport wakisema kuwa walikuwa wakifanya ' refueling ' si sababu Kuu ila ' Kimkakati ' kuna Watu kadhaa wa ' Ufundi ' walishuka pale Wao wakaenda na baadhi ya Watu katika Mji ambao ndiyo yupo Mganga Mkuu wa Yanga FC kwa msaada wa baadhi ya wana Yanga FC ili leo Mnyama ' Afe vizuri Taifa.

Nasisitiza tena kwamba Bahati ikiwa Kwetu Simba SC tunaweza Kushinda ila uhakika wa Simba SC kutoka Sare ya ama 0 kwa 0 au ya 1 kwa 1 ni Mkubwa na tusipokuwa makini hasa kwa mipango yetu ya nje ya Uwanja basi uwezekano pia wa Simba SC leo kwa mara ya Kwanza Kufungwa Kwa Mkapa / Taifa na TP Mazembe ni mkubwa mno na wa 85%.
 
Back
Top Bottom