Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Kipi kilichokufanya uoe single maza?
 
Mimi nawaonea huruma hawa wadada wengi wao walidanganywa na sisi wazala harafu baadae tunawatelekeza na watoto wao baadae wanakutana na Wananchi na Sera zao mpya na kuwaponda kwa kuwaandikia nyuzi..
Uu ndo ujanja sasa unawaonea huruma mtandaoni, lkn kuoa hauoi.

Haingii akilini, wewe ulikua unajinyima starehe for ure future, Yaani uko na Elimu nzuri, Pesa, Biashara nk. Hivi vyote ni matokeo ya discipline then uje uoe mwanamke ambae alishindwa kusisitiza matumizi ya condomu tu wakati anajua fika mahusiano yake sio rasmi.

Huu ni uzembe tosha, Lazima umgharimu.

Chuoni nilikua na kademu flani kakichaga, Kalikua hakatombeki bila mdomu πŸ˜€ hata kama ni saa nane za usiku utaenda kwa majirani uombe ndomu ndo ule mzigo

Na ukimaliza lazima akuvue, ahakikishe haijapasuka πŸ˜€, tulimaliza chuoni tukatengana kutokana na kutafuta maisha akapata mshkaji wakavutana wanaishi wote(wanafanya kazi wote shemu moja)

Ni mwaka wa 2 sasa hivi lakini demu bado hajazaa, Anadai hawezi kuzaa na mwanaume ambae hajajitambulisha kwao.

Mtoto wa kike, kuzaa na mtu hata kwenu hajajitambulisha, ni dhambi kubwa unajifanyia, na ikitokea pambana kulea watoto wako, aacha kutafuta huruma kwa jamii ambayo ulikiuka miiko yao
 
Sure bro....hawa unatakiwa uende nao kitaliban style
Mwanamke ukiishiwa pesa , hua Hana excuse zaidi ya kukuacha jumla, hivo hata kama unazo tumia kwa mipaka na tahadhari Sana ili akija kuondoka anaondoka na uchi wake , wewe unabaki na pesa zako hata kama ni ndogo lakini hakikisha mwanamke haifaidi pesa yako kupita kiasi , unampa kwa kutishiatishia , ukijimwaga utaachwa vibaya sana
 
Kwaiyo kaka umeacha ndara
 
Ukweli mtupu. Hawa ukiishiwa wanakubwaga vibaya sana.
 
Ni huko kwenu na hapa jf
Mabint wa mamaang Mkubwa mmoja alipata mimba akiwa 4m 4 akazaa na bahat mbaya alipata mimba ya kijana mwanafunz mwenzie na ameolewa mwanae akiwa na mwaka tu na Wana ndoa ya miak 5 na mumew na watoto wengine wawil wanapendana balaa


Mwingine aliolewa akazaa akaachika now kaolewa na mwanaume Hana mtoto na hajamzalia bado na wanapendana mfano hakuna
Nyie mateeegers ndio mnaongea hayo ila wanaume kamili wanaoa safi tu alafu wanazaa nao pia pole sana
 
Jaribu kukua basi,kama huwezi hudumia mwanamke piga nyeto,acha kusumbua watu kwani huyo singo maza alijizalisha.

Wanawake wanamapungufu yao,nasi pia tunayo mengi tu tukianza na tamaa ya ngono ndio chanzo kikubwa cha sisi wanaume kuwafuata..tukipewa yukadunga mimba safari imewadia.

All in all Mungu awape kusimama kiuchumi single maza wahdhumie watoto wao bila kudharauriwa na mazazi kama wewe mleta uzii
 
Hadu
 
Wanao wasema vibaya singel mother's Mungu awasamehe,hamjuwi mlitendalo
 
Usingo maza ni chata yaani ni kama kovu la kuungua na moto, hata ufanyaje utabaki SINGO MAZA.

Huyo boya aliyeoa huyo mpuuzi takataka SINGO MAZA ipo siku atajutia uamuzi wake, nature huwa haina upendeleo inagawa DOZI(ADHABU) wastani kwa idadi.

Mwanaume yoyote anayeoa singo maza ni mlemavu wa akili.Ni aina ya wanaume dhaifu na wanastaili kutendwa ipasavyo. Hawa huwa wanajiua baadae kwa kupigwa matukio na hizi takataka walizo amua kuweka ndani.

Unavyosema akapata mimba unasound kama vile aliipata akiwa usingizini wakati mwenzako alichanua miguu kama wale acrobatics kisha ilovyokuwa inachomoka akawa airudishia kwa haraka ili utamu usikate.

Unachopaswa kutambua ni kuwa nobody gives shit about how umekuwa SINGO MAZA.Rather than in one way or the other umehusika kwa asilimia 100 kuwa SINGO MAZA wewe mwenyewe.
 
We jamaa umefukuza mali ya maana sana sasa tafuta huyo umtakae ambae ni malaika alitoa mimba kama tisa
 
Kabla hujafa usimalize maneno. Ipo siku mkeo anaweza kuwa single mother akiwa na wanao wakati huo wewe huenda haupo Duniani au hauna uwezo wa kuwahudumia. Mwanamke atafanya kila awezalo kuhakikisha mwanae anapata mahitaji yake ya siku bila kujalisha inamgharimu kiasi gani. Binafsi sijaoa single mother ila popote walipo wajue nawaheshimu sana bila kujali nini kilitokea mpaka wakajikuta single.
Tuwatanie ila tusiwaguse viumbe (watoto) wa Mungu.
 
Umeandika vizur mno hakuna ajuaye kesho yake
 
Mbona wewe umesimulia anadau Tv INchi 55?
 
Lakini wengine kweli ni pasua kichwa. Wamepata walichotafuta
 
We jamaa umefukuza mali ya maana sana sasa tafuta huyo umtakae ambae ni malaika alitoa mimba kama tisa
Hahaha...bora aliyetoa mimba ila sio single maza.

Maana kulea mimba mpaka ikakua maana yake alikuwa na Bondi kubwa na huyo aliyemzalisha.

Wakikutana lazima wapige game tena bila kujali kwamba wewe ndio umemsaidia san kuliko huyo Mbwa wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…