Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Simba itashinda 2-1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshaishtukia Mkuu na Kimjini Mjini wanamichezo tunaiita 4-4-2 ambayo Simba SC imeiga kutoka kwa Timu za Al Ahly na Zamalek za Misri ambazo ndizo hutumia sana kama siyo mno hiyo mbinu pamoja na ile ya ' Tochi ' ambapo Watu Watano wanakaa Jukwaani juu kabisa na ' Tochi ' Maalum za Kichina ambapo wakati Mechi ikichezwa Usiku hao Watu Watano wote wanakuwa wanaimulika kwa Golikipa na ina ' Miale ' mikali mno ambapo lazima tu itamchanganya Kipa wa Timu pinzani. Bila hiyo ' Tochi kutumika Kumtoa AS Vita ingekuwa ni Ndoto na hata Yule Kipa wa Uganda ( The Cranes ) Onyango nae alipewa ' Dozi ' hiyo hiyo na ndiyo maana Magoli yale aliyofungwa hadi leo yanamuumiza na haamini.
Siku nyingine nitakuambia dawa ya Kujikinga na hizo ' Tochi ' kwa Kipa ambaye ' anamulikwa ' nazo hasa kwa mechi ambazo zinachezwa tu nyakati za Usiku. Mkuu Waarabu ni balaa na wana mbinu za ' Kimafia ' mno wawapo Uwanjani na sasa Simba SC tumewaiga vizuri na tunazipatia kweli hizo ' Mbinu ' zao za nje ya Uwanja.
Umeeleweka mkuu, ni kama dawa za antibiotics, mwingine zinamtibu, mwingine zinaweka resistance, pombe mwingine chupa mbili hoi wakati pierre anakata kreti na bado anadai!Nashukuru kwa Kulijua hilo Mkuu. Hata hivyo inategemea na Kichwa na Kichwa. Naomba niishie hapa tafadhali.
Tumekusubiri sana tukajua utaleta utabiri mkuu.Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Simba Sports Club
Nawasilisha.
Simba itashinda 2-1
Kiweke tu wasi wasi wako ni upiInaonekana Wewe ni Mgeni Kwangu pitia ' Threads ' zangu ambazo huwa nazileta hapa kuhusiana na huyu Mpemba wangu Kisha niambie ni ipi ' imefeli ' kisha rudi uniambie. Anza na za Mechi za Simba SC na Yanga FC kisha rudi kwa Timu ya Taifa Stars. au unataka sasa niweke hapa hadharani nini kinaenda kutokea leo Taifa ili ' Presha ' ikupande?
Unachokisema na huyo Mpemba nimekuelewa ila bahati nzuri tulikuwa tunatafuta kaburi 1 la chizi mpaka jana usiku tulishapata 3Inaonekana Wewe ni Mgeni Kwangu pitia ' Threads ' zangu ambazo huwa nazileta hapa kuhusiana na huyu Mpemba wangu Kisha niambie ni ipi ' imefeli ' kisha rudi uniambie. Anza na za Mechi za Simba SC na Yanga FC kisha rudi kwa Timu ya Taifa Stars. au unataka sasa niweke hapa hadharani nini kinaenda kutokea leo Taifa ili ' Presha ' ikupande?
Imeshashtukiwa Mkuu na TP Mazembe wamekuja na Madaktari wao ' Maalum ' ili Kuchunguza zaidi na hata CAF nao wameleta Watu wao ' Kisiri ' kuja kuchunguza kama kweli Simba SC inatumia huu ' Umafia ' kwakuwa tayari Mezani Kwao wana Ripoti ya Malalamiko kutoka kwa AS Vita Club hivyo Simba SC kwa sasa wameamua ' Kuuchuna ' na kuwa makini ila kitakachofanyika leo ni ' Kuwaroga ' kupita Kiasi ila tatizo ni kwamba hadi hivi sasa Saa 7 na dakika 37 hii naandika hivi bado Jini halijampata Mtu mmoja wa ' Kumuua ' kwa ' Kafara ' ili Timu ishinde na muda ndiyo unaenda hivyo. TP Mazembe nao wamekuja wamejiandaa mno hasa Kiuchawi na kuna ' Mdudu ' mmoja wa ajabu wamekuja nae ambaye anatumika mno Kiushirikina.
Le 11 de départ : Sylvain GBOHOUO - Godet MASENGO, Kevin MUNDEKO, Kabaso CHONGO, Joseph Benson OCHAYA - Christian Koffi KOUAME - Mika MICHE, Abdoulaye SISSOKO - Trésor MPUTU - Rainford KALABA, Jackson MULEKA
Banc : Ibrahim MUNKORO, Arsène ZOLA, Djos ISSAMA, Nathan SINKALA, Glody LIKONZA, Chico USHINDI et Meschak ELIA.
Unafikiri anacheza na njombe mji ety?
Simba 4 TP Mazembe 0Matokeo ni 0 kwa 0 au 1 kwa 1 au Simba 0 na TP Mazembe 2. Leo Siku yetu imekaa vibaya mno hasa Kiuchawi / Kindumba na Kinyota Mkuu. Simba SC tukishinda basi ni Bahati tu itokee.