nteze john lungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 214
- 200
Mkuu muulize mpemba marudiano itakuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeshinda njaaa
Kashìnda njaaHii mechi timu zote zitafungana ila Simba atashinda.
Kweli UCHAWI upoHukuwaona wale Waliokufa Mkuu? Mpaka muda huu Jini letu la ' Kafara ' la ' Kuua ' Mtu / Watu bado halijampata Mwana Simba na Jamaa ( TP Mazembe ) kuna ' Mdudu ' hatari sana wamekuja nae na kwa wale ambao watakuwa jirani na Gari lao Uwanjani wawaangalie Watu wawili wote watashuka mwisho kuna Kitu cha ' Kishirikina ' watakifanya hapo Taifa ambacho kitashindana mno na Jini letu. Mechi ya leo ni 50 / 50 ila tukishinda ni bahati sana ila Sare ya 0 kwa 0 au 1 kwa 1 ndiyo ipo.
Umeanza upuuzi wako.
Mpira unachezwa hadharani hayo mambo ya mpemba hayana nafasi.
Mikia mneshaanza kujishtukia kwamba mnapigwa leo. Na mimi nasema mpigwe tu maana hakuna namna.
Wema ni akiba.
Mpemba n mungu au
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpemba amezidi kuwa mkweli kupita kiasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaaza tabia zako za kikuda
Mkuu muulize mpemba marudiano itakuaje
mkuu mi nakueshimu sanaMmeshaniudhi na kuanzia leo hii sitosema tena ambacho nitakuwa nahabarishwa na huyu Mpemba kwani nimegundua kuna Watu ni ' Wapumbavu ' sana hapa Jamvini halafu mnapenda mno Kunichukulia poa poa wakati ukweli ni kwamba ' nimebarikiwa ' vingi tu kuliko Wao / Nyie. Endeleeni tu Kunidharau, Kunipuuza na Kunidhihaki ila nawahakikishieni kuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE a.k.a Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer.
Wanafiki wakubwa nyie. Na najua wengi Wenu mlikuwa mmekaa tayari tayari kabisa ili kama ' Utabiri ' wa Mpemba wangu usingetimia mje hapa Kunishambulia na Kuniponda ila kwa bahati nzuri tu ni kwamba 99.9999% ya ' Utabiri ' ambao Mpemba wangu huwa ananipa ni sahihi.
Endeleeni sasa Kunidharau, Kunipuuza na Kunidhihaki ' Wapumbavu ' wakubwa nyie. Na nilitaka nije hapa na Taarifa ya kumuhusu Mchezaji Clatous Chama na Haruna Niyonzima ambayo pia Mpemba wangu huyu ameniambia ili wana Simba SC wafanye kurudisha Kiwango chake kwani kuna Watu wawili ndiyo Wamemmaliza mmoja ni Msanii wa Kike mkubwa sana na anaheshimika Tanzania ila ni mwana Yanga FC na mwana Simba SC mmoja aliye ndani kabisa ya Timu ila kwa ' Upumbavu ' wenu sasa nanyamaza Kimya hadi pale mtakapocha Kuwadharau Watu hapa Jamvini na mjue Kuheshimiana.
Mk
mkuu mi nakueshimu sana
Nafikiri unakosea sana kuhisi unadharaulika na kila mtu humu ndani
Mmeshaniudhi na kuanzia leo hii sitosema tena ambacho nitakuwa nahabarishwa na huyu Mpemba kwani nimegundua kuna Watu ni ' Wapumbavu ' sana hapa Jamvini halafu mnapenda mno Kunichukulia poa poa wakati ukweli ni kwamba ' nimebarikiwa ' vingi tu kuliko Wao / Nyie. Endeleeni tu Kunidharau, Kunipuuza na Kunidhihaki ila nawahakikishieni kuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE a.k.a Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer.
Wanafiki wakubwa nyie. Na najua wengi Wenu mlikuwa mmekaa tayari tayari kabisa ili kama ' Utabiri ' wa Mpemba wangu usingetimia mje hapa Kunishambulia na Kuniponda ila kwa bahati nzuri tu ni kwamba 99.9999% ya ' Utabiri ' ambao Mpemba wangu huwa ananipa ni sahihi.
Endeleeni sasa Kunidharau, Kunipuuza na Kunidhihaki ' Wapumbavu ' wakubwa nyie. Na nilitaka nije hapa na Taarifa ya kumuhusu Mchezaji Clatous Chama na Haruna Niyonzima ambayo pia Mpemba wangu huyu ameniambia ili wana Simba SC wafanye kurudisha Kiwango chake kwani kuna Watu wawili ndiyo Wamemmaliza mmoja ni Msanii wa Kike mkubwa sana na anaheshimika Tanzania ila ni mwana Yanga FC na mwana Simba SC mmoja aliye ndani kabisa ya Timu ila kwa ' Upumbavu ' wenu sasa nanyamaza Kimya hadi pale mtakapocha Kuwadharau Watu hapa Jamvini na mjue Kuheshimiana.
Binafsi mimi namkubali sana Gentamycine japo huwa sio mpenzi wa ku-coment sana post nyingi humu JF.Mkuu kunjua moyo tuletee wana simba wenzio inshu ya Chama na Nyozima ..unajua hata Nabii huwaga hakubaliki kwao.wapo wataokuponda ila pia wapo wanaokukubali wakati mwingine.