Kwa nilichoambiwa na ' Mpemba ' wangu juu ya mtanange wa leo wa Simba SC na TP Mazembe acheni nibaki nacho tu Moyoni

Kwa nilichoambiwa na ' Mpemba ' wangu juu ya mtanange wa leo wa Simba SC na TP Mazembe acheni nibaki nacho tu Moyoni

Hahaha!! haters wote kimya

Tena walikuwa wanasubiria kwa hamu zote Mkuu ili Simba SC ishinde Siku ile ili waje sasa na nguvu zote waanze Kunidhihaki, Kuniponda na Kunishambulia ila bahati nzuri huyu ' Mpemba ' wangu hajawahi Kuniangusha katika ' Tabiri ' zake na mara nyingi sana kwa 99.999% huwa zinakuwa sahihi / kweli. Yaani huko waliko ' Haters ' wangu wote kama nawaona vile ' walivyoninunia ' Kudadadeki zao.
 
Back
Top Bottom